Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri siku umkute bodaboda juu ya kitanda chako kile cha mbao ulichonunua kwa mshahara wako wa Kwanza akimbiniua mkeo.Hawa sio wanaume ..ni vijana wa kiume waliokamata ela kidogo na kuleta ulimbukeni...sijui wazazi wao wangesema hivi kama hata kuzaliwa wangekua wamezaliwa,,ah a
Tupige mondeKUOA UKIWA BELOW 37 NI UOGA WA MAISHA.
UKIANZA TU KUMUELEWA MWANAMKE UJUE UNAKARIBIA KUFA.
noumer sana,,,,,at least ufike 45 hivi
Ahahahahahahahahhahahahahaahahahahahahahahabahab.Bora uoe ukiwa na miaka 68 maana mtasumbuana kidogo tu alafu mtakufa.
Wana wale nyama[emoji23]Wana wanywe biaa!
Usisahau pia kwamba mabinti wanaroga sana siku hizi,unawezakuta mwana yuko controlled na dark forces ndio maana yuko hivyo.Aisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo yetu mara video call ya whatsapp inaingia akipokea ujue kama zile bucket ni zaid ya moja inabid nizifakamie alone jamaa anatoka spidi ya jeti anawah home .
Hahahaha fanya umzibue masikio jamaa yako...yaaani kwa jina la mapenzi ndio unakua mzembe hivoAisee aisee nna jamaangu ye hajaoa ila kamvuta huyo mwanamke kiaina, anapigiwa video call kuliko hata call za conference za zoom, Jamaa kakatazwa kuhangout na mimi, jamaa hawez sasa sababu me ni mwanae wa nguvu, tunaweza enda sehemu kidume nimeagiza bucket ya mambo y
Mwamba unalalamika utadhani demuCheki WhatsApp Status yake. Iliniuma sanaa mimi kama kijana wa Klop.
View attachment 1622469
Huyu ni mwana tena mwana hasa.
Usisahau pia kwamba mabinti wanaroga sana siku hizi,unawezakuta mwana yuko controlled na dark forces ndio maana yuko hivyo.
Hahahaha fanya umzibue masikio jamaa yako...yaaani kwa jina la mapenzi ndio unakua mzembe hivo
Nadhani uko sawa kabisa. Siku realize hili mpaka yaliponikuta ila sikuwa nimeoa. Kuna bro wake rafiki yangu ni Mkurya uwa ananichekesha eti anamwambia mdogo wake ambaye ni rafiki, "Siku mkianza kuniona nina mahaba makali na mama ..., tafadhali msiniulize nyie fanyeni namna, atakuwa ashaniroga au kanipa limbwata." 😁 😁 😁 😁KUOA UKIWA BELOW 37 NI UOGA WA MAISHA.
UKIANZA TU KUMUELEWA MWANAMKE UJUE UNAKARIBIA KUFA.
noumer sana,,,,,at least ufike 45 hivi
Kwakweli ni heri upate ajali kama ya Ginimbi kuliko kupata ajali ya kuchagua mke, maana kabla ya kufa utaisoma namba iliyofutwaYaani unaacha pombe ili uoe lazima ulaanike tu
😅😅Nadhani uko sawa kabisa. Siku realize hili mpaka yaliponikuta ila sikuwa nimeoa. Kuna bro wake rafiki yangu ni Mkurya uwa ananichekesha eti anamwambia mdogo wake ambaye ni rafiki, "Siku mkianza kuniona nina mahaba makali na mama ..., tafadhali msiniulize nyie fanyeni namna, atakuwa ashaniroga au kanipa limbwata." 😁 😁 😁 😁