nusaki1974
Member
- Apr 11, 2019
- 87
- 88
Kabisa aisee natamani asioze haraka ili wadudu wamle kwa kujiachia hata miaka kumi hakuwa na adabu na swala la uhai wa binadamu wengineAliyemfikisha Hapo kaanza Kuoza Kaburini wamebaki kichwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa aisee natamani asioze haraka ili wadudu wamle kwa kujiachia hata miaka kumi hakuwa na adabu na swala la uhai wa binadamu wengineAliyemfikisha Hapo kaanza Kuoza Kaburini wamebaki kichwa
Kwa hiyo unakiri kuwa Mdude alimtukana Mwendazake na siyo kwamba alifanya biashara ya dawa za kulevya!! FINE.Tatizo la mdude ni kukosa akili za kawaida! Ajifunze kwa mbowe huyo huyo, alishawahi kumuona akimtukana kiongozi yeyote hadharani? Afanye siasa safi, habari za kukososa kwa kuwatukana viongozi wa juu kabisa ambao kicha ya uongozi wao hata kiumri ni sawa na baba zake au kaka zake sio sawa kabisa. Japokuwa kabambiwa kesi ila kuna la kujifunza katika kila ujinga na upumbavu
Hata Mimi nimemshangaa. Msaada wote wa kisheria na kisaikolojia kapewa alitaka nini zaidi?Ulitaka tukavunje gereza?
SHETANI WEWE NA WENZIO MNAOOLEWAGA ULAYA MNAJIFANYA WAKIMBIZI KUMBE MNAENDA KUGOKwani wewe ni mtu! Si shetani tu!
babayoHiyo haki inatokea chadema wanaongoza nchi!
Utamtambua shetani kwa maneno na matendo yake, sasa nieleze tofauti yako na shetani ni ipi?SHETANI WEWE NA WENZIO MNAOOLEWAGA ULAYA MNAJIFANYA WAKIMBIZI KUMBE MNAENDA KUGO
Sawa na wewe kumfananisha yule mpumbavu aliyezikwa chato na kambarage ????Usifananishe Mandela na vitu vya kipumbavu
Angalia usije kula wewe mvua zaidi ya 30.Kesho anakula si chini ya mvua 30
Unafahamu lugha ya kiswahili kweli wewe?Na ndo vijana mjifunze kua kuna maisha binafsi nje ya siasa. Wanaopata tabu ni ndugu zake hali Mbowe hajawahi hata kumfanyia mpango mkewe apelekewe hata elf 70 tu.
Na nyie kamtoe sabaya pumbavu zenuWazee wa hashtag wa twitter wakamtoe, ufipa mnajazanaga ujinga mkiongozwa na mbowe tapeli
Hujui kitu wewe.Na ifike mahala sasa, watu wafanye mambo kwa ajili ya familia zao na wake zao, kujifanya mwanaharakati huku wazazi wamekusomesha uje uwape faida haya ndio madhara yake sasa. mwenyekiti yeye anakula maisha. Yeye miaka mitano mahabusu mke na watoto wanakufa njaa
Kesi yakubambikiwa ile, Wala haiitaji uwe zuzu Kama wewe kulijua iloWe pimbi umepitia jalada la kesi?
Ibilisi wa kwanza ni mbowe, anatoa watu wasio na hatia chambo wakati yeye anapiga misele kutafuta hela za saccos