Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Iko hivi...
1. Kuusema moyo huzalisha majuto sanaa
Kama unajua kuwa atabinjuliwa tu YA NINI KUOA?

2. Nafsi iliyoumizwa hutafuta njia ya kulipiza kisasi.
Ngoja siku arudishe ubaya wotee uliomfanyia.

#YNWA
Si lazima abinuliwe ila kama ni wa kubinuliwa atabinuliwa tu.

Wewe kama umejijengea hiyo mentality kwamba kila mwanamke wa kwenye ndoa lazima atoke basi atatoka tu.

Sina hiyo mentality mkuu
 
Sema nn ujue, inategemeana sana na ninyi wenyewe.
Ila mm nilioa (bila kutarajia) mapema saanaa nikiwa at just 25 years...na tuko poa tu mungu anatusimamia vyema
Tatizo ni hii DHAMBI YA USALITI.

Hii haisameheki.

Inaumaa sanaaa.

#YNWA
 
Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .

sample ya maongezi ya video call

Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.

Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.

Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)

Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi

Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,

NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...
Soon atawatenga halafu yakimkuta atawarudia.

#YNWA
 
Wewe sababu system ilikuhitaji (Bila Kutarajia).

Timbwili ni kwa wanao tarajia na kupanga kuoa.
Sema nn ujue, inategemeana sana na ninyi wenyewe.
Ila mm nilioa (bila kutarajia) mapema saanaa nikiwa at just 25 years...na tuko poa tu mungu anatusimamia vyema
 
Si lazima abinuliwe ila kama ni wa kubinuliwa atabinuliwa tu.

Wewe kama umejijengea hiyo mentality kwamba kila mwanamke wa kwenye ndoa lazima atoke basi atatoka tu.

Sina hiyo mentality mkuu
Na wanaobinjuliwa huku mtaani ni wake wa kina nani?

#YNWA
 
Sasa na hapo bado hajaoa rasmi hizo ndio sababu tunawahi kufa!
Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .

sample ya maongezi ya video call

Mwanamke : Hallow beb, Uko wapi ? na kwa nani ?
Jamaangu : Hallow nipo ilala , nipo kwa jamaangu.

Mwanamke : Ebu mwonyeshe jamaako kwene video call nimwone.

Jamaangu: Yupo ndani huko upande wa pili kuna ishue anafanya, (inabid jamaa adanganye sababu nikionekana mimi ni balaa)

Mwanamke: Unarud saa ngapi ? Naomba urudi sasaivi

Jamaangu: Kiongozi me naenda, anaaga kinyonge ila anachomoka spidi ya jeti,

NAMWONEA HURUMA JAMAANGU KAFANYWA ZOMBIE, ivi wanawake wanafurahia nini jamaazao wakiwa mazombie kiasi hicho ujue watu au washkaji zako wanakuwa hawakwambii ila wanajua we ni zombie na mwisho wake wanajua ni mbaya ila wanasubiri mpart ways ndio waseme, ila mimi mwanamke hatak kunisikia kisa namwambia jamaa ukweli...
 
8. Usioe sababu jamaa/ndugu zako wameoa.
...Vijana wengi hatujui kwann tunaoa,ndomana yanatufika mambo ya aibu ambayo atukujua kama yatatufika...

Naomba tuelewe kidogo kuhusu Hawa wanawake..
1. Sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke.
2. Hakuna kitu kinachoweza kumbadili mwanamke duniani,kama mwanamke anatabia mbovu...usije ukajidanganya eti atabadilika eti sababu unapesa.

3. Usije ukaoa mwanamke sababu unapesa nyingi.

4. Oa mwanamke mwenye penzi la kweli kwako,ata Kama huumpendi we oa tu.

5. Usioe mwanamke aliekwisha kukukataa kisa alikuwa na mwanaume mwengne uko nyuma,so baada ya kuachana na huyo mwanaume ndo kaja kwako...

6. Usitumie kitu kumshawishi mwanamke umuoe,Ila tumia kitu kama unataka tu kupita nae.

7. Usioe kwa kumuonea huruma mwanamke,Hawa viumbe hawaoneleki huruma na husahau wema wote kwa kosa moja.
 
Pole sana mkuu.
Kwa jinsi wake za watu wanavyoslide kwa kasi ya 5G kwene dm zetu wakitaka faraja kwa vile wanavyofanyiwa na waume zao me naogopa sana, as for the moment mwanamke mmoja nlikuwa napiga keshaolewa kanizamia dm anataka nitafute siku nikamkaze mumewe mvivu kukaza na huyu mwanamke nshamkwepa sana toka aolewe daaah, anasema mvua ya mjini imempa mihemko ? Najiuliza maswali mengi ivi na mimi mwanamke wangu anajinyegesha kwa mabaharia hivyo hivyo ? Daaah inauma kwakweli
 
Back
Top Bottom