Tuliishi kwa raha sana....Kabla kampuni kupanuka

yaani wewe na mzee wao ni wao ni mapicha msio fanana, acha tungi bro ita kuponza.

Mimi na ujanja wangu sija wahi vuta hata sigara, hata kutongoza ni kiuoga uoga tu.

Bro pombe iliyo zidi ni mbaya
 
Ahsante mkuu nzalendo na nisamehe ni kama nilibadili mada yako kuwa kijiwe changu ,nilihitaji walau nioate msaada wa kuondoka hapa na kufika nyunbani kaka uniwie radhi kwa kuingilia uzi wako .

Wakati naelekea uliponielekeza kiukweli nimejihisi aibu nitajieleza vipi kwao na bahati mbaya ukute wananijua nikaona wajihi na heshima yangu ikishuka kaka ,nimedaka boda hapa hatujaanza safari ila amesema aweke mafuta nimemueleza uhalisia wangu na kumwaomba tufike nyumbani hela yake sitakosa .

Ikiwa nitashindwa nimemueleza kuwa nitampa hata kuku au mazao yenye thamani ya hela atakayoitumia mimi kufika .

Rafiki nzalendo Dr am 4 real PhD na kaka Intelligent businessman ahsanteni kwa ushauri naenda kazini sasa na hakika nitawahi na lengo litabaki pale pale lazima niwe mtumishi bora wa mwaka .

Kwaherini ,niombeeni nifike salama ni wenu mjukuu wa polepole .šŸ™šŸ™šŸ™
 
It will never be ok kaka ,nishaachwa kukubali imekuwa shida .

Lakini nitakuwa na muda wa kujitafakari tena nahitaji kuanza tena maisha yangu nayaona yakipotea mikononi mwangu
Be strong...najua maumivu yanafananaje hasa ukimpoteza mtu/ watu unao wapenda.

Mimi na moyo mgumu...jifunze ku LET IT GO. Japo ni ngumu Kwako sababu una mtoto/watoto nae..

Mtoe moyoni kisha muone wa kawaida..mwaka wa tano pia nam miss namkumbuka simtumii meseji Wala kumpigia simu..tuna peana deals za kazi..lakini simtafuti Wala kueleza chochote kua na mmiss sababu it's over between us.

Be strong šŸ’Ŗ jifunze ku LET IT GO.
 
Bwana Justine ni mtu mwema sana ukimuomba buku la kufika Mbalizi anakupa.
 
Fanya juu chini usogee mpaka pale Rungemba mtafute Kalinga au Mwangimba watakuombea lift,,,,,,wape salaam waambie Mululu anawasabahi.....Ukiwatajia jina Mululu....msaada utapata.
Huyo mwamba allikuwa Bar ya pale Songwe inaitwa Kitelewasi wanachoma mbuzi watamu sana na kuku. Angekuwa Kitelewasi ya Lungemba angeleta habari za kula nyani na mkangafu🤣🤣
 
Siku hizi kampuni nyingi hasa za transport majungu kibao. Tena mkisimamiwa na mhindi mtaishi kama mbwa Koko. Kinachowamaliza ni zile nyama zao.
 
Siku hizi kampuni nyingi hasa za transport majungu kibao. Tena mkisimamiwa na mhindi mtaishi kama mbwa Koko. Kinachowamaliza ni zile nyama zao.
Pigeni kazi msiogope majungu hayo yapo kila taasisi. Acha kazi ukipata chimbo jipya. 2000 ni bora kuliko kuamka huna hata mia halafu una watu nyuma yako wanakutegemea.

Kwenye kampuni zinazoongozwa na wahindi majungu ni sehemu ya management controls. Pia unao uongozi mpya unapoingia mabadiriko mengi hutokea na hivyo mnaokuwepo mnapaswa kuisahau zamani na kuanza kuifanyia kazi sasa na ijayo.

Fanyeni kazi na msikate tamaa mtaa hauna huruma na mtu
Nitarudi
KAZI ni kipimo cha utu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…