Uchaguzi 2020 Tulikemee hili la Wanafunzi kuachishwa masomo kwa ajili ya kampeni za CCM

Uchaguzi 2020 Tulikemee hili la Wanafunzi kuachishwa masomo kwa ajili ya kampeni za CCM

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
B61FC6DA-8355-4B96-A4DE-DC7B9DFE9A20.jpeg


Mdau najua wewe ni shahidi.Kila makao makuu ya mkoa anapopita Mgombea wa CCM na mgombea mwenza kumekuwa na tabia ya kuachisha masomo wanafunzi na kusombwa kuhudhulia mkutano.

Hii sio haki kwani hii ni mikutano ya kichama na inavuruga mwenendo wa masomo yao.

Mwalimu mmoja jana akanitaka kama nipo karibu na Tundu Lissu nimuombe akemee jambo hili ili lisiendelee. Nami nimemtaka Mtumishi wetu Tundu Lissu akeeme jambo hili haraka,kama ulivyokemea udhalilishaji kwa kina mama nk.
 
Kama una pressure na kisukari na unataka uishi angalau maisha Marefu nakushauri usiwe mpambe wa CDM.

Maana kuanzia mgombea Urais mpaka wakereketwa wa huku chini kila siku nikutoa povu na kujadili watu ambao hawana hata muda nao.

Daah! Poleni Sana vijana wa ufipa Ila yote yatakwisha 29Oct2020. Then mbakize kulialia tu huku mitandaoni maana ndo kazi yenu pekee mliobakiza.
 
Mbeba maono Tundu Lisu atarudisha FAO la kujitoa, watu wote walipwe jumla, akiba yao.

CCM tupa kule, wamepora Pesa za wafanyakazi na Kuondoa FAO la kujitoa.

NSSF lipeni watu wote fao la kujitoa

Sheria mpya ya mafao inapora haki za wanyonge.

CCM, Ndugai na Magufuli, rudisha Fao la kujitoa.

Mheshimiwa Tundu Lisu, ongelea Tena hili Baba mkombozi, mtetezi wa Haki

Sky Eclat Molemo
 
Mbeba maono Tundu Lisu atarudisha FAO la kujitoa...watu wote walipwe jumla...akiba yao.

CCM tupa kule...wamepora Pesa za wafanyakazi na Kuondoa FAO la kujitoa.

Nssf lipeni watu wote fao la kujitoa

Sheria mpya ya mafao inapora haki za wanyonge.

CCM , Ndugai na Magufuli... rudisha Fao la kujitoa.

Mheshimiwa Tundu Lisu...ongelea Tena hili Baba mkombozi.. mtetezi wa Haki

Sky Eclat Molemo
1602478249639.png
 
Jana Tundu Lissu alisema "hata OCD wetu anajua ila kuna watu wanamsukasuka"
 
Ni jambi la aibu sana , hata mashabiki wao wachache imekuwa mwendo wa kuwasomba sijui garama nani analipa?
 
View attachment 1597425

Mdau najua wewe ni shahidi.Kila makao makuu ya mkoa anapopita Mgombea wa CCM na mgombea mwenza kumekuwa na tabia ya kuachisha masomo wanafunzi na kusombwa kuhudhulia mkutano.
Hii sio haki kwani hii ni mikutano ya kichama na inavuruga mwenendo wa masomo yao.

Mwalimu mmoja jana akanitaka kama nipo karibu na Tundu Lissu nimuombe akemee jambo hili ili lisiendelee . Nami nimemtaka mtumishi wetu Tundu Lissu akeeme jambo hili haraka,kama ulivyokemea udhalilishaji kwa kina mama nk.
Huyu bibi hana mvuto hata kidogo
 
Kuna hela za kuchezea ccm. Ukikubali kupanda gari unapewa elfu 10
 
Kama una pressure na kisukari na unataka uishi angalau maisha Marefu nakushauri usiwe mpambe wa CDM.

Maana kuanzia mgombea Urais mpaka wakereketwa wa huku chini kila siku nikutoa povu na kujadili watu ambao hawana hata muda nao.

Daah! Poleni Sana vijana wa ufipa Ila yote yatakwisha 29Oct2020. Then mbakize kulialia tu huku mitandaoni maana ndo kazi yenu pekee mliobakiza.
bila shaka utakuwa hutoshi kwenye hii mada
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu huo ni Uwekezaji wa baadae, ukiangalia kwa haraka haraka unaweza kuchangia kwa ushabiki.
Lkn Hawa watoto pia kuna watu wanawachukulia kama ma role model wao sasa tuwazuie kwenda kuwaaangalia. Chukulia kama yule dogo wa Mbeya aliyepanda Mti ili kumuona TL nani alienda kumtoa shuleni! Ni mapezi yake binafsi kwa Mgombea husika na wala Mtu asitujaze ujinga Vichwani kwamba shule zinafungwa ili watoto waende kwenye kampeni hilo linakemewa sana wadau tuache siasa za Majitaka na kama lipo wanaofanya hivyo wanaandaa kizazi chao kijacho kwa ujanja ujanja, ingawa si vema.
 
Kama una pressure na kisukari na unataka uishi angalau maisha Marefu nakushauri usiwe mpambe wa CDM.

Maana kuanzia mgombea Urais mpaka wakereketwa wa huku chini kila siku nikutoa povu na kujadili watu ambao hawana hata muda nao.

Daah! Poleni Sana vijana wa ufipa Ila yote yatakwisha 29Oct2020. Then mbakize kulialia tu huku mitandaoni maana ndo kazi yenu pekee mliobakiza.
Unaakili kweli?

Kati ya Wana-CCM na Wana-CHADEMA kina nani wenye furaha kipindi hiki?Angalia mikutano ya CHADEMA watu walivyo nafuraha kuliko mikutano ya CCM
 
View attachment 1597425

Mdau najua wewe ni shahidi.Kila makao makuu ya mkoa anapopita Mgombea wa CCM na mgombea mwenza kumekuwa na tabia ya kuachisha masomo wanafunzi na kusombwa kuhudhulia mkutano.

Hii sio haki kwani hii ni mikutano ya kichama na inavuruga mwenendo wa masomo yao.

Mwalimu mmoja jana akanitaka kama nipo karibu na Tundu Lissu nimuombe akemee jambo hili ili lisiendelee. Nami nimemtaka mtumishi wetu Tundu Lissu akeeme jambo hili haraka,kama ulivyokemea udhalilishaji kwa kina mama nk.
KESHO UKIITWA UTHIBITISHE MATAMUSHI HAYAA. UNAANZA KWENDA KULILIA LILIA UBAROZI WA MABEBERU. UNAUSHAIDI NA UNACHOKISEMA??
 
Siku ratiba ikionyesha mgombea wa CCM yuko eneo lenu,mzazi usiluhusu mwanao aende shule,hiyo ndiyo dawa.
Ukimzuia mwanao kwenda shule na akakosa vipindi vya masomo vya siku husika hapo unakua umemkomoa nani?
 
Back
Top Bottom