Tulikuwa wapi kumsaidia Mdude mpaka tunasubiri siku ya hukumu? Huu ni uzembe mkubwa

Tulikuwa wapi kumsaidia Mdude mpaka tunasubiri siku ya hukumu? Huu ni uzembe mkubwa

Wazee wa hashtag wa twitter wakamtoe, ufipa mnajazanaga ujinga mkiongozwa na mbowe tapeli
Nani anawaongonza kubambikia watu kesi za uongo hapa ndiyo utajua kwanini Yesu alisema watoto wa ibilisi Ni dhahiri na watoto wa Mungu Ni dhahiri. Mtawambikizia watu kesi mpaka lini enyi Wana wa ibilisi?.Yesu kasema Msiwashitaki watu kwa uongo lakini bado mnashitaki watu kwa uongo.
 
Huyo kilaza ale mvua ya kutosha kama sio maisha kabisa hata nyundo 30 ajifunze na hizo harakati zake za kishamba bila shule, kuropoka na kutukana wakubwa wa nchi kana kwamba sheria za nchi hazijui.
Kumbe anashtakiwa kwa kutukana wakubwa?
 
Unafiki mbaya sana kwa wanasiasa miaka 5 hakuwahi hata kumtaja kinywani mwake isingekua hiyo ziara ya kuzindua mavazi na vitambulisho vya saccos angehudhuria lini!
mhh! kwa swala la kutomtaja miaka 5 wasema ULOOONGO..
 
"Kesho J3,asubuhi, nitaungana na Familia ya CHADEMA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili Mdude Nyagali, Mdude amepitia miaka 5 ya mateso na uonevu usio kifani.ataheshimishwa kwa kuisimamia Imani! Naamini haki itatendeka."-
@freemanmbowetz
View attachment 1817334


View attachment 1818165
upumbavu wa vijana wachache wanaolewa ushabiki huyu kijana atakuwa amejifunza mnaomhurumia mngekuwaga mnakujana maandiko aliyokuwaga anaandika niaibu
 
Back
Top Bottom