Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Kweli nimeamini Lumumba hamna jema. Mlitaka Cdm wafanyeJe kwa kesi iliokuwa mahakamani ?!. Mungu ametusaidia kutuondolea dictator tena kilaini .Hateswi kwa ajili yangu labda anatetea bangi zake
Mwosha huoshwa