Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Tulimwambia achana na mambo ya kuoa, hakusikia cheki yaliyomkuta

Sawa mkuu ila nahisi unakakitambi[emoji3][emoji3]
Nakimbia Km 15 kwa siku 5 za wiki (kupumzika siku 2).

Nimehudhuria marathon nyingii ndani ya hii nchi.

NAKUAJE NA KITAMBI.

#YNWA
 
...Vijana wengi hatujui kwann tunaoa,ndomana yanatufika mambo ya aibu ambayo atukujua kama yatatufika...

Naomba tuelewe kidogo kuhusu Hawa wanawake..
1. Sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke.
2. Hakuna kitu kinachoweza kumbadili mwanamke duniani,kama mwanamke anatabia mbovu...usije ukajidanganya eti atabadilika eti sababu unapesa.

3. Usije ukaoa mwanamke sababu unapesa nyingi.

4. Oa mwanamke mwenye penzi la kweli kwako,ata Kama huumpendi we oa tu.

5. Usioe mwanamke aliekwisha kukukataa kisa alikuwa na mwanaume mwengne uko nyuma,so baada ya kuachana na huyo mwanaume ndo kaja kwako...

6. Usitumie kitu kumshawishi mwanamke umuoe,Ila tumia kitu kama unataka tu kupita nae.

7. Usioe kwa kumuonea huruma mwanamke,Hawa viumbe hawaoneleki huruma na husahau wema wote kwa kosa moja.
Mengi unayagundua ukiwa ushamuweka ndani.

#YNWA
 
Cheki WhatsApp Status yake. Iliniuma sanaa mimi kama kijana wa Klop.

View attachment 1622469
Huyu ni mwana tena mwana hasa.

Mwaka 2018 alikuja na taarifa kuwa anataka kuoa.

Nilimkataza kabisaa na kumwambia umri wako (30 Yrs) sio umri wa kuoa. Tuendelee kula maisha ki single boy "Tutaoa mbelee sanaa huko" ila pia kuoa sio lazima kwahiyo "ikiwezekana HAKUNA KUOA".

Mwana akani crush sanaa na kuanza kunihubiria, mara ana "quote" vifungu vya biblia, Nikamwambia "Paulo pia alitoa muongozo, kama hutaki kuoa basi Kausha tu".

Baada ya wiki nikaletewa kadi ya mchango. Nikajiseemea nisiwe snitch "nikatoa mchango".

Tukaenda kupiga bia harusini.

Baada ya harusi mwamba akatutenga kabisa "Sijui alipigwa biti na mkewe" Ikawa bar hatokei, kwenye kitimoto hatimbi. Kifupi alitutenga wana ikawa yeye yupo na mkewe tu.

Sasa yamemkuta na ndoa imevunjika. Kwasasa walewale masela aliotutenga ndio tumekua kimbilio lake.

FB na Whatsapp anachafua sanaaa zile "wall za Mark, Z".

Kila siku wana tukawa tunasoma status na post zake huko social media akilalamika.

Baada ya kuona anaweza kujiua wana tuliamua kum "reseque". Kwasasa karudi kwenye chama la masela tunaendelea kunywa bia nae kwa furaha kabisa.

Sisi hatuna hiyana "tunampa kampani maana hatujui nini kimetokea na Wala HATUJAWAHI KUULIZA" (hatupendi single side judgement, na isitoshe sisi furaha yetu ni kumuona mwamba yupo vizuri basi).

Kwenye chama chetu cha kupiga bia huyu ni wa pili.
--------------------------------------------------------
Wa Kwanza alioa May/2019 na aliachana na ndoa July/2020 baada ya kutoka safari na kurudi home ghafla (by surprise) akakutana na aliyekua X wa mkewe ambae kila siku alikua akimkanya juu ya mawasiliano nae wapo juu ya kitanda chake alichonunua TShs. 700,000/= wanagegedana.

"Yaani mwana JF ununue kitanda laki 7 + gharama za usafirishaji halafu kwenye ile laki 7 yako unamkuta boya tuuu yaani boyaa kambinjua mkeo dog style..!!!""

Hii ilikua jumapili, juma3 mwana akashindwa kwenda kazini.

Aliko akawa hajulikani.

Ikabidi wana tumtafute sanaa baada ya kupewa taarifa kazini kwake na familia yake ""We Mr. Liverpool mbona **** kazini haonekani, kwake hakuna mtu na simu hazipatikani line zote?""

Kumbe yupo..!! alikimbilia gheto la mwana wake wa chuo ambae inaonekana alirudisha urafiki baada ya kuoa na kututenga sisi wanywa bia.

Tulimrudisha home, tukakuta mke hayupo na nguo zake hazipo (inaonyesha alikimbia kimya kimya).

Huyu mwana ilibidi auze kila kitu mpaka baadhi ya nguo zake.

Akaenda kupanga na kuanza kununua vitu upya (alisema vile alivyouza vina laana) na vina element za yule aliyekua mke wake..!!!

Kwasasa karudi chamani.

Chama chetu, tukisikia tu "mwamba fulani aliyekua chamani akakimbia chama, ana matatizo hua tunamtafuta wenyewe tumuokoe"
----------------------------------------------------------
Kuna scenario nyingi sanaa huku mtaani, hizi ni general rules tu kadhaa.
Ukitaka nilete exceptions hapa Dah nitajaza saver ya JF.


Tuendelee kunywa bia
Tuendelee kutafuta hela
Tuendelee kula nyama.

KUOA UKIWA BELOW 37 NI UOGA WA MAISHA.

UKIANZA TU KUMUELEWA MWANAMKE UJUE UNAKARIBIA KUFA.

