Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Hivi ukubwa wa akili unaupima wewe au sisi third part?
Unaposema hawana akili we una uhakika unazo na kabla hujajibu tafadhali rudia sentensi ya kwanza.

#YNWA
Ndiyo ukubwa wa akili naupima Mimi ambaye Niko kwenye ndoa na najua matatizo ya wanawake kwa kunitokea Mimi au kusimuliwa na mwanandoa mwenzangu au kuyaona kwa watu wengine.

Imagine rafiki yako anataka kuoa na unajua anampenda Sana mwanamke fulani, lakini Yule mwanamke unagundua anatatizo kubwa na unamuambia mtu lakini analazimisha kumuoa. Baada ya muda mfupi anakuja kuachana naye kwa tatizo lilelile ulilomwambia.
Then anakuja huku na kuanza kuzitukana ndoa au kuwaaminisha watu kuwa ndoa Ni kitu kibaya, lakini kumbe yeye ndiye alikosea kwa sababu alioa mwanamke ambaye si sahihi kwake, NA ALIAMBIWA KABLA YA KUMUOA

Kwamfano kijana ambaye Ni decent anaamua kumuoa mwanamke ambaye Ni mtu wa ma disko vigodoro n.k kwa kujiaminisha kwamba atabadilika kwa kuwa atakuwa kashaolewa. Kesho wameachana kwa sababu ya tabia hizo anakuja kuzilaumu ndoa
HUYU ANAPASWA KUITWA HANA AKILI YA NDOA
Na ndiye niliyemzungumzia

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Hao unaowaona kwenye ndoa wanamachungu hasa moyoni.
Ni vile Wana watoto na mali nyingi hivyo HAWAWEZI ACHA NDOA japo ndoa zao zimekua balaa kwao.

#YNWA
Nano kakuambia, Kama watu wangekuwa na machungu kiasi hicho Basi ndoa zingekuwa chache kuliko sngles. Leo wewe jiangalie mtaani Ni watu wangapi ambao unaoishi nao wameoa na Ni wangapi hawajaoa

Kwangu Mimi, kazini, nyumba ninayoishi, marafiki, kanisani, ma school mates hasa wa chuo n.k karibia asilimia 80 wameoa na wengi ndoa zao Ni za muda mrefu Sasa hilo kuumia unakokuzungumzia Ni kupi?

Changamoto zipo tena nyingi kwa sababu kuishi watu wawili ambao mna mawazo tofauti, lazima mtapishana katika mambo fulani na mtagombana tu.


Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Nano kakuambia, Kama watu wangekuwa na machungu kiasi hicho Basi ndoa zingekuwa chache kuliko sngles. Leo wewe jiangalie mtaani Ni watu wangapi ambao unaoishi nao wameoa na Ni wangapi hawajaoa

Kwangu Mimi, kazini, nyumba ninayoishi, marafiki, kanisani, ma school mates hasa wa chuo n.k karibia asilimia 80 wameoa na wengi ndoa zao Ni za muda mrefu Sasa hilo kuumia unakokuzungumzia Ni kupi?

Changamoto zipo tena nyingi kwa sababu kuishi watu wawili ambao mna mawazo tofauti, lazima mtapishana katika mambo fulani na mtagombana tu.


Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Umeielewa hii paragraph....

"""Yaani mwana JF ununue kitanda laki 7+ gharama za usafirishaji halafu kwenye ile laki 7 yako unamkuta boya tuuu yaani boyaa kambinjua mkeo dog style..!!!""

#YNWA
 
yaani full kujichana bia na watoto saizi ata wakikufumania muhusika awe na cheti cha ndoa kwa iyo kufumaniwa kishamba marufuku
 
Cheki WhatsApp Status yake. Iliniuma sanaa mimi kama kijana wa Klop.

View attachment 1622469
Huyu ni mwana tena mwana hasa.

Mwaka 2018 alikuja na taarifa kuwa anataka kuoa.

Nilimkataza kabisaa na kumwambia umri wako (30 Yrs) sio umri wa kuoa. Tuendelee kula maisha ki single boy "Tutaoa mbelee sanaa huko" ila pia kuoa sio lazima kwahiyo "ikiwezekana HAKUNA KUOA".

