Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Hata ikitokea Rais SSH asichagulike, kwa matusi yenu CHADEMA a vinyongo mlivyovijaza rohoni mwenu, na hasira mlizokuwa nazo....Hamchaguliki 2025. Nipo tayari Kuichagua CCM ibakie twende vivyohivyo badala ya kupoteza mida kuwapa kura chama kilichotengeneza mazingira yaliyompeleka Raisi kutafuta security ya Uchagizi kwa wajomba zake. Hakika kwa hilo zimshangai.....nina uhakika haya yasingetokea kama sio uhasama wa CHADEMA digital .....

Mvune mlichokipanda

R.I.P Comrade, hawajui walichokifanya
Wewe huna akili kabisa unataka Magufuri asafishwe ndiyo uone Chadema ni chama halali.Endelea na msimamo wako wa kuwaamini ccm wezi wenzio ila usitupangie sisi cha kuongea na madhara yatakayokuwa yanatokea nchini hayatawaathiri CHADEMA peke yao bali hata ninyi ccm mtaumia tu huku familia chache zikiendelea kuneemeka na kuleta wajomba zao kuja kula kodi zenu.
 
Hata ikitokea Rais SSH asichagulike, kwa matusi yenu CHADEMA a vinyongo mlivyovijaza rohoni mwenu, na hasira mlizokuwa nazo....Hamchaguliki 2025. Nipo tayari Kuichagua CCM ibakie twende vivyohivyo badala ya kupoteza mida kuwapa kura chama kilichotengeneza mazingira yaliyompeleka Raisi kutafuta security ya Uchagizi kwa wajomba zake. Hakika kwa hilo zimshangai.....nina uhakika haya yasingetokea kama sio uhasama wa CHADEMA digital .....

Mvune mlichokipanda

R.I.P Comrade, hawajui walichokifanya
Wewe huna akili kabisa unataka Magufuri asafishwe ndiyo uone Chadema ni chama halali.Endelea na msimamo wako wa kuwaamini ccm wezi wenzio ila usitupangie sisi cha kuongea na madhara yatakayokuwa yanatokea nchini hayatawaathiri CHADEMA peke yao bali hata ninyi ccm mtaumia tu huku familia chache zikiendelea kuneemeka na kuleta wajomba zao kuja kula kodi zenu.
Tundu lisu mwenyewe kasema Magufuli hahusiki kwenye mikataba mibovu wewe unatuletea uharo mitandaoni
Tundu Lisu ni nani kwangu?Yeye si Mtanzania kama mimi?Anao uhuru wa kutoa mawazo yake kwa mujibu wa Katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977(Ibara 12-16).Kuharibu chaguzi za 2019 na 2020 ndiyo kosa kubwa Magufuri alifanya.
 
Hapana Hapana Hapana.

Tafadhalini CHADEMA, Utumiaji wa Msamiati huo Ukome mara moja----- umeleta na kutoa mwanya mkubwa sana na hata kumdhoofisha Raisi kuweza kutufikisha hapo.


Hakuna genge wala Gang Tanzania yeyote ile Tanzania inayoitwa hivyo. Kuna Kabila la Wasukuma.

Ndio maana hata kwenye hili suala, pamoja na kuwa CCM haipaswi kuchagulika, Nyie CHADEMA hampewi hata hiyo prop! Kwa sababu za Ajenda na Sera zenu za Utenganishi.....wacheni uharakati wakati wa suala hili.

These madudus that we are seeing has direct relations to the Environment you have created for years! Mmemdanganya Mama kuwa hapendwi na yeye kwenda kutoa upendeleo huko apate kujaza marobota ya kununua Uchaguzi The damage you have done is Immeasurable. Stop it!
Mama ni chaguo la MWENDAZAKE Sukuma gang pure.
 
This is too low to be called short sighted analysis. Mwasisi wa yanayoendelea sasa hivi ni Magufuli. Angeachia uchaguzi ukafanyika kwa uhuru angalau kwenye level ya ubunge basi tungekuwa na wabunge ambao wangesaidia. Pia alikataa mipango ya katiba mpya bila kujua/kujali concequences zake. Samia alikuwa anajulikana kabisa uwezo wake ni mdogo na ni loyal kwa wapiga deal hivyo likitokea la kutokea nchi itaingia kwenye crisis ya uongozi na ufisadi.
Wacha kumsingizia Magufuli kwa kila kitu, yeye hakujipangia kifo chake, hakupanga baada ya kifo chake turithiwe na mkoloni toka Makunduchi, wala hakupanga baada ha kifo chake mkoloni awape wajomba zake Tangayika yetu.

Magufuli kwenye hili ahusiki.
 
Mwanzilishi wa Mikataba ya hovyo ni Magufuri baada ya kuwakataa wapinzani kwenye serikali yake matokeo yake ndiyo haya unayoyaona leo,hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Magufuli angelikuwa mwanzilishi wa mikataba mibovu Samia asingeliuiga ubovu huo.

Samia mwenyewe angekuwa natembea ktk njia ya Magufuli asingelea wahuni kama kina Ridhiwani, January, Nchemba, Nape na wengi wanaofanana na hao.

Magufuli hakuwa tayari kupangiwa cha kufanya ila Samia anapangiwa cha kufanya na kikwete.

Tumerudi awamu ya nne ya mikataba mibovu.

Tunamkumbuka JPM.
 
Wacha kumsingizia Magufuli kwa kila kitu, yeye hakujipangia kifo chake, hakupanga baada ya kifo chake turithiwe na mkoloni toka Makunduchi, wala hakupanga baada ha kifo chake mkoloni awape wajomba zake Tangayika yetu.

Magufuli kwenye hili ahusiki.
Inashangaza hata wewe huoni kuwa correlation kati ya hili na Magufuli. Katiba inasemaje kuhusu hili mrithi wa kiti cha urais? Nguvu za rais kwenye katiba yetu zikoje? Haya mambo yako wazi na yamepigiwa kelele siku nyingi. Madaraka ya rais kuwa ya kimungu na muungano wetu kutoendana na hali halisi ni mambo ambayo yameimbwa kuwa ni hatari kwa rais asiyejua wajibu wake siku nyingi tu. Magufuli na timu yake hawakuyaoana? Unalala na nyoka kwenye kitanda kimoja halafu akikugonga na kukudhuru unasema huna makosa?
 
Hapa lengo ni wafuasi wa JPM wanachonganishwa na Chadema ili mafisadi wapumue na issue ya bandari.

Hatutaki huo mkataba liwake jua au mvua. Hapo tumeungana na sasa tunahamia kwenye katiba mpya.
 
Angelikuws mwanzilishi wa mikataba mibovu Samia asingeliuiga ubovu huo.

Samia mwenyewe angekuwa natembea ktk njia ya Magufuli asingelea wahuni kama kina Ridhiwani, January, Nchemba, Nape na wengi wanaofanana na hao.

Magufuli hakuwa tayari kupangiwa cha kufanya ila Samia anapangiwa cha kufanya na kikwete.

Tumerudi awamu ya nne ya mikataba mibovu.

Tunamkumbuka JPM.
WAPINZANI WALICHELEWESHA SANA MAENDELEO OVA.
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
JPM na yeye alikuwa mwizi TU,aliiba na kupendelea sukuma gang,tilioni 360 ilikuwa kanya boya TU,
 
Back
Top Bottom