Tulifikirie suala la Sarafu moja kati ya Tanzania na Kenya

Tulifikirie suala la Sarafu moja kati ya Tanzania na Kenya

Tulipoanza mwendo baada ya kuacha kutumia sarafu ya Afrika Mashariki(EAShs) hali ilikuwa hivi; 1 KES= 1 Tzsh= 1 Ugsh. Leo hii 1,000 ya Tz ni sawa na shilingi 50 za Kenya na 1,000 ya Uganda ni sawa na shilingi 33 za Kenya. Tafakari hayo.
Mkuu kwani hujui mwinyi akisaini anguko la shilingi ili kujiunga nanWB na IFM kuna kipind 5sh ilikuwa sawa na dola 1 kabla ya kusain
 
Unazungumza kuhusu shirika la ndege la jumuiya ya A.M. ya hapo awali, East African Airways? Ambayo Tanganyika pamoja na Zanzibari hamkuimiliki kwa asilimia hata kumi tu?

Umiliki wa hisa za E.A.Airways enzi hizo ulikuwa hivi; Kenya 67.7% Uganda 22.6%, Tanganyika 9% na Zanzibar 0.7%! Alafu zaidi ya yote wafanyakazi zaidi ya 70% wa shirika hilo walikuwa wakenya. Kenya pia ilikuwa inalipa madeni yote ya E.A.A huku Ug. na Tz mkisusia. Eti mali zenu, watanzania buana. 😄

Jisomee mwenyewe;
".....with an initial £50,000 capital, ownership of the company was split between the Kenya Colony ( 67.7 percent), Uganda (22.6 percent) , the Tanganyika Territory (9 percent), and Zanzibar (0.7 percent) . BOAC provided management and technical expertise, and it was also hired to operate six Dragon Rapides...."
Hizo 9% ni nini!?..na kwa nini iliitwa EAA!?
Unazungumza kuhusu shirika la ndege la jumuiya ya A.M. ya hapo awali, East African Airways? Ambayo Tanganyika pamoja na Zanzibari hamkuimiliki kwa asilimia hata kumi tu?

Umiliki wa hisa za E.A.Airways enzi hizo ulikuwa hivi; Kenya 67.7% Uganda 22.6%, Tanganyika 9% na Zanzibar 0.7%! Alafu zaidi ya yote wafanyakazi zaidi ya 70% wa shirika hilo walikuwa wakenya. Kenya pia ilikuwa inalipa madeni yote ya E.A.A huku Ug. na Tz mkisusia. Eti mali zenu, watanzania buana. 😄

Jisomee mwenyewe;
".....with an initial £50,000 capital, ownership of the company was split between the Kenya Colony ( 67.7 percent), Uganda (22.6 percent) , the Tanganyika Territory (9 percent), and Zanzibar (0.7 percent) . BOAC provided management and technical expertise, and it was also hired to operate six Dragon Rapides...."
Hiyo 9% ilikua ya nini!?
 
Hizo 9% ni nini!?..na kwa nini iliitwa EAA!?

Hiyo 9% ilikua ya nini!?
Ndege zote za E.A.Airways zilikuwa kumi. Sasa wewe fanya mahesabu, 9%(Tanganyika) na 0.7%(Znz). 9.7% ya ndege kumi ni ndege ngapi hizo kwa ujumla ambazo mnasema mliibiwa? Ongeza juu yake madeni ya shirika, ambayo yalikuwa yanalipwa na Kenya kwa niaba yenu Tz mkiwa na Ug.

Kuhusu jina ni sawa na kusema kwamba Kenya ina haki ya kumiliki asilimia fulani ya EATV.
 
Ndege zote za E.A.Airways zilikuwa kumi. Sasa wewe fanya mahesabu, 9%(Tanganyika) na 0.7%(Znz). 9.7% ya ndege kumi ni ndege ngapi hizo kwa ujumla ambazo mnasema mliibiwa? Ongeza juu yake madeni ya shirika, ambayo yalikuwa yanalipwa na Kenya kwa niaba yenu Tz mkiwa na Ug.

Kuhusu jina ni sawa na kusema kwamba Kenya ina haki ya kumiliki asilimia fulani ya EATV.
Kimantiki unajichanganya,unamaanisha shirika lilikua la Kenya lakini unashutumu hatukulipa madeni tulimwachia Kenya...ile ndege tuliyokwapua unamaanisha tuliiba haikua yetu!?..
 
Kuwa na strong shillings haina maana uchumi wako ni mzuri au utakuwa mzuri, na kwa nchi maskini ni hasara tupu kuwa na strong currency maana inaua exports, acha wakenya wawe na strong currency hiyo ni opportunity kwa Tanzania kuifanya Kenya kuwa market yake, ni kama China kwa US na ndio maana kuna currency war kati yao, China anataka pesa yake iwe weak ili aendelee kuigeuza US soko lake, siku China akiwa na strong currency atapoteza sehemu kubwa ya soko lake ndio maana pesa yake ni artificially weak, ila uchumi wetu ungekuwa unategemea imports kuwa na strong currency ni jambo zuri, lakini kuna factor nyingi sana kwenye mambo ya uchumi kwa hiyo balance lazima iwepo
 
Back
Top Bottom