Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Wewe sababu system ilikuhitaji (Bila Kutarajia).

Timbwili ni kwa wanao tarajia na kupanga kuoa.
Possible chief.Na hili pia huwa nawaambia washkaji na hata humu huwa naandika "usiingie kwenye mahusiano au usitafute mwanamke kwa makusudi ya ndoa(kwa wanaume tu ..kwa wanawake mimi sijui).
Kuwa na affair ..ishi maisha yako kwa utimamu wa akil zako ukiomba mungu.enjoy....the rest will take care of themselves 😎😎😎
 
...Vijana wengi hatujui kwann tunaoa,ndomana yanatufika mambo ya aibu ambayo atukujua kama yatatufika...

Naomba tuelewe kidogo kuhusu Hawa wanawake..
1. Sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke.
2. Hakuna kitu kinachoweza kumbadili mwanamke duniani,kama mwanamke anatabia mbovu...usije ukajidanganya eti atabadilika eti sababu unapesa.

3. Usije ukaoa mwanamke sababu unapesa nyingi.

4. Oa mwanamke mwenye penzi la kweli kwako,ata Kama huumpendi we oa tu.

5. Usioe mwanamke aliekwisha kukukataa kisa alikuwa na mwanaume mwengne uko nyuma,so baada ya kuachana na huyo mwanaume ndo kaja kwako...

6. Usitumie kitu kumshawishi mwanamke umuoe,Ila tumia kitu kama unataka tu kupita nae.

7. Usioe kwa kumuonea huruma mwanamke,Hawa viumbe hawaoneleki huruma na husahau wema wote kwa kosa moja.
Nakazia hapa,wengi huwa wanabugi kwa kutoyajua haya.
Utakuta mtu anaoa mwanamke ambaye walikutana naye mlimani city kwenye maeneo ya matumizi halafu anatumia nguvu nyingi ili akubaliwe anategemea atatulia naye maishani hiyo ni kujidanganya.
Mwingine anatafuta pisi kali ambaye alikuwa anagombaniwa na mabrothermen mbalimbali kisha anatumia nguvu ya pesa kumuwin akitegemea atadumu naye maishani wazae watoto na kuzeeka wote,hii ni kujidanganya.
Baada ya hapo wakishatendwa wanajifanya kuja kutoa somo na ushuhuda mbele ya sisi kaka zao kwamba ndoa si kitu muhimu.
Yaani kitu ambacho kilianza kufanywa tangu enzi na enzi miaka hiyo kabla hata akina yesu hawajazaliwa halafu leo hii eti vije vigundue vichalii vilivyozaliwa mwaka 1992 kwamba ndoa sio chaguo sahihi kwa binadamu.
Hakika hii ni kichekesho cha karne
 
Kwa jinsi wake za watu wanavyoslide kwa kasi ya 5G kwene dm zetu wakitaka faraja kwa vile wanavyofanyiwa na waume zao me naogopa sana, as for the moment mwanamke mmoja nlikuwa napiga keshaolewa kanizamia dm anataka nitafute siku nikamkaze mumewe mvivu kukaza na huyu mwanamke nshamkwepa sana toka aolewe daaah, anasema mvua ya mjini imempa mihemko ? Najiuliza maswali mengi ivi na mimi mwanamke wangu anajinyegesha kwa mabaharia hivyo hivyo ? Daaah inauma kwakweli
mkuu umewaza kama mimi aisee.
Yaani jinsi ninavyowachakata wake za watu halafu wengine mijimama ya heshima muda mwingine huwa nashtuka na kujiuliza ina maana wife naye kuna machalii wanammega nini
 
Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .

sample ya maongezi ya video call

Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.

Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.

Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)

Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi

Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,

NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka sana na comments za wanaume humu
 
Nakimbia Km 15 kwa siku 5 za wiki (kupumzika siku 2).

Nimehudhuria marathon nyingii ndani ya hii nchi.

NAKUAJE NA KITAMBI.

#YNWA
Hahaha sawa mkuu nilivoona unapenda sana bia na nyama nikajua Ndio wale wenzetu wenye tuvitambi.
 
Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .

sample ya maongezi ya video call

Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.

Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.

Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)

Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi

Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,

NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...

Uoga wa kiboya kiasi iki mwanamke hawezi kukuheshimu ata siku moja.
Mim nipo napata bia zangu niambie rudi nyumbani saa hii.
Hahaa mim hapan ukwel upole ukizidi ndo unaambiwa vitu kama ivyo
 
Mama mzazi wa jamaa kaniambia nimtafute mchungaji jamaa akaombewe jamaa kagoma, just imagine we kama ni mdogo ake ukimwomba msaada wa fedha anakwambia umpigie demu wake atoe go ahead yeye ndio atume au anamtumia demu wake ndio akutumie wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kmmmk
[emoji3516]
WE' JAMAA SASA HIVI ONGEZA CHAI-
BWEGE WEWE!!!
 
Kuoa imekuwa km kucheza kamari siku hizi

Wanaopiga bingo wachache wanaouziwa mbuzi kwenye gunia NDo shaziii...

Mungu tunusuru wanaume [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom