Tuliishi kwa raha sana....Kabla kampuni kupanuka

Tuliishi kwa raha sana....Kabla kampuni kupanuka

Muda huo niliamka mara ya pili baada ya ile ya kwanza kuamkia daku ๐Ÿ˜‚ Ila nikahisi kuchoka hata kushika simu siwezi

Sasa huyu I mean nobody to......... Intelligent businessman raisi wa jobless hajatoa advance ya kampuni mpk sasa!
Mimi nafunga bila daku yaani nakula saa 4 usiku Basi kesho natoboa vyema kabisaa

Raisi anatuzuga ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…
 
Pole sana penye ridhiki hapokosi fitina.
Rafiki yangu hivi nilikuja kitelewasi toka saa tatu jana usiku na hapa nimemalizia bia ya mwisho ila sina hata nauli ,nawaza nitembee au nipae maana niendako ni mbali .

Starehe mbaya sana kama una rafiki mitaa hii niombee lifti walau anifikishe mbalizi kuhusu kufika nyumbani labda nitapata pia lift
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nakuja kukubeba
 
Tegeta kufika makumbusho ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au nifanye zoez la kaza mwili
Kama uko chakali kama nilivyokuwa mimi alfajiri zoezi la kaza mwili hutoliweza .
Niruhusu nimtume mwamba atoke hapo CCO makumbusho aje akuchukue na gari chap kaka ila nisaidie namba ya simu ili nimpe akupigie umpe location .

Huko ni nyumbani huwezi kufa nikiwepo ila huku kwenye mikoa ya watu ndiyo ninakotaabika haswa kaka
Tegeta kufika makumbusho ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ au nifanye zoez la kaza mwili
 
Kama uko chakali kama nilivyokuwa mimi alfajiri zoezi la kaza mwili hutoliweza .
Niruhusu nimtume mwamba atoke hapo CCO makumbusho aje akuchukue na gari chap kaka ila nisaidie namba ya simu ili nimpe akupigie umpe location .

Huko ni nyumbani huwezi kufa nikiwepo ila huku kwenye mikoa ya watu ndiyo ninakotaabika haswa kaka
Kabisa utakuwa umefanya jamb ka msingi
 
Back
Top Bottom