Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #61
Ni Beer after bia.Yaani unaacha pombe ili uoe lazima ulaanike tu
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Beer after bia.Yaani unaacha pombe ili uoe lazima ulaanike tu
Hii scenario YAKO noma.Bora uoe ukiwa na miaka 68 maana mtasumbuana kidogo tu alafu mtakufa.
Bia + nyama.wana tule bia tuu,
Washaachana zamaniii.[emoji23][emoji23][emoji23] alipize kisasi tu
Nguvu ya bia hii.Ahahahahahahahahhahahahahaahahahahahahahahabahab.
Kudadeki vijana mna nguvu ya ushawishi isiyo ya kawaidaa.
Dahh!!!.
Vp kama nikifanya bila yeye kujua chochote.?Nafsi iliyoumizwa hutafuta nafasi kulipa kisasi.
Ukifanya na yeye atafanywa tu.
#YNWA
KULA bata baharia.Ngoja niendelee kusogeza tarehe ya ndoa mbele
Mpka 2027
Si lazima abinuliwe ila kama ni wa kubinuliwa atabinuliwa tu.Iko hivi...
1. Kuusema moyo huzalisha majuto sanaa
Kama unajua kuwa atabinjuliwa tu YA NINI KUOA?
2. Nafsi iliyoumizwa hutafuta njia ya kulipiza kisasi.
Ngoja siku arudishe ubaya wotee uliomfanyia.
#YNWA
Ntajitahid asijue kwamba kuna mechi za kirafiki zinafanyika na yeye pia ajitahidi nisijue kuna mechi anaenda fanyaLakini bado ukijua huyo uliyemuoa anapigwa mechi ya kirafiki na Uvinza FC roho itakuuma
Tatizo ni hii DHAMBI YA USALITI.Sema nn ujue, inategemeana sana na ninyi wenyewe.
Ila mm nilioa (bila kutarajia) mapema saanaa nikiwa at just 25 years...na tuko poa tu mungu anatusimamia vyema
Hivi nyama + bia.Wana wale nyama[emoji23]
Soon atawatenga halafu yakimkuta atawarudia.Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .
sample ya maongezi ya video call
Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.
Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.
Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)
Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi
Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,
NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...
Sema nn ujue, inategemeana sana na ninyi wenyewe.
Ila mm nilioa (bila kutarajia) mapema saanaa nikiwa at just 25 years...na tuko poa tu mungu anatusimamia vyema
Na wanaobinjuliwa huku mtaani ni wake wa kina nani?Si lazima abinuliwe ila kama ni wa kubinuliwa atabinuliwa tu.
Wewe kama umejijengea hiyo mentality kwamba kila mwanamke wa kwenye ndoa lazima atoke basi atatoka tu.
Sina hiyo mentality mkuu
Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .
sample ya maongezi ya video call
Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.
Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.
Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)
Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi
Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,
NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...
...Vijana wengi hatujui kwann tunaoa,ndomana yanatufika mambo ya aibu ambayo atukujua kama yatatufika...
Naomba tuelewe kidogo kuhusu Hawa wanawake..
1. Sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke.
2. Hakuna kitu kinachoweza kumbadili mwanamke duniani,kama mwanamke anatabia mbovu...usije ukajidanganya eti atabadilika eti sababu unapesa.
3. Usije ukaoa mwanamke sababu unapesa nyingi.
4. Oa mwanamke mwenye penzi la kweli kwako,ata Kama huumpendi we oa tu.
5. Usioe mwanamke aliekwisha kukukataa kisa alikuwa na mwanaume mwengne uko nyuma,so baada ya kuachana na huyo mwanaume ndo kaja kwako...
6. Usitumie kitu kumshawishi mwanamke umuoe,Ila tumia kitu kama unataka tu kupita nae.
7. Usioe kwa kumuonea huruma mwanamke,Hawa viumbe hawaoneleki huruma na husahau wema wote kwa kosa moja.
Kwa jinsi wake za watu wanavyoslide kwa kasi ya 5G kwene dm zetu wakitaka faraja kwa vile wanavyofanyiwa na waume zao me naogopa sana, as for the moment mwanamke mmoja nlikuwa napiga keshaolewa kanizamia dm anataka nitafute siku nikamkaze mumewe mvivu kukaza na huyu mwanamke nshamkwepa sana toka aolewe daaah, anasema mvua ya mjini imempa mihemko ? Najiuliza maswali mengi ivi na mimi mwanamke wangu anajinyegesha kwa mabaharia hivyo hivyo ? Daaah inauma kwakweli
Umesoma umeelewa?Mwamba unalalamika utadhani demu