Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Ujinga ni kipaji alichokujalia Mungu!Kafanikiweni kwanza kumtoa mdude ndo mje hapa, naona mnatapatapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga ni kipaji alichokujalia Mungu!Kafanikiweni kwanza kumtoa mdude ndo mje hapa, naona mnatapatapa
Kiaje MkuuMdude ni mwanaharakati tena pure kabisa nilivyoskia ile story ya heche kutaka kumtorosha na yy kugoma hapo nikajua jamaa kweli mwanaharakati
Wewe ni mpuuzi sana, tumekua tukichangia gharama za Wakili na kwenda kumtembelea kila Mara halafu unatuletea nyege mshindo zako hapa? Pumbavu sana
Jiulize wangapi wamekimbia nchi,jamaa katekwa Mara ngapi lkn bado kakomaa hao ndo wanaharakatiKiaje Mkuu
Sawa.ila watoto wanakufa njaa nyumban.na mkeo pia hal si nzur...hata chuo tulikua tunawambia wale waongoza migomo..kuwa kumbuka umetumwa na kijij hapa. Usishindane na serikal kihivyo tumia akil..pambana kwa akil..Selfishness at its best!!
Ingekuwa kila mtu alikuwa na mawazo kama ya kwako. Tusinge pata uhuru 1961!!
Wakati una enjoy freedom leo. Elewa kuna wana harakati walipoteza maisha yao wakipigania uhuru!!!
Sawa.ila watoto wanakufa njaa nyumban.na mkeo pia hal si nzur...hata chuo tulikua tunawambia wale waongoza migomo..kuwa kumbuka umetumwa na kijij hapa. Usishindane na serikal kihivyo tumia akil..pambana kwa akil..Nyerere angewaza hivi ingekuaje? Nadhani kila mwana siasa anafaham kila harakati zina hasara zake!! So he was prepared. Mbowe unayemsifia amekula loss ya 2 Billion in assets and inflows.
Sawa.ila watoto wanakufa njaa nyumban.na mkeo pia hal si nzur...hata chuo tulikua tunawambia wale waongoza migomo..kuwa kumbuka umetumwa na kijij hapa. Usishindane na serikal kihivyo tumia akil..pambana kwa akil..Familia yako ni Watanzania wote na ndiyo sababu Mdude anaombewa na wote kwani anatetea na kuteswa kwa ajili ya wote!
Haya maneno kamwambie mkew na watoto wake na wazaz wake uone kama watakuelewa....aache kutukana watu hovyo..hii dunia ingekua kila mtu anamtukana mwenzie hadharan na kuibua tu siri za watu hovyo pasingekalika hapa..ndomana kuna staha na vipimo tena kwa watu waliokuzid umr.Jamaa atafungwa mwili lakini mawazo yake hayatafungwa, dikteta yuko wapi kafa kawaacha aliowapiga risasi wana dunda mtaani taratibu
Sabaya pia anafia jelaKesho anakula si chini ya mvua 30
Mdude amekaa mahabusu miaka mitano?!Na ifike mahala sasa..watu wafanye mambo kwa ajili ya familia zao na wake zao...kujifanya mwanaharakat huku wazaz wamekusomesha uje uwape faida.haya ndo madhara yake sasa..mwenyekit yeye anakula maisha..yeye miaka mi5 mahabusu mke na watoto wanakufa njaa
mungu atasimamia haki! Atamtetea na kufanya lile lililo hakiKesho anakula si chini ya mvua 30
Sawa hiki ndiyo kizazi kipya kinachojali matumbo yao! Kumbuka kuna watu walipigania hicho unachofaidi sasa!Sawa.ila watoto wanakufa njaa nyumban.na mkeo pia hal si nzur...hata chuo tulikua tunawambia wale waongoza migomo..kuwa kumbuka umetumwa na kijij hapa. Usishindane na serikal kihivyo tumia akil..pambana kwa akil..
Tuliza akili mkuu! Hujaona nimesema kuwa japo kesi ya kubambikiwa?Kesi yake ni kutukana uongozi au ni madawa ya kulevya?
Kwenye kesi kama hiyo ana nini cha kujifunza kwa Mbowe? Au Mbowe anafanya biashara hizo?
Mbona hueleweki mkuu?
Ameshitakiwa kwa kutukana au madawa ya kulevya?Haya maneno kamwambie mkew na watoto wake na wazaz wake uone kama watakuelewa....aache kutukana watu hovyo..hii dunia ingekua kila mtu anamtukana mwenzie hadharan na kuibua tu siri za watu hovyo pasingekalika hapa..ndomana kuna staha na vipimo tena kwa watu waliokuzid umr.
Huyu haitaji tena kurudi kwenye hii dunia yenye matatizo kibao.Na wewe kamfufue huyuView attachment 1817056
brazaj soma hapa kama mm hukunielewaPamoja ya kuwa uonevu siyo mzuri, ila ukosoaji wa Mdude ulivuka mipaka, haukuwa ni ukosoaji bali ni matusi! Tena kwa kutumia jina lake kabisa, hao akina kigogo aliokuwa anawaiga hadi leo wanatumia fake ids, Akina Shangazi huwakuti wanatukana tukana hovyo! Humu jf watu wanamatusi sana ila ni kwa fake ids na ni waoga kama nini! Alikosea sana, hakuushirikisha ubongo katika ukosoaji wake, kuna maisha baada ya uanaharakati
Kuna wakati kwenye maisha inabidii ujitolee kwa faida ya vizazi vijavyo. Na hii inaweza kuathiri hata familia yako.Sawa.ila watoto wanakufa njaa nyumban.na mkeo pia hal si nzur...hata chuo tulikua tunawambia wale waongoza migomo..kuwa kumbuka umetumwa na kijij hapa. Usishindane na serikal kihivyo tumia akil..pambana kwa akil..