Unazungumza kuhusu shirika la ndege la jumuiya ya A.M. ya hapo awali, East African Airways? Ambayo Tanganyika pamoja na Zanzibari hamkuimiliki kwa asilimia hata kumi tu?
Umiliki wa hisa za E.A.Airways enzi hizo ulikuwa hivi; Kenya 67.7% Uganda 22.6%, Tanganyika 9% na Zanzibar 0.7%! Alafu zaidi ya yote wafanyakazi zaidi ya 70% wa shirika hilo walikuwa wakenya. Kenya pia ilikuwa inalipa madeni yote ya E.A.A huku Ug. na Tz mkisusia. Eti mali zenu, watanzania buana. 😄
Jisomee mwenyewe;
".....with an initial £50,000 capital, ownership of the company was split between the Kenya Colony ( 67.7 percent), Uganda (22.6 percent) , the Tanganyika Territory (9 percent), and Zanzibar (0.7 percent) . BOAC provided management and technical expertise, and it was also hired to operate six Dragon Rapides...."