Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Viherehere ndo vinavyowaponza, wenzao wanakula maisha uraiani wao kujifanya wanaharakati, kiko wapi sasa zaidi ya kumtia stress baba yake na mama ake,, big up sana kina halima mdee na wenzake kwa kuangalia maisha yao kwanza kisha hayo mambo ya mavyama watajijua wenyewe, nchi hii hakuna mpinzani wala mwanaharakati wote wapigaji, ukijitia kiherehere kuungana na likitokea la kutokea wanakuchora tu.