Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Aisee pole yake kabisa............ Sidhan kama watawezana
 
Mambo yanabadilika sana ndugu...hili ni wimbi, linakua.....its a generational myopia
Unadharau hvyo vi chalii vya 92...ila angalia effects kitaqni...kipindi hcho cha BC kulikua na single mothers wangapi na saa hii wako kiasi gani...
Jaribu kufikiria knye perspective yao...you will come with better comment than this
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…