Mwana akani crush sanaa na kuanza kunihubiria, mara ana "quote" vifungu vya biblia, Nikamwambia "Paulo pia alitoa muongozo, kama hutaki kuoa basi Kausha tu".

Baada ya wiki nikaletewa kadi ya mchango. Nikajiseemea nisiwe snitch "nikatoa mchango".

Tukaenda kupiga bia harusini.

Baada ya harusi mwamba akatutenga kabisa "Sijui alipigwa biti na mkewe" Ikawa bar hatokei, kwenye kitimoto hatimbi. Kifupi alitutenga wana ikawa yeye yupo na mkewe tu.

Sasa yamemkuta na ndoa imevunjika. Kwasasa walewale masela aliotutenga ndio tumekua kimbilio lake.

FB na Whatsapp anachafua sanaaa zile "wall za Mark, Z".

Kila siku wana tukawa tunasoma status na post zake huko social media akilalamika.

Baada ya kuona anaweza kujiua wana tuliamua kum "reseque". Kwasasa karudi kwenye chama la masela tunaendelea kunywa bia nae kwa furaha kabisa.

Sisi hatuna hiyana "tunampa kampani maana hatujui nini kimetokea na Wala HATUJAWAHI KUULIZA" (hatupendi single side judgement, na isitoshe sisi furaha yetu ni kumuona mwamba yupo vizuri basi).

Kwenye chama chetu cha kupiga bia huyu ni wa pili.
--------------------------------------------------------
Wa Kwanza alioa May/2019 na aliachana na ndoa July/2020 baada ya kutoka safari na kurudi home ghafla (by surprise) akakutana na aliyekua X wa mkewe ambae kila siku alikua akimkanya juu ya mawasiliano nae wapo juu ya kitanda chake alichonunua TShs. 700,000/= wanagegedana.

"Yaani mwana JF ununue kitanda laki 7 + gharama za usafirishaji halafu kwenye ile laki 7 yako unamkuta boya tuuu yaani boyaa kambinjua mkeo dog style..!!!""

Hii ilikua jumapili, juma3 mwana akashindwa kwenda kazini.

Aliko akawa hajulikani.

Ikabidi wana tumtafute sanaa baada ya kupewa taarifa kazini kwake na familia yake ""We Mr. Liverpool mbona **** kazini haonekani, kwake hakuna mtu na simu hazipatikani line zote?""

Kumbe yupo..!! alikimbilia gheto la mwana wake wa chuo ambae inaonekana alirudisha urafiki baada ya kuoa na kututenga sisi wanywa bia.

Tulimrudisha home, tukakuta mke hayupo na nguo zake hazipo (inaonyesha alikimbia kimya kimya).

Huyu mwana ilibidi auze kila kitu mpaka baadhi ya nguo zake.

Akaenda kupanga na kuanza kununua vitu upya (alisema vile alivyouza vina laana) na vina element za yule aliyekua mke wake..!!!

Kwasasa karudi chamani.

Chama chetu, tukisikia tu "mwamba fulani aliyekua chamani akakimbia chama, ana matatizo hua tunamtafuta wenyewe tumuokoe"
----------------------------------------------------------
Kuna scenario nyingi sanaa huku mtaani, hizi ni general rules tu kadhaa.
Ukitaka nilete exceptions hapa Dah nitajaza saver ya JF.


Tuendelee kunywa bia
Tuendelee kutafuta hela
Tuendelee kula nyama.

KUOA UKIWA BELOW 37 NI UOGA WA MAISHA.

UKIANZA TU KUMUELEWA MWANAMKE UJUE UNAKARIBIA KUFA.

Na kuna kuumizwa hukoo...

Halafu Arnesal Taarifa zenu kutoka kwa AstonVilla TUNAZO.

Take care

#YNWA
unapendekeza wahuni waoe katika umri upi?
 
