Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Na sisi tuliooa tukiwa na miaka 23 na mpaka leo tunaishi vizuri pamoja na changamoto ambazo hata waliooa wakiwa na miaka 50 wanakutana nazo tusemeje.

Itoshe kusema watu watakuambia wanawake Ni wabaya kwa kukupa mifano mitano ya watu ambao ndoa zao zimeshindikana au zinamatatizo makubwa, lakini watajifanya hawazioni ndoa mia moja ambazo ziko poa including ndoa za wazazi au ndugu zao wenyewe.

Mende akiangusha kabati Ni habari kubwa ila kabati likiangusha mende no one cares
Hao unaowaona kwenye ndoa wanamachungu hasa moyoni.
Ni vile Wana watoto na mali nyingi hivyo HAWAWEZI ACHA NDOA japo ndoa zao zimekua balaa kwao.

#YNWA
 
Exactly, Hawa Ni watu ambao wanafikiri kuona Ni kunategemea umri, Ila wanashindwa kujua kuwa kuoa kunategemeana ukuaji wa akili ambao Kila mtu yuko tofauti.

Unakutana na kijana ana miaka 30 lakini ukimuangalia vizuri unagundua kuwa Hana akili ya kuishi na mwanamke. Lakini yeye anaona wanawake ndiyo wanamakosa
Hivi ukubwa wa akili unaupima wewe au sisi third part?
Unaposema hawana akili we una uhakika unazo na kabla hujajibu tafadhali rudia sentensi ya kwanza.

#YNWA
 
MAJUTO hayapo mbali......Nakuhakikishia MAJUTO YAKO hayako mbali.
Hiyo whatsapp status umeielewa?

Majuto ni ya kwetu tusioa au hao wanaoteseka na ndoa zao?
Unazungumzia hayo majuto ya kumkuta mkeo kabinjuliwa kwenye kile kitanda chako ulichonunua laki7?

#YNWA
 
Hata mimi ndio nimejiuliza baba zao na mama zao wangekuwa na mawazo kama haya hao wangefikaje duniani na kuanza kuropoka huu utopolo.
1. Kwahiyo kwakua baba na mama zetu walifanya "so and so" na sisi tuige?

2. Kwahiyo kwa kuwa mama zetu walidumu kwenye ndoa unataka kuniambia "mwana angekausha alivyomkuta mkewe anabinjuliwa juu ya kitanda chake alichonunua kwa gharama?

HEBU SOMA HIYO WHATSAPP STATUS KWENYE POST HALAFU NDIO URUDI.

#YNWA
 
Nakazia hapa,wengi huwa wanabugi kwa kutoyajua haya.
Utakuta mtu anaoa mwanamke ambaye walikutana naye mlimani city kwenye maeneo ya matumizi halafu anatumia nguvu nyingi ili akubaliwe anategemea atatulia naye maishani hiyo ni kujidanganya.
Mwingine anatafuta pisi kali ambaye alikuwa anagombaniwa na mabrothermen mbalimbali kisha anatumia nguvu ya pesa kumuwin akitegemea atadumu naye maishani wazae watoto na kuzeeka wote,hii ni kujidanganya.
Baada ya hapo wakishatendwa wanajifanya kuja kutoa somo na ushuhuda mbele ya sisi kaka zao kwamba ndoa si kitu muhimu.
Yaani kitu ambacho kilianza kufanywa tangu enzi na enzi miaka hiyo kabla hata akina yesu hawajazaliwa halafu leo hii eti vije vigundue vichalii vilivyozaliwa mwaka 1992 kwamba ndoa sio chaguo sahihi kwa binadamu.
Hakika hii ni kichekesho cha karne
Ngoja siku uambiwe mkeo yupo guest ufe tuje kuandika RIP humu.

#YNWA
 
Wanaume wengi tuna mitazamo ''hasi'' kuhusu ndoa, na hii inatokana na yale wanayoyashuhudia kwa wenzao.

Mimi pia ni shuhuda wa ndoa iliyoambatana na harusi kubwa kweli iliyovunjika ndani ya miezi kadhaa na bila hata wanandoa kuzaa mtoto mmoja

Mitandao ya kijamii, miziki na Umasikini vimechangia sana kuharibu ndoa kwani hivyo vinarahisisha na kuchochea sana uzinzi sikuhizi.

Na uzinzi umekuwa sababu kuu ya kuvunja ndoa.

Bila kuwa na Hofu ya Mungu kweli isiyo na unafiki, pamoja na kujitambua ''NDOA'' zitabaki kuwa ''MADOA''

Utatumia muda na pesa za watu kuandaa harusi hewa.



Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Duu ilikua ni ingie kwenye ndoa mwezi ujao nimeghairi itajulikana mbele ya Safari maana demu mwenyewe amesha Anza masharti eti niache pombe niokoke Kama yeye wakati Mimi nasali Roman Catholic atanite Bora niwe baharia tuu ivi naanda Uzi was kumpiga chini ngoja nizibue akili na k vant
JF Banaa...

Kwahiyo unahisi huyo Mwanamke hakupendi sio?

Angalia usiwe unapotea Mkuu

Kuna wengine ni walevi sana walishindwa kufikia baadhi ya malengo wanatamani sana kupata wanawake wa namna hiyo

Usiconclude kuwa wote ni wabaya kwasababu ya Uzi huu

Yeye anaweza kuwa tofauti, cause kuna watu humu huwa wanaamuliwa maamuzi yao na watu wengine au na matukio ya wengine.

So ulitaka awe anakuja baa mpige wote pombe sio?

Unachoambiwa changanya na zako...!

What happens to others might not neccessarly happens to you.

Kila la heri.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Ngoja siku uambiwe mkeo yupo guest ufe tuje kuandika RIP humu.

#YNWA
Mimi nimeshavuka level hizo eti nife kisa mke wangu amepelekwa guest na mtu ni ujinga na ulimbukeni wa mwaka 70 huko.
Akiamua kugawa tundu ni la kwake mimi napungukiwa nini,na kama akiamua tuachane hakuna tatizo kesho naoa mwingine.
Mbona wako wengi sana wamejazana
 
Wanaume wengi tuna mitazamo ''hasi'' kuhusu ndoa, na hii inatokana na yale wanayoyashuhudia kwa wenzao.

Mimi pia ni shuhuda wa ndoa iliyoambatana na harusi kubwa kweli iliyovunjika ndani ya miezi kadhaa na bila hata wanandoa kuzaa mtoto mmoja

Mitandao ya kijamii, miziki na Umasikini vimechangia sana kuharibu ndoa kwani hivyo vinarahisisha na kuchochea sana uzinzi sikuhizi.

Na uzinzi umekuwa sababu kuu ya kuvunja ndoa.

Bila kuwa na Hofu ya Mungu kweli isiyo na unafiki, pamoja na kujitambua ''NDOA'' zitabaki kuwa ''MADOA''

Utatumia muda na pesa za watu kuandaa harusi hewa.



Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Mkeo akiwa Instagram, Facebook, Snapchat halafu anatupia mapicha kila siku unategemea nini?
 
watoto kama nyie huwa tunawaita BASTARDS....mlitokea nje ya taratibu ndo maana
Bado hujajibu swali binti.

Kuna association ipi ya kuzaliwa na kuoa? Ukizaliwa ni lazima uoe?
 
Back
Top Bottom