Tulifika Pabaya: Mwenyekiti Ulinzi na Usalama Wilaya eti ni Jambazi?

Tulifika Pabaya: Mwenyekiti Ulinzi na Usalama Wilaya eti ni Jambazi?

CCM haiwezi kumtupa Ole Sabaya, alipelekwa Hai kuhakikisha Mbowe harudi bungeni. Amelitekeleza vyema jukumu lake.

Usishangae kuwa sasa hivi Ole Sabaya ana cell yake na chakula anakula cha nyumbani. Wewe ulisikia wapi mahabusu anamvimbia mkuu wa gereza.

Jiandaeni kumlipa Sabaya gharama za usumbufu kupitia kodi yenu.
Kumbe nawewe ni zero
 
Tulikuwa tumeanza kuwa na akina Kongolo Mobutu wengi sana kwenye Taifa letu.
 
Kuna uongo mwingi hapa kwa sababu sasa liko kundi lenye uoga kwa matajiri wakwepa kodi na wazungu washenzi wezi wa Mali za umma.

Sabaya katolewa Kafara tu kwa kumtungia kesi za uongo kwa sababu ya wenye pesa kuweka nguvu ktk kila sehemu panapo mshutumu Sabaya ili aangamizwe,kwa ninavyo wajua waTanzania matajiri ni kweli wakati Sabaya akiwawajibisha kulipa kodi siamini kama aliwaonea,hao hua ni wakwepa kodi wakubwa kwa nguvu za pesa wanahonga kuvusha mizigo yao ya kibiashara

Swala la Hayati JPM linaendelea kushutumiwa kwa uongo na nina hakika 90% ya wanaozusha haya ni watu wa Kaskazini wabinafsi na wapigaji...ni ngumu sana kuondoa upendo wa JPM kwa watu zaidi ya 85% hapa nchini isipokua ni watu wasio sema sema wala hawaingii mitandaoni.

Nchi hii mtu ukiwa mkali na kutetea wengi wasinyonywe na wachache unaitwa dikteta,ukiwa mpole na watu wanaiba wanafurahi na wale wasio na mianya ya kuiba wanakuita dhaifu

Tanzania ni nchi yenye watu wasiojua wanatakaga nini.
Full support in this
 
Matajiri wapo Wilaya ya Hai tu hapa Tanzania? Mbona Wakuu wengine wa Wilaya hatukuwasikia wakipambana na Matajiri walipe kodi? Kwa nini Sabaya peke yake? Au yeye ndiye Magufuli ajaye?
Alikua kwenye Jimbo la mkuu wa kambi rasmi ya upinzani
 
Pia naomba tupaze sauti kwa pamoja ili aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda aweze kushitakiwa kwa makosa aliyoyatenda akiwa mkuu wa mkoa. Ushahidi upo wa kujitosheleza kabisa. Mfano mzuri ni lile tukio la uvamizi na unyang'anyi wa kutumia silaha(Armed Robbery) katika sehemu ya kazi ya radio ya Mawingu.

Matukio mengine anayohusishwa nayo ni ni pamoja na suala la utekaji wa raia wa Tanzania mfano Roma, Mo.

Tupaze sauti kwa pamoja ili haki itendeke.
Kwaio ndo umeshakua mchezo wenu
 
Kwa akili yako unataka tuamini Hai ndo wilaya yenye matajiri kuliko wilaya zote nchini! Na kwamba matajiri wa Hai wanafanya biashara haramu zisizoweza kukamatwa na vyombo halali vya ulinzi na usalama mpaka DC aingilie kati na kuingia front mwenyewe.
1.Kwamba Momba yenye mpaka wa Tunduma ambako tulisikia wafanyabiashara wanakimbilia upande wa pili DC wake hakuwa na akili nzuri za kizalendo kama Sabaya akachukua SMG na kuvamia maduka yao ili kuchukua kodi? Ni sheria ipi inayomruhusu DC kukusanya kodi kwa mtutu wa Bunduki?
2.Kwamba Tarime yenye Mpaka wa Silari hakuna matajiri ambao wangeweza kutekwa na DC wa huko ili kuwatia adabu walipe kodi?
3.Kwamba wilaya zote nchini zilikuwa na ma DC wasiojua wajibu wao isipokuwa Hai?

Mapenzi ya kitoto raha sana, mnapendana kitotototo, mwenzio akichukuliwa na wazazi wake akaoge wewe unabaki unalia umeonewa!!
Kwaio mkuu unataka tukusanye Kodi kwa kubembelezana ivi wafanya biashara wa kitanzania unawajua wewe walivyo wabinafsi Kama alikusanya Kodi kwa bunduki na Kodi ikaenda serikalini sisi hatuna shida .maybe hakua na option nyingine iyo ndo ilikua sahihi kwa wakti ule
 
Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.

Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?

Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?

Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?

Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.

Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.

TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Mungu asingeingilia kati kutuondolea huyu dhalim sijui baada ya muda wake wa kutawala tungekuwa Taifa la namna gani.
 
Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.

Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?

Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?

Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?

Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.

Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.

TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.

TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA


 
Aliyei brand CCM ni chama cha Majambazi hakukosea.
.
FB_IMG_1572697051230.jpg
FB_IMG_1591342478234.jpg
 
Kweli..ndo alikuwa anateka matajiri kina Mo anawadhulumu pesa. Walimsomea dua mbaya wale..imemuondoa. ilibidi afe tu, watu wengi sana walimsomea dua mbaya, kuanzia ndugu ya waliouawa,waliofukuzwa kazi eti vyeti feki, waliotekwa, waliodhulumiwa uchaguzi.. ilibidi afe. Na amekufa!
Mungu alisikia dua za waja wake, akaona atumie ustaarabu amuache aondoke kwa kura za wananchi tuu.
Bahati mbaya alimu underestimate jamaa likapora kabisa uchaguzi bila aibu na kuweka hadi wabunge na madiwani alivyotaka.
Akaona basi acha tuu amfyatue
 
Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.

Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?

Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?

Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?

Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.

Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.

TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Ni mfumo mzima. Nape aliingia mtegoni. Alipojaribu kusimamia haki na sheria mafuriko yakamzoa. Watanzania tulikuwa tumeshikwa pabaya awamu ya tano. Unaimba mapambio ya kusifu huku unagumia kwa maumivu.
 
Tunadanganywa sana. Makosa sabaya ni mengi .mpaka nashangaa huyu mtu .ofsini aikuwa haindie .kazi yake ukuu wa wilaya alifanya saa ngapi.mbona makosa ni mengi kuliko muda. isije ikawa propaganda? Adolf hitler aliwai kusema. "Propaganda inaweza kufanye Jehenamu ikawa ni paradise(peponi) na paradise ikawa ni jehenamu.
 
Naomba tukubaliane wote, kwamba nchi hii katika awamu ya tano tulifika pabaya sana chini ya Amirijeshi mkuu Magufuli.

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa au wilaya (RC or DC) ni mtu muhimu sana katika eneo husika kwa ajili ya usalama na ulinzi.

Sasa tulifikaje hapa ambapo mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya anafikia hatua ya kushtakiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha (ujambazi)?

Inamaana serikali ya awamu ya tano chini ya Magufuli ilikuwa haijajui haya aliyokuwa anatenda DC huyu? Au ilijuwa ikanyamaza kwa vile ni DC wa Hai? na ndio maana watetezi wa Sabaya makada wa CCM, walimtetea sana?

Mnaona uchama CCM ulivyokuwa umeifikisha mahali pabaya nchi?

Hii maana yake ni kuwa, kama ya sirini ya Sabaya yanajulikana basi walio mpiga risasi Lissu na kumuua Akwilina mchana wanajulikana, walioteka watu mchana wanajulikana nk.

Sasa ili nchi isafishike walio tenda maovu wote kwa kutumia kivuli cha serikali ya Jamhuri ya Tanzania washughulikiwe bila aibu ili kuliondolea balaa taifa (hii Mshana Jr ) anaweza kuielezea vizuri zaidi maana pengine inahitaji maombi au kafara ya kitaifa.

TULIFIKA PABAYA KAMA TAIFA
Hicho ndicho kipimo cha uongozi mbovu wa Magufuli.
 
Dr. John Pombe joseph magufuli ni shujaaa wa afrika huyu. Huwezi kuchafua hapa tanzania tu. Wakati dunia nzima wanamsifu UN Umoja wa mataifa. Kikao chao walimpongeza Dk. John magufuli kuifikisha tanzania uchumi wa kati , ujenzi wa viwanda ,na project za kimkakati ujenzi miundombinu. UN imetaja kama Rais kusini mwa jangwa la sahara rais aliyepunguza umaskini. Mimi taarifa nimetoa kwa hao wazungu. Mtoa posti wadanganye wajinga na wavivu wakufatilia na kusoma. Dunia nzima wanamkubali John.kasoro wajasiliasia,washirikina na wachawi
 
Dr. John Pombe joseph magufuli ni shujaaa wa afrika huyu. Huwezi kuchafua hapa tanzania tu. Wakati dunia nzima wanamsifu UN Umoja wa mataifa. Kikao chao walimpongeza Dk. John magufuli kuifikisha tanzania uchumi wa kati , ujenzi wa viwanda ,na project za kimkakati ujenzi miundombinu. UN imetaja kama Rais kusini mwa jangwa la sahara rais aliyepunguza umaskini. Mimi taarifa nimetoa kwa hao wazungu. Mtoa posti wadanganye wajinga na wavivu wakufatilia na kusoma. Dunia nzima wanamkubali John.kasoro wajasiliasia,washirikina na wachawi
 
Back
Top Bottom