Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
-
- #61
Lack of ability to thinkJPM na yeye alikuwa mwizi TU,aliiba na kupendelea sukuma gang,tilioni 360 ilikuwa kanya boya TU,
Mkataba gani alianza naoMwanzilishi wa Mikataba ya hovyo ni Magufuri baada ya kuwakataa wapinzani kwenye serikali yake matokeo yake ndiyo haya unayoyaona leo,hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Rejea matukio ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020 utapata majibu mwenyewe.Mkataba gani alianza nao
Hujaelewa chochoteVision ya kuuza nchi kwa Waarabu Dubai ni vision?
Na sitaki kuelewa maana hasara inayokuja ni mbaya kuliko hiyo elimu yenu.Hujaelewa chochote
TULIMCHUKIA SANA TENA SANA NA BADO TUTAMCHUKIA MILELE NA MILELE KWA UKATILI MKUBWA ALIOTUFANYIA AMETUHARIBIA NCHI KATUACHIA KUNDI LA HOVYO HOVYO NDIO LINALOPITISHA MAAZIMIO YA HOVYOUkweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.
Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.
Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .
Inaumiza sana
Kwahiyo ww sukuma gang ndio una haki miliki ya ukweli?Kamanda mwenzangu una matatizo. Tuwe tunakubali ukweli
Acha chuki na wasukuma. Hoja hapa ni namna tulivyomchukia JPM bila sababuKwahiyo ww sukuma gang ndio una haki miliki ya ukweli?
Nafuu mimi natumia makalio kufikiri, ila wewe Kamanda Asiyechoka unatumia kichwa chako kama matakoWewe takataka unaetumia makalio kufikiri. Kaa kimya. Pumbavu.
Wakati wa msoga wapinzani walijazana bungeni lkn bado mikataba mibovu ilisainiwa, unasemaje hapo?Mwanzilishi wa Mikataba ya hovyo ni Magufuri baada ya kuwakataa wapinzani kwenye serikali yake matokeo yake ndiyo haya unayoyaona leo,hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Hili jamaa ni pumbavu sana.Nenda kasome urekebishe cheti chako wewe cheti feki, chuki hazitakusaidia!
Nasoma tu LeoMagufuli alituchapa viboko tukiwa ndani ya ardhi yetu kwa muda, huyu wa sasa ametuletea nyapara wajomba zake toka Arabuni waje kutuchapa viboko ndani ya ardhi yetu milele.
Kwa hali hii kumkumbuka Magufuli ni haki.
Mazingira yapi chadema wametengeneza mpaka rais kutafuta security kwa wajomba zake? be specificHata ikitokea Rais SSH asichagulike, kwa matusi yenu CHADEMA a vinyongo mlivyovijaza rohoni mwenu, na hasira mlizokuwa nazo....Hamchaguliki 2025. Nipo tayari Kuichagua CCM ibakie twende vivyohivyo badala ya kupoteza mida kuwapa kura chama kilichotengeneza mazingira yaliyompeleka Raisi kutafuta security ya Uchagizi kwa wajomba zake. Hakika kwa hilo zimshangai.....nina uhakika haya yasingetokea kama sio uhasama wa CHADEMA digital .....
Mvune mlichokipanda
R.I.P Comrade, hawajui walichokifanya
Mikataba ya kuuza nchi.Wakati wa msoga wapinzani walijazana bungeni lkn bado mikataba mibovu ilisainiwa, unasemaje hapo?
Vipi kuhusu chuma chako ambacho hakijapata ujawepesi nadhani sababu ni huyu huyu MagufuliMwanzilishi wa Mikataba ya hovyo ni Magufuri baada ya kuwakataa wapinzani kwenye serikali yake matokeo yake ndiyo haya unayoyaona leo,hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Madhaifu ya serikali ya sasa kamwe hayatafuta uovu wa magufuli. Yule alikuwa shetani. Wakati tunalaani hawa madalali wa bandari zetu na maliasili nyingine, bado na kamwe hatutasau uovu uliotendwa au na magufuli mwenyewe au na wasaidizi wake naye akafumbia macho.Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.
Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.
Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .
Inaumiza sana
Hem tupe tafsiri.Magufuli alikuwa annoited