Tulifikirie suala la Sarafu moja kati ya Tanzania na Kenya

Tulifikirie suala la Sarafu moja kati ya Tanzania na Kenya

Sio rahisi hivyo. Kwanza lazime kuwe na makubaliona ya economic policy "Fiscal & Monetary" pia lzn kuwe na EA-Central Bank ya ku monitor hizo policy.

Mfano. Tusema currency mpya inaitwa EA-Shilling (EAS). hii currency tunipa value labda EAS 1 = USD 1. tunachofanya ni ku convert madeni yote kwenda kwenye hii USD na kenda kwenye EAS lbda TZ tuna daiwa 37B USD, Kenya labda 16B USD na uganda 12B USD haya madeni yote tunatapeleka kwenye EAS kama shilling yetu mpya sasa TZ inakua inadaiwa 37B EAS hivyo hivyo kwa madeni ya nchi nyingine. Baada yapo ndo ela inaingia kwenye circulation

Changamoto ni kwamba sera ya fedha kwenye nchi moja ikibadilika ina affected dhani ya fedha kwenye jumiiya nzima. Alfu pia tutashea inflation ikitokea bei zimepanda Sudani hivyo hiyo bei itakuja kupanda tanzania. Haita weze kama bei ya bidhaa au mafuta ipande sudani halafu bei za hizo bidhaa sizipande sehemu nyingine, hii itasababisha speculation kwenye uchumi.

Kwa sasa common currency haiwezekani
 
Sio kwamba tunabaki na sarafu zetu...lakin inatengenezwa mpya itakayotumika na nchi zote za East Africa kwenye trade nk...kama ilivyo East Africa passport.

Yaani kunakuwa hakuna haja ya kuexhange kutoka ksh to Tsh nk...lakin unachange from Tsh to EASH...

Baadae baadae sana ndo mnaweza kuta mnaachana na hizo ush, ksh nk...

I think ulaya wanatumia hii kitu
 
Sio rahisi hivyo. Kwanza lazime kuwe na makubaliona ya economic policy "Fiscal & Monetary" pia lzn kuwe na EA-Central Bank ya ku monitor hizo policy.

Mfano. Tusema currency mpya inaitwa EA-Shilling (EAS). hii currency tunipa value labda EAS 1 = USD 1. tunachofanya ni ku convert madeni yote kwenda kwenye hii USD na kenda kwenye EAS lbda TZ tuna daiwa 37B USD, Kenya labda 16B USD na uganda 12B USD haya madeni yote tunatapeleka kwenye EAS kama shilling yetu mpya sasa TZ inakua inadaiwa 37B EAS hivyo hivyo kwa madeni ya nchi nyingine. Baada yapo ndo ela inaingia kwenye circulation

Changamoto ni kwamba sera ya fedha kwenye nchi moja ikibadilika ina affected dhani ya fedha kwenye jumiiya nzima. Alfu pia tutashea inflation ikitokea bei zimepanda Sudani hivyo hiyo bei itakuja kupanda tanzania. Haita weze kama bei ya bidhaa au mafuta ipande sudani halafu bei za hizo bidhaa sizipande sehemu nyingine, hii itasababisha speculation kwenye uchumi.

Kwa sasa common currency haiwezekani
Tujifunze kwa wenzetu waliwezaje??
 
Sio kwamba tunabaki na sarafu zetu...lakin inatengenezwa mpya itakayotumika na nchi zote za East Africa kwenye trade nk...kama ilivyo East Africa passport....
Yaan kunakuwa hakuna haja ya kuexhange kutoka ksh to Tsh nk...lakin unachange from Tsh to EASH...


Baadae baadae sana ndo mnaweza kuta mnaachana na hizo ush, ksh nk...


I think ulaya wanatumia hii kitu
Mkuu umenielewa sana..! Shukrani
 
Sio kwamba tunabaki na sarafu zetu...lakin inatengenezwa mpya itakayotumika na nchi zote za East Africa kwenye trade nk...kama ilivyo East Africa passport....
Yaan kunakuwa hakuna haja ya kuexhange kutoka ksh to Tsh nk...lakin unachange from Tsh to EASH...
Hata mimi nimeelewa hivo
 
Back
Top Bottom