Nano kakuambia, Kama watu wangekuwa na machungu kiasi hicho Basi ndoa zingekuwa chache kuliko sngles. Leo wewe jiangalie mtaani Ni watu wangapi ambao unaoishi nao wameoa na Ni wangapi hawajaoa

Kwangu Mimi, kazini, nyumba ninayoishi, marafiki, kanisani, ma school mates hasa wa chuo n.k karibia asilimia 80 wameoa na wengi ndoa zao Ni za muda mrefu Sasa hilo kuumia unakokuzungumzia Ni kupi?

Changamoto zipo tena nyingi kwa sababu kuishi watu wawili ambao mna mawazo tofauti, lazima mtapishana katika mambo fulani na mtagombana tu.


Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Wenye ndoa wengi wanatuonea wivu sisi ma single.

Kwenye ndoa huko PAMOTOOO.

#YNWA
 
Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .

sample ya maongezi ya video call

Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.

Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.

Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)

Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi

Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,

NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...
Mwamba is at risk.
 
Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .

sample ya maongezi ya video call

Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.

Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.

Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)

Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi

Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,

NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...
Huyu ni mimi kabisaaaa.
 
Ndiyo ukubwa wa akili naupima Mimi ambaye Niko kwenye ndoa na najua matatizo ya wanawake kwa kunitokea Mimi au kusimuliwa na mwanandoa mwenzangu au kuyaona kwa watu wengine.

Imagine rafiki yako anataka kuoa na unajua anampenda Sana mwanamke fulani, lakini Yule mwanamke unagundua anatatizo kubwa na unamuambia mtu lakini analazimisha kumuoa. Baada ya muda mfupi anakuja kuachana naye kwa tatizo lilelile ulilomwambia.
Then anakuja huku na kuanza kuzitukana ndoa au kuwaaminisha watu kuwa ndoa Ni kitu kibaya, lakini kumbe yeye ndiye alikosea kwa sababu alioa mwanamke ambaye si sahihi kwake, NA ALIAMBIWA KABLA YA KUMUOA

Kwamfano kijana ambaye Ni decent anaamua kumuoa mwanamke ambaye Ni mtu wa ma disko vigodoro n.k kwa kujiaminisha kwamba atabadilika kwa kuwa atakuwa kashaolewa. Kesho wameachana kwa sababu ya tabia hizo anakuja kuzilaumu ndoa
HUYU ANAPASWA KUITWA HANA AKILI YA NDOA
Na ndiye niliyemzungumzia

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Babuuu...
Wachungaji
Mashekhe
Walevi
Wastaarabu

Woteee wanalalamikia ndoa babuu...!!!

#YNWA
 
KUOA UKIWA BELOW 37 NI UOGA WA MAISHA.

UKIANZA TU KUMUELEWA MWANAMKE UJUE UNAKARIBIA KUFA.

noumer sana,,,,,at least ufike 45 hivi
Huo ni uduanzi umeandika mkuu unafika 55 mtoto ana 10 years yani anakuona babu kabisa akianza kukusumbua lawama zinaenda kwa mama ukifika 60 show inapungua wife anakazwa unaanza oooh! Mambo ya ndoa sio poa the best age ya kuoa ni 25+

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
 
Huo ni uduanzi umeandika mkuu unafika 55 mtoto ana 10 years yani anakuona babu kabisa akianza kukusumbua lawama zinaenda kwa mama ukifika 60 show inapungua wife anakazwa unaanza oooh! Mambo ya ndoa sio poa the best age ya kuoa ni 25+

Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
Kuzaa hakuna uhusiano wowotee wa ndoa.
Nina Miaka 31 Nina watoto wawili (6Yrs + 2Yrs) na sasa nataka wa tatu.

Huyu wa kwanza nakaa nae nyumba moja wapili ndio nambembeleza mama ake aniachie.
Ndugu zake wameniambia kama sina mpango wa kumuoa mama mtoto basi nikamkomboeml mtoto.

Na mwakani nataka wa 3.
Kila mtu na mama ake, si unajua kuwa asilimia 60 ya akili ya mtoto anarithi kutoka kwa mama.
Hivyo nachanga akili tofauti tofauti..!!!

KUOA HAPANA.
KUZAA LAZIMA.
KULEA LAZIMA

#YNWA
 
Back
Top Bottom