Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
poleConspiracists ndio watakuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poleConspiracists ndio watakuelewa
Hawana ujanja wowote wabinafsi tu,inaanzia kwenye ukabila ndani Kisha nje Kama taifaHaahahahaa sema wametuzidi ujanja...
Dola ya Marekani ni International Reserve Currency ndiyo maana hakumbwi na janga la balance of payment, tofauti na sarafu nyingine duniani. Lakini jambo la pili ambalo unalisahau ni kwamba Dola ya Marekani ni bidhaa ambayo mataifa yote duniani yanaihitaji, ndiyo maana hata akichapisha fedha nyingi mwishowe ni lazima mataifa mengine yatazinunua tu. Sisi fedha zetu tutamuuzia nani ???Ndiyo maana yake ni kama dola tu yamarekani akichapa nyingi ni faida kwake kuliko hasara ...na ndiyo maana nchi zote zinazo ingia kwenye pesa ya pamoja wanaweka mashariti makali ili nchi moja isije kusababisha hasara kwa nchi zingine
watu wanafikiria sarafu moja east africaKenya na Tanzania mambo mengine kila mmoja afanye kivyake, lakini hili la shilingi moja tulifikirie. Tuwe na shilingi moja jamani, itatufaa sana!
Hoja Binafsi.
Niltamani kuona sura yake, inaonekana ni lijitu flani limejikatia tamaa. Hili si jukwaa lake.Humu kuna vijana wadogo, ungetoa ushauri bila kutumia lugha ya kuudhi ungeonekana muungwana kuliko ulivyoandika huo ushuzi
Yes kwa Sasa haiwezekaniSio rahisi hivyo. Kwanza lazime kuwe na makubaliona ya economic policy "Fiscal & Monetary" pia lzn kuwe na EA-Central Bank ya ku monitor hizo policy.
Mfano. Tusema currency mpya inaitwa EA-Shilling (EAS). hii currency tunipa value labda EAS 1 = USD 1. tunachofanya ni ku convert madeni yote kwenda kwenye hii USD na kenda kwenye EAS lbda TZ tuna daiwa 37B USD, Kenya labda 16B USD na uganda 12B USD haya madeni yote tunatapeleka kwenye EAS kama shilling yetu mpya sasa TZ inakua inadaiwa 37B EAS hivyo hivyo kwa madeni ya nchi nyingine. Baada yapo ndo ela inaingia kwenye circulation
Changamoto ni kwamba sera ya fedha kwenye nchi moja ikibadilika ina affected dhani ya fedha kwenye jumiiya nzima. Alfu pia tutashea inflation ikitokea bei zimepanda Sudani hivyo hiyo bei itakuja kupanda tanzania. Haita weze kama bei ya bidhaa au mafuta ipande sudani halafu bei za hizo bidhaa sizipande sehemu nyingine, hii itasababisha speculation kwenye uchumi.
Kwa sasa common currency haiwezekani
Mkuu iko hivi, hatuwezi kutengeneza sarafu ya pamoja bila kuwa na mpangilio wa awali hasahasa kupitia MONETARY UNION. Nakubaliana na wewe kabisa kwamba sarafu ya pamoja ina changamoto zake kubwa za kiuchumi, kama kuzinyang'anya BENKI KUU baadhi ya mamlaka kwenye sarafu yake. Mfano, kushindwa kudhibiti upatikanaji wa riba kwenye ukopeshaji na utoaji wa mikopo (Nominal Interest Rates), lakini pia nchi wanachama kutofautiana sera za kuichumi, huleta madhara makubwa mno. The Euro-Zone Debt Crisis of 2007 ni mfano halisi....Mkuu shida siyo kupata benki kuu ya EA, hapa tunaweza tukawa na cabinet tu ambayo ina member kutoka nchi zote. Tatizo kuu ni makubaliano hasa ya financial policy na pia makubaliono juu ya vitu vinavyoweze kuadhiri sarafu. Important na exportation, Inflation, kodi etc. Mpaka sasa viongozi wetu hawapo tayari kwa hili kwa maana kila mtu nananganagnia mslai ya nchi yake
Kwani ujui kuwa na sarafu ya pamoja nikama kutengeneza muundo wa dola ya marekani ...sema nisipoteze muda kuwaelimisha wapumbavu ni sawa na kupoteza muda kumuelimisha sa100 tuDola ya Marekani ni International Reserve Currency ndiyo maana hakumbwi na janga la balance of payment, tofauti na sarafu nyingine duniani. Lakini jambo la pili ambalo unalisahau ni kwamba Dola ya Marekani ni bidhaa ambayo mataifa yote duniani yanaihitaji, ndiyo maana hata akichapisha fedha nyingi mwishowe ni lazima mataifa mengine yatazinunua tu. Sisi fedha zetu tutamuuzia nani ???
Good Lord!Kwani ujui kuwa na sarafu ya pamoja nikama kutengeneza muundo wa dola ya marekani ...sema nisipoteze muda kuwaelimisha wapumbavu ni sawa na kupoteza muda kumuelimisha sa100 tu
Ujinga ni mtu kutojua kima chake. We bwana mkubwa una shida ya kutojua kima chako ndio maana kila mtu unamuona mpumbavu.Kwani ujui kuwa na sarafu ya pamoja nikama kutengeneza muundo wa dola ya marekani ...sema nisipoteze muda kuwaelimisha wapumbavu ni sawa na kupoteza muda kumuelimisha sa100 tu
[emoji706]Acha kubishana na watu majiniasi waliokuzidi akili wewe kabishane na sa100 siyo mimi
[emoji706]Acha kubishana na watu majiniasi waliokuzidi akili wewe kabishane na sa100 siyo mimi
[emoji867]
Unazungumza kuhusu shirika la ndege la jumuiya ya A.M. ya hapo awali, East African Airways? Ambayo Tanganyika pamoja na Zanzibari hamkuimiliki kwa asilimia hata kumi tu?Wabinafsi,eac ilipokufa walisubiri ndege,meli nk zipo kwao,mpaka ndege moja tukaenda kuiiba kikomando,siyo wa kushirikiana nao wale,acha wafe njaa
Hizi fantasy naona zinatokana na tabia ya kula maharage mabovu, mkiendelea soon mtapoteza akili kabisaUchumi w Kenya kipindi cha Magu uliyumba sana kweli aliwez. Uchumi wao unategenea Tazlnzania kwa kiwango kikubwa 😬