Tulikuwa wapi kumsaidia Mdude mpaka tunasubiri siku ya hukumu? Huu ni uzembe mkubwa

Tulikuwa wapi kumsaidia Mdude mpaka tunasubiri siku ya hukumu? Huu ni uzembe mkubwa

Familia yako ni Watanzania wote na ndiyo sababu Mdude anaombewa na wote kwani anatetea na kuteswa kwa ajili ya wote!
yani yale matusi ndiyo alikuwa anatetea watu? halafu unasema uongo hazarani? eti anaombewa na watu wote mbona mimi simuombei?
 
Tatizo la mdude ni kukosa akili za kawaida! Ajifunze kwa mbowe huyo huyo, alishawahi kumuona akimtukana kiongozi yeyote hadharani? Afanye siasa safi, habari za kukososa kwa kuwatukana viongozi wa juu kabisa ambao kicha ya uongozi wao hata kiumri ni sawa na baba zake au kaka zake sio sawa kabisa. Japokuwa kabambiwa kesi ila kuna la kujifunza katika kila ujinga na upumbavu
Unakili kuwa amebambikizwa kesi alafu unasema ajifunze wewe vipi?
 
Kabisa, mkuu wajiulize tu wameshawahi kumuona kiongozi mbowe akitukana viongozi wenzake hadharani? Sasa kwanini wasimuige yeye kujenga hoja na misimamo yake
wao wanaonaga kutukana ndiyo kukosoa tatizo siasa ni sayansi sasa yeye alikuwa anajuwa siasa ni uadui kumchukia mpinzani aliona ccm ni adui yake sasa ndiyo anakula jeuri yake wenzie wako nyumbani yeye anasotajela
 
wao wanaonaga kutukana ndiyo kukosoa tatizo siasa ni sayansi sasa yeye alikuwa anajuwa siasa ni uadui kumchukia mpinzani aliona ccm ni adui yake sasa ndiyo anakula jeuri yake wenzie wako nyumbani yeye anasotajela
Mm namuombea atoke kama ana kusudio la kurekebisha mienendo yake kisiasa..
 
wao wanaonaga kutukana ndiyo kukosoa tatizo siasa ni sayansi sasa yeye alikuwa anajuwa siasa ni uadui kumchukia mpinzani aliona ccm ni adui yake sasa ndiyo anakula jeuri yake wenzie wako nyumbani yeye anasotajela

Tupe mrejesho wa Sabaya, yuko gerezani, mbona hujamlaza nyumbani kwako kwakuwa alisema anaipigania ccm?
 
Na ifike mahala sasa..watu wafanye mambo kwa ajili ya familia zao na wake zao...kujifanya mwanaharakat huku wazaz wamekusomesha uje uwape faida.haya ndo madhara yake sasa..mwenyekit yeye anakula maisha..yeye miaka mi5 mahabusu mke na watoto wanakufa njaa
Unajiita jina la Mwana mapinduzi mkubwa alafu wewe una akili na fikra zakikondoo.Unadhani huyo Napoleone naye alikua kunguru kama wewe.
 
Sawa.ila watoto wanakufa njaa nyumban.na mkeo pia hal si nzur...hata chuo tulikua tunawambia wale waongoza migomo..kuwa kumbuka umetumwa na kijij hapa. Usishindane na serikal kihivyo tumia akil..pambana kwa akil..
Mambo mengine ni kawaida duniani.kukosea kupo na wafanya makosa wapo na wazuia makosa wapo.Ndo maana kuna magereza na wachukua hatua.Kila mtu duniani angekua mtakatifu ata hao unaowaona wanafanya kazi uko kwenye vyombo vya dola na mahakana nao wasingekua na kazi ya kufanya na watoto wao siajabu wasingeishi maisha wanayoishi sasa nawengine wangeishi kwa shida vile vile.
 
Viherehere ndo vinavyowaponza, wenzao wanakula maisha uraiani wao kujifanya wanaharakati, kiko wapi sasa zaidi ya kumtia stress baba yake na mama ake,, big up sana kina halima mdee na wenzake kwa kuangalia maisha yao kwanza kisha hayo mambo ya mavyama watajijua wenyewe, nchi hii hakuna mpinzani wala mwanaharakati wote wapigaji, ukijitia kiherehere kuungana na likitokea la kutokea wanakuchora tu.
Hata uko wakina mdee walipo wanaweza wakajikuta wako magereza vile vile.usikariri sana maisha.duniani lolote laweza kutokea ukiwa mahali popote haijalishi unasimamia nini.ndo maana kuna nchi kuna maraisi wako magereza..Ata wewe kesho yako huijui kwahiyo usiishi kwakujifanya unaipenda sana familia yako au wewe ni mtakatifu sana kuliko hao walioko magereza.
 
Ndio maana yake kina Mnyika walitimuliwa chuo ila leo ndio vijana wanafaidi boom....bila wao kuleta harakati pengine wangekua under compensated tena beneficiaries wakiwa wachache sana!!

Kila struggle inahitaji kina Nyerere sio wanaojali matumbo na familia zao tu kma unavyotaka.
Huyo jamaa hajui kua chochote kizuri anachokiona duniani leo kuna watu walijitoa na kukipambania.
 
Back
Top Bottom