Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Madhara ya kufata mkumbo na kiki ndivyo vinagharimu mdude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Familia yako ni Watanzania wote na ndiyo sababu Mdude anaombewa na wote kwani anatetea na kuteswa kwa ajili ya wote!Na ifike mahala sasa..watu wafanye mambo kwa ajili ya familia zao na wake zao...kujifanya mwanaharakat huku wazaz wamekusomesha uje uwape faida.haya ndo madhara yake sasa..mwenyekit yeye anakula maisha..yeye miaka mi5 mahabusu mke na watoto wanakufa njaa
We pimbi umepitia jalada la kesi?Kesi Haina uthibitisho usio acha shaka, waliobumba hii kessi wameshindwa kuithibitishia mahakama kuwa mdude ndiye muhusuka wa hizo drugs
So kesho mdude anaenda kuachiwa na kuendelea na life lake kama kawaida.
Kamanda acha kujipaisha kifalaMdude tumemchangia sana tu.
Tuheshimu sheria!Ccm inaenda kumuona Sabaya lini?
Wewe nenda kagalegale kwenye Kaburi la IbilisiKamanda acha kujipaisha kifala
Sasa kamanda usiechoka kwa hisani ya watu wa Lumumba.. ingekua vyema kama ungewapa ideas hao CDM jinsi ya kufanya kuhusu kumsaidia mdude. Kama ni kuwapa mbinu ya kuvunja gereza na kumtoa, kubadili sheria kulingana na mashata yake ili sheria isimfunge au ungewapa mbinu yoyote ili wamsaidie.
Nyerere angewaza hivi ingekuaje? Nadhani kila mwana siasa anafaham kila harakati zina hasara zake!! So he was prepared. Mbowe unayemsifia amekula loss ya 2 Billion in assets and inflows.Na ifike mahala sasa..watu wafanye mambo kwa ajili ya familia zao na wake zao...kujifanya mwanaharakat huku wazaz wamekusomesha uje uwape faida.haya ndo madhara yake sasa..mwenyekit yeye anakula maisha..yeye miaka mi5 mahabusu mke na watoto wanakufa njaa
Hateswi kwa ajili yangu labda anatetea bangi zakeFamilia yako ni Watanzania wote na ndiyo sababu Mdude anaombewa na wote kwani anatetea na kuteswa kwa ajili ya wote!
Acha porojo.Nyerere angewaza hivi ingekuaje? Nadhani kila mwana siasa anafaham kila harakati zina hasara zake!! So he was prepared. Mbowe unayemsifia amekula loss ya 2 Billion in assets and inflows.
Selfishness at its best!!Na ifike mahala sasa..watu wafanye mambo kwa ajili ya familia zao na wake zao...kujifanya mwanaharakat huku wazaz wamekusomesha uje uwape faida.haya ndo madhara yake sasa..mwenyekit yeye anakula maisha..yeye miaka mi5 mahabusu mke na watoto wanakufa njaa
Naamini huu ni uongo. Mara zkte wamekuwa wamtaja popote wapatapo fursa na kumsaidia kisheria. Tusubiri matokeo keshoUnafiki mbaya sana kwa wanasiasa miaka 5 hakuwahi hata kumtaja kinywani mwake isingekua hiyo ziara ya kuzindua mavazi na vitambulisho vya saccos angehudhuria lini!
Labda tuvamie gereza?Haya kamsaidieni Sabaya!
Kesho anakula si chini ya mvua 30
Huyo ni boyaSelfishness at its best!!
Ingekuwa kila mtu alikuwa na mawazo kama ya kwako. Tusinge pata uhuru 1961!!
Wakati una enjoy freedom leo. Elewa kuna wana harakati walipoteza maisha yao wakipigania uhuru!!!
Hata akifungwa lakini ataendelea kuwa hai, aliyeagiza afungwe yeye anaoza ardhini taratibuUnafiki mbaya sana kwa wanasiasa miaka 5 hakuwahi hata kumtaja kinywani mwake isingekua hiyo ziara ya kuzindua mavazi na vitambulisho vya saccos angehudhuria lini!
Jamaa atafungwa mwili lakini mawazo yake hayatafungwa, dikteta yuko wapi kafa kawaacha aliowapiga risasi wana dunda mtaani taratibuNa ifike mahala sasa..watu wafanye mambo kwa ajili ya familia zao na wake zao...kujifanya mwanaharakat huku wazaz wamekusomesha uje uwape faida.haya ndo madhara yake sasa..mwenyekit yeye anakula maisha..yeye miaka mi5 mahabusu mke na watoto wanakufa njaa