Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ushuzi wako hakuna utakayemshawishi,jambazi linatetea jambazi mwenzakeKuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.
Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara
Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.
Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu
Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Dr. John Pombe joseph magufuli ni shujaaa wa afrika huyu. Huwezi kuchafua hapa tanzania tu. Wakati dunia nzima wanamsifu UN Umoja wa mataifa. Kikao chao walimpongeza Dk. John magufuli kuifikisha tanzania uchumi wa kati , ujenzi wa viwanda ,na project za kimkakati ujenzi miundombinu. UN imetaja kama Rais kusini mwa jangwa la sahara rais aliyepunguza umaskini. Mimi taarifa nimetoa kwa hao wazungu. Mtoa posti wadanganye wajinga na wavivu wakufatilia na kusoma. Dunia nzima wanamkubali John.kasoro wajasiliasia,washirikina na wachawi
You are completely getting stuntIkisoma taarifa ya Wikipedia .ukagoogle pan-africanism( mashujaa wa afrika) wapo 13. Tz yupo Mwl. Nyerere na wa pili ni DR. John magufuli wengi walishapoteza maisha. Mf nkwame nkuruma(ghana) ,empior hile selasi, robert mgabe, thomas sankara,nyerere, ghadafi, aniye hai ni mmoja tu ndio anaisho wote waliaga dunia. Yoweri mseveni wa uganda ndiye shujaa aliyebaki ambaye mwanafunzi MWL.Nyerere. Lakn. Mashujaa wote 13 dokta ni mmoja tu . Ambaye Dkt. Johm pombe magufuli shujaa wa afrika na chuma na kiboko wa mabebere, alikuwa akimfokea tu mkurugenzi mabeberu walitetemea Ulaya na amerika.
Mtatajana tu awamu hii😂😂😂😂😂Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.
Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara
Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.
Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu
Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Yani mataga bhana hamtaki kuaminiKuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.
Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara
Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.
Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu
Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Hili la sabaya kwa sasa ni tuhuma ambazo msingi wake kwa wengi ni kisasi tu. Na hapo ndio tunaona mama ni msaliti wa magufuli kwa kumtupa lupango kada wa ccm aliyetimiza wajibu wake hadi kuking'oa chama cha upinzani kwenye jimbo. Wana ccm kiitikadi wana shaka na samia. Hawana imani nae.Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.
Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?
Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?
Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?
Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.
Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.
TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Labda hawa ndiyo walikuwa watu wasiojulikanaNaomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.
Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?
Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?
Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?
Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.
Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.
TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Tumpongeze bimkubwa kwa uthubutu huu mtu katoka ofisini kama mkuu wa wilaya baada ya wiki mbili anaonekana kachuchumaa kuingia kortini. Bimkubwa hawezi kufanya yote tunayotaraji ila approaching yake tunaiona sio mbaya. Kumbuka kuhusu kitalu c cha mererani kifupi mayowe mengi yalikuwa yanapigwa na alikuwa anaenda kuliliwa na watu wengi ila hakuwa na namna ya kufanya lazima atakuwa na data nyingi ndo maana akasema macho yangu wanasema mazito lakini yanaona.Asante sana mkuu, nitaanza kurudisha uzalendo kwa nchi yangu kama haya usemayo ni ya kweli.
Tunamwomba Mungu kama kweli anayoshitakiwa huyo Ole ni ya kweli apigwe pigo takatifu.Roho mbaya kabisa hakika waafrika niviumbe madhalimu kabisa japo si wote
Sabaya kakosea wapi!! hii story inanikumbusha sana story ya yesu ama nabii issa kuna mengi ya kujifunza hapa mtu alijitoa kwa dhamila na ushupavu kuwatetea watu kupambana na mambo yaliyokua yanadidimiza ustawi na jamii mfano biashara za magendo kusimama na watu walio dhulumiwa haki zao ujambazi ufisadi na unyonyaji kwa kauli thabiti bila siasa za ubabaishaji wala uaoga leo amekua diktete hivi nikiongozi gani tunaye mtaka sisi!
Ama hakika ukitenda haki kuna makundi mawili ukombozi kwa walio haki
wasio haki kuumia
Leo wasio haki wameungana kumzushia na kumtesa kijana wa watu!
Sio kwako tu sabaya haya yamewakuta hata walio kutangulia tena mitume na manabii sembuse wewe! chuki zao sasa ziko bayana
dua zetu ziko mbele yako sabaya
HAKIKA MWENYEZI MUNGU ATAKULIPIA AMIIN.
CCM haiwezi kumtupa Ole Sabaya, alipelekwa Hai kuhakikisha Mbowe harudi bungeni. Amelitekeleza vyema jukumu lake.
Usishangae kuwa sasa hivi Ole Sabaya ana cell yake na chakula anakula cha nyumbani. Wewe ulisikia wapi mahabusu anamvimbia mkuu wa gereza.
Jiandaeni kumlipa Sabaya gharama za usumbufu kupitia kodi yenu.
Sijamaliza hata kusoma huu ujinga ulioandika hapa. Uliona wapi mkuu wa wilaya akawa mkusanya kodi katika nchi hii. Huko TRA mkuu wa wilaya anahusika vipi?Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.
Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara
Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.
Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu
Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Nimeiona hiyo Mkuu, tunapigwa changa la macho. Mpaka tukae sawa movie imekwisha.uliona gari lililompeleka mtuhumiwa mahakamani[emoji23][emoji23][emoji23]
haya mambo ukituliza wenge,utaona ni vyema kufatioia ziara ya mbowe na kutoa mchango wa ujenzi wa ofisi kuliko kupoteza muda na wasanii wa kiccm.