Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
safi sana.Ndio. China hiyo hiyo ambayo soko lake kubwa duniani ni Marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana.Ndio. China hiyo hiyo ambayo soko lake kubwa duniani ni Marekani.
Sawa sawa.safi sana.
Unajiingiza utahira??Unajitoa ufahamu?
Hiyo ni aljazeera.com chombo mnachokiamini..... Pro russia nakuwekea link hapo chini kama ngeri tatizo tafuta translate usome vizur.... Hayo ni masaa 15 yaliopita Ukraine inapanga uongozi huko kursk🤣Unajiingiza utahira??
Mkubwa huko kakanyaga waya mamaeee🤣🤣🤣... Sasa anatoa wanajeshi Ukraine anawapeleka nyumbani(kursh) kupigana na Ukraine.... Na Ukraine nae anazidi kwenda....hii inaitwa KOMOA NIKUKOMOE😂🤣Unajiingiza utahira??
CNN mie hao nilishawafuta kabisa🤣🤣🤣🤣kila mtu na anachotaka kuamini..............ila kazeni msuli Trump anakuja kupiga finishing la maana hukoMkubwa huko kakanyaga waya mamaeee🤣🤣🤣... Sasa anatoa wanajeshi Ukraine anawapeleka nyumbani(kursh) kupigana na Ukraine.... Na Ukraine nae anazidi kwenda....hii inaitwa KOMOA NIKUKOMOE😂🤣
Russia appears to have diverted several thousand troops from occupied Ukraine to counter Kursk offensive, US officials say
Aljazira nao huwaamini?CNN mie hao nilishawafuta kabisa🤣🤣🤣🤣kila mtu na anachotaka kuamini..............ila kazeni msuli Trump anakuja kupiga finishing la maana hukoView attachment 3071566View attachment 3071567
Hii ingineAljazira nao huwaamini?
Mimi naamini RT na Sputnik baas ndo maana tokea vita ilipoanza nikabaki humo tu,,,,,kila mtu ale propaganda zinazomfurahisha yakheeeAljazira nao huwaamini?
Ukraine au nato!?..Kitu nilichojifunza kuhusu Ukraine ina Wanajeshi wazalendo sana na Nchi yao na pia Technology wanayo sio swala dogo kusumbuana na Russia miaka yote hii kwa kitu tulicjotegemea Putin anaenda kumega kama 2014 .
Unapoonna Marekani anasema amegundua mpango fulani basi ujue ni yeye aliyeandaa na kupanga huo mpango. Hivyo kusema eti Marekani ilijua mapema kuhusu kifo cha Rais wa Iran unatakiwa uwe na akili kubwa sana na sio ushabiki kwa vile tu wewe ni Pro 🇺🇸.Hata kama askari wa Ukraine waliokaa masaa mawili ndani ya Urusi, hii imeonesha udhaifu mkubwa sana upande wa Urusi. Unajiitaje Taifa Kubwa halafu intelijensia yako inashindwa kutambua vitu vidogo kama hivi! Ingelikuwa Marekani, wangetambua tangu siku ya kwanza ya kusuka mipango. Mfano, unaambjwa Marekani ilijua mapema kuwa Rais wa Iran anaenda kudedi! Hapo ndio Kuna utofauti wa Taifa Kubwa na Urusi inayojiita Taifa Kubwa!
Hii kitu asikusikie bwana Xi Jinping ila ndio uhalisia sasa.Ndio. Marekani hii hii ambayo inaendesha uchumi wa China kwa zaidi asilimia ya 76%!
Ukraine apeleke HIMARS huko Kursk, zile HIMARS ni moto mwingine ule.Mkubwa huko kakanyaga waya mamaeee🤣🤣🤣... Sasa anatoa wanajeshi Ukraine anawapeleka nyumbani(kursh) kupigana na Ukraine.... Na Ukraine nae anazidi kwenda....hii inaitwa KOMOA NIKUKOMOE😂🤣
Russia appears to have diverted several thousand troops from occupied Ukraine to counter Kursk offensive, US officials say
Siyo kweli, USA wasingeweka vikwazo,kwanza china anaidai USA wakati USA haiidai chinaHii kitu asikusikie bwana Xi Jinping ila ndio uhalisia sasa.
Aliposema kwamba Russia inaenda kuipiga Ukraine ina maana US ndo alisuka mpango kwa Russia ili aivamie Ukraine? Yaani US walimchukulia maamuzi Putin?Unapoonna Marekani anasema amegundua mpango fulani basi ujue ni yeye aliyeandaa na kupanga huo mpango. Hivyo kusema eti Marekani ilijua mapema kuhusu kifo cha Rais wa Iran unatakiwa uwe na akili kubwa sana na sio ushabiki kwa vile tu wewe ni Pro 🇺🇸.
Ni kwanini huwa hatoi taarifa za yale matukio yanayowagusa wao na washirika wake. Je tukio la kigaidi la September 11 mbona hakulijua
Huu mwaka russia hatosahau mamaeeUkraine apeleke HIMARS huko Kursk, zile HIMARS ni moto mwingine ule.
Vita haina mbabe kweliMarekani yenyewe vita kuu ya 2 ilipigwa na Japan na ni sehemu ndogo mtu akapanic hadi akaamua kutumia bomu la nuclear,,,mrusi kakomaa sana kuliko hao maboya wa western,,,,angefanyiwa hivo marekani angetandika hio nchi hata mabomu ma 5 ya nuclear,,,,,ila mrusi anajua kuwanyoosha taratibu hana papara
Mnajifariji..... Ukweli mchungu RUSSIA jina tu siku ya ngapi leo Ukraine yupo ndani ya Russia na Russia wanalijua hilo?Vita haina mbabe kweli
Hata myahudi alichapa kuja kushtuka mpaka mateka wamebebwa na wanamgambo wa Hamas
Kwa hasira wameuwa watu wasiokuwa na hatia huku mateka bado wameshikiliwa
Russia anapambana na nchi nyingi kwa kuwa wote ni weupe huwezi kujua hizo maiti za Ukraine ni Canadians au waingereza au wao wenyewe
Ingekuwa nchi dhaifu western na 🇺🇸 wangeingia mazima
Siku ya ngapi wameambulia nini??? Hivo vijiji walimo kaa ndo watakaa kwenye meza ya mazungumzo wa bargain na mrusi kwa eneo lao lililomegwa🤣🤣🤣.....Mnajifariji..... Ukweli mchungu RUSSIA jina tu siku ya ngapi leo Ukraine yupo ndani ya Russia na Russia wanalijua hilo?
Hahahaha wapumzishe mkuu watawehuka.Hiyo ni aljazeera.com chombo mnachokiamini..... Pro russia nakuwekea link hapo chini kama ngeri tatizo tafuta translate usome vizur.... Hayo ni masaa 15 yaliopita Ukraine inapanga uongozi huko kursk🤣
This time maji mtaita mmaaa
![]()
Russia-Ukraine war updates: Kyiv says military office set up in Kursk
These were the updates from the Russia-Ukraine war for Thursday, August 15, 2024.www.aljazeera.com