Tulifika Dar saa 9 usiku kutoka Zanzibar, kitu cha ajabu tukaambiwa kushuka ni saa 12 asubuhi

Tulifika Dar saa 9 usiku kutoka Zanzibar, kitu cha ajabu tukaambiwa kushuka ni saa 12 asubuhi

Wanaweza kukuambia hatuna wafanyakazi wa kufanya check in/out mpaka saa 12 asubuhi, ni dalili ya umaskini wa akili hakuna zaidi, kwa wenzetu mfano Bank za kimarekani ukiwa ndani ya Bank unasubiri huduma na imetokea muda wa kufunga umefika, security watafunga milango yote ya kuingilia ndani wataacha wa kutoka tuu, mtahudumiwa mliokuwa ndani mpaka wamemaliza wote au wakiona foleni zinakuwa kubwa ujue mpaka meneja atatoka ofisini kuja kuhudumia wateja, ikishindikana kabisa wako wakulipe au wakupe huduma bure kesho yake, niliwahi kulipwa dollar 800 kwa sababu ndege ilikuwa imejaa wakauliza yeyote ambaye yuko tayari kuachia sit mpaka next flight tunakupa 300$ hawakupata mtu mpaka walipopandisha 800$ mchizi nikanyoosha mkono😀
Hata tz inafanyika kwenye mabenki mbona ama umekariri. Pia mashirika ya ndege yako juu mno kihuduma na wanajali mno kuliko business modal yoyote pia Kuna magari yameshawahi kurudishwa japan ya Toyota Mana yalikuwa na mushkeri fulani
 
Hivi karibuni nilikuwa Zanzibar, baada ya shughuli zangu nilikwenda bandari lakini nikawa nimechelewa boat.

Nikalazimika kupanda ile ya saa 3 usiku. Tulifika Dar saa 9 usiku ila cha ajabu tukaambiwa kushuka ni saa 12 asubuhi.

Hii iliniacha na maswali sana kama kuna kusafiri usiku kwa nini tusishuke maana kwa Dar saa 9 usiku ni kama kumekucha tu.

Kama issue ni bandari basi uwekwe utaratibu ila kwa sasa ni kusumbuana aisee.

Yaani haya mambo ni viashiria vya umasikini wa nchi.
Uhamiaji hawafanyi kazi muda huo.
 
Kwenye usalama kupitia mabasi ya abiria hapo ndipo tunafeli sana, yaani nimeondoka mpanda saa 11 na kuja na basi uku dar hakuna askari alieingia ndani kukagua zaidi ya askari wa tochi (trafiki) kumalizana na kond wake chini.Nikawa najiuliza inamaana jasusi au mtu akivuka toka nchi jirani akitokea mpanda ni kazi raisi kwake kuja makao makuu ya nchi dodoma na kuja sehemu nyinginw ya nchi.
Ukiona hauna tatizo utajua ni rahisi ila sio kazi ndogo kama ulivyoandika hapa ukitaka ujue hiyo ni kazi ngumu angalia Wasomali wanavyosafiri kwenye mazingira magumu sio kama hivyo apande bus tuu haitafute Tunduma hawezi kufika mkui...Dodoma wangejaa majasusi
 
Wanaweza kukuambia hatuna wafanyakazi wa kufanya check in/out mpaka saa 12 asubuhi, ni dalili ya umaskini wa akili hakuna zaidi, kwa wenzetu mfano Bank za kimarekani ukiwa ndani ya Bank unasubiri huduma na imetokea muda wa kufunga umefika, security watafunga milango yote ya kuingilia ndani wataacha wa kutoka tuu, mtahudumiwa mliokuwa ndani mpaka wamemaliza wote au wakiona foleni zinakuwa kubwa ujue mpaka meneja atatoka ofisini kuja kuhudumia wateja, ikishindikana kabisa wako wakulipe au wakupe huduma bure kesho yake, niliwahi kulipwa dollar 800 kwa sababu ndege ilikuwa imejaa wakauliza yeyote ambaye yuko tayari kuachia sit mpaka next flight tunakupa 300$ hawakupata mtu mpaka walipopandisha 800$ mchizi nikanyoosha mkono😀
Hio ya benki mbona hata bongo ipo hivyo,,,, muda wa kufunga ukikukuta upo ndani ya benki lazima uhudumiwe sema watafunga milango wa nje hawataweza kuingia
 
Ni nchi mbili tofauti zenye tofauti kwenye forodha inangawa wote wapo kwenye shirikisho la africa mashariki.
 
Sijui mkuu, wanasema ndio utaratibu. Niliongea na baadhi ya abiria wakasrma walishangaa kuona inaondoka Zanzibar saa 9:43. Kawaida unaambiwa Boat inaondoka saa 3 usiku ila ukipanda inakaa mpaka saa 6 au 7 usiku ndio inaondoka ili ifike Dar saa 12 asubuhi. Nilizan ni kwa ajili ya ukaguzi lakini tuliposhuka tulitokea yanapotokea magari na hamna mtu anakagua mtu.
Pole, unajuwa taratibu huwa zinalenga kurahisishaa maisha na si kuyafanya yawe magumu.
 
baad ya ajal ya mv spice serkal walieka shelia kukataz vyombo kutmbea usiku ajil amna uokoaj wa mapem ikitokea ajal sas si unajua wabongo boat za mana nying znafnya kaz mchan usiku boat zakutaftia rzk yan awe acha abiria wanakula vchwa ad usiku ila inabd awagandshe afanye afnyavyo cz get bandarin wanafngua sa12 kwaiy ukipand usik jua unavnja shelia ht ikitokea ajal ngum kuokolewa manak washaek zuio safar mwisho sa3 usik lakn sa6 ht ukipand utasbir tu ad 12 boat zenyew znakwep mkon wa sheria
 
Back
Top Bottom