Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Muda huo niliamka mara ya pili baada ya ile ya kwanza kuamkia daku π Ila nikahisi kuchoka hata kushika simu siwezi
Mtafute basi ili tujue kama tunasa.....fi......ri......sh......a au tunafanyaje.Sija fahamu kiukweli, maana long time since niongee nae.
Hii sentensi imenihudhunisha sana pole ntakuweka kwenye sala zangu pia.Mdogo wangu ni mengi nakutana nayo ,ukipata muda niombee
Mimi nafunga bila daku yaani nakula saa 4 usiku Basi kesho natoboa vyema kabisaaMuda huo niliamka mara ya pili baada ya ile ya kwanza kuamkia daku π Ila nikahisi kuchoka hata kushika simu siwezi
Sasa huyu I mean nobody to......... Intelligent businessman raisi wa jobless hajatoa advance ya kampuni mpk sasa!
Ahsante dadaHii sentensi imenihudhunisha sana pole ntakuweka kwenye sala zangu pia.
Hata mimi naiweza hiyo Ila saa hivi nafanya tuu hivyo nPata njaa mapema mno πMimi nafunga bila daku yaani nakula saa 4 usiku Basi kesho natoboa vyema kabisaa
Raisi anatuzuga πππ
Haaahaa π π balaa at least Sasa mvua zumeanza kunyeshaa aiseeeHata mimi naiweza hiyo Ila saa hivi nafanya tuu hivyo nPata njaa mapema mno π
ππ nakuja kukubebaPole sana penye ridhiki hapokosi fitina.
Rafiki yangu hivi nilikuja kitelewasi toka saa tatu jana usiku na hapa nimemalizia bia ya mwisho ila sina hata nauli ,nawaza nitembee au nipae maana niendako ni mbali .
Starehe mbaya sana kama una rafiki mitaa hii niombee lifti walau anifikishe mbalizi kuhusu kufika nyumbani labda nitapata pia lift
Mdogo angu una utani wa ugomvi wa ngumi eeee π€ππ nakuja kukubeba
Na mmudu uyo πMdogo angu una ugomvi wa ngumi eeee π€
Sema kweliNa mmudu uyo π
Subirieni mwakaniππMuda huo niliamka mara ya pili baada ya ile ya kwanza kuamkia daku π Ila nikahisi kuchoka hata kushika simu siwezi
Sasa huyu I mean nobody to......... Intelligent businessman raisi wa jobless hajatoa advance ya kampuni mpk sasa!
Mike nilishafika nyumbani toka saa moja bwana ,nilimpata boda boda ni malaika yule jamaaππ nakuja kukubeba
Mim bado sijatoka sijui narudije πMike nilishafika nyumbani toka saa moja bwana ,nilimpata boda boda ni malaika yule jamaa
Umekwama wapi ndugu yangu ,kwasasa niko sawa naweza kutoa msaada nambie nikuokoe chapMim bado sijatoka sijui narudije π
Tegeta kufika makumbusho ππ au nifanye zoez la kaza mwiliUmekwama wapi ndugu yangu ,kwasasa niko sawa naweza kutoa msaada nambie nikuokoe chap
Kama uko chakali kama nilivyokuwa mimi alfajiri zoezi la kaza mwili hutoliweza .Tegeta kufika makumbusho ππ au nifanye zoez la kaza mwili
Tegeta kufika makumbusho ππ au nifanye zoez la kaza mwili
Kabisa utakuwa umefanya jamb ka msingiKama uko chakali kama nilivyokuwa mimi alfajiri zoezi la kaza mwili hutoliweza .
Niruhusu nimtume mwamba atoke hapo CCO makumbusho aje akuchukue na gari chap kaka ila nisaidie namba ya simu ili nimpe akupigie umpe location .
Huko ni nyumbani huwezi kufa nikiwepo ila huku kwenye mikoa ya watu ndiyo ninakotaabika haswa kaka
Duh kaka nilijisahau nikaendelea na shughuli ,nimeona umenicheki ila sema nashindwa kusoma text nitumie kama kichwa cha habari kwa namba ya simu ili niione juu ndiyo niikopi kaka bila hivyo nashindwa kusoma chochoteKabisa utakuwa umefanya jamb ka msingi