Na kuna kuumizwa hukoo...

Halafu Arnesal Taarifa zenu kutoka kwa AstonVilla TUNAZO.

Take care

#YNWA
Pamoja na uzi wako wote msimamo wangu uko pale pale "MWAKANI NAOA"
 
...Vijana wengi hatujui kwann tunaoa,ndomana yanatufika mambo ya aibu ambayo atukujua kama yatatufika...

Naomba tuelewe kidogo kuhusu Hawa wanawake..
1. Sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke.
2. Hakuna kitu kinachoweza kumbadili mwanamke duniani,kama mwanamke anatabia mbovu...usije ukajidanganya eti atabadilika eti sababu unapesa.

3. Usije ukaoa mwanamke sababu unapesa nyingi.

4. Oa mwanamke mwenye penzi la kweli kwako,ata Kama huumpendi we oa tu.

5. Usioe mwanamke aliekwisha kukukataa kisa alikuwa na mwanaume mwengne uko nyuma,so baada ya kuachana na huyo mwanaume ndo kaja kwako...

6. Usitumie kitu kumshawishi mwanamke umuoe,Ila tumia kitu kama unataka tu kupita nae.

7. Usioe kwa kumuonea huruma mwanamke,Hawa viumbe hawaoneleki huruma na husahau wema wote kwa kosa moja.
"Vijana wengi hatujui kwann tunaoa"

Mkuu umeongea point ya msingi sana boss.

Tupo very emotional mpka tunashindwa kujiuliza kwanini nipo na huyu mtu??

Future yangu na huyu niliyenaye ipoje??

Nini nahitaji katika ndoa hii??

Vijana tumekuwa wajinga kweli kuendekeza sababu za kijinga za kuingia katika ndoa.

Yaani unaingia katika mahusiano, Cha kwanza unawaza ngono.

Muombe Mungu ujue kusudi lako (Purpose) katika maisha kisha jinoe kila kukicha kuishi kusudi hilo na haya mengine yatakuwa kama nyongeza.

Siwezi ruhusu mahusiano yanipotezee focus yangu katika maisha.
 
Mama mzazi wa jamaa kaniambia nimtafute mchungaji jamaa akaombewe jamaa kagoma, just imagine we kama ni mdogo ake ukimwomba msaada wa fedha anakwambia umpigie demu wake atoe go ahead yeye ndio atume au anamtumia demu wake ndio akutumie wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kmmmk
What the https://jamii.app/JFUserGuide....! Jamaa sijui atakuwa anapewa nini aiseee
 
Huenda alikurupuka, ati wanasema miaka 30 si umri wa kuoa.
Wanafikiri kupata mke ni kama unaenda kununua nyanya gengeni.

Hao ukiwaangalia kwa jicho la akili utawaona wana matatizo ya Akili.

Sisi wengine tunakaribia kufikisha wake wa nne. Kuoa raha asikwambie mke, na raha zaidi Mola akiwawafikisha mkadumu Ndoani.
 
Walisema "wanaume hufa mapema kwasababu hawaongei, wanajikaza na mateso yao ya duniani hivyo hupelekea kufa mapema"

Hivi hapo NIMELALAMIKA au nimetoa GENERAL RULE ili wewe utafute exceptions?

#YNWA

Lkn sidhani kama huyo msemo ulimaanisha Wanaume wa Watanzania, labda Muzungu kwa maana hapa Bongo wanaongoza kulia lia na kulaumu siku zote ni Wanawaume, kwanza kwa hapa Bongo unaweza kuugeuza huo msemo na kuweka Wanawake, kwani wanawake wa Bongo wanabeba mizigo sana, ...
 
Na sisi tuliooa tukiwa na miaka 23 na mpaka leo tunaishi vizuri pamoja na changamoto ambazo hata waliooa wakiwa na miaka 50 wanakutana nazo tusemeje.

Itoshe kusema watu watakuambia wanawake Ni wabaya kwa kukupa mifano mitano ya watu ambao ndoa zao zimeshindikana au zinamatatizo makubwa, lakini watajifanya hawazioni ndoa mia moja ambazo ziko poa including ndoa za wazazi au ndugu zao wenyewe.

Mende akiangusha kabati Ni habari kubwa ila kabati likiangusha mende no one cares
 
Hawa sio wanaume ..ni vijana wa kiume waliokamata ela kidogo na kuleta ulimbukeni...sijui wazazi wao wangesema hivi kama hata kuzaliwa wangekua wamezaliwa,,ah a
Exactly, Hawa Ni watu ambao wanafikiri kuona Ni kunategemea umri, Ila wanashindwa kujua kuwa kuoa kunategemeana ukuaji wa akili ambao Kila mtu yuko tofauti.

Unakutana na kijana ana miaka 30 lakini ukimuangalia vizuri unagundua kuwa Hana akili ya kuishi na mwanamke. Lakini yeye anaona wanawake ndiyo wanamakosa
 
Walevi na ndoa wapi na wapi. Mtu yeyote anayeleweshwa na kuyumbishwa na kimiminika kwenye chupa au mfano wake, mke lazima atamyumbusha tu.

Miongoni mwa mambo memba mema na kipimo cha utimamu wa akili ni sisi kuoa na wanawake waolewe.

Sisi wengine tumeoa tukiwa chini ya miaka 28 na bado tuna tunadunda na ndoa zetu, na tunazidi kumuomba Mola atudumishe katika ndoa zetu,mpaka tuzikwe na wake zetu au tuwazike wake zetu. (Wenye akili timamu sote kwa Pamoja tusemeni "AMIIN").
Amen[emoji122][emoji122]
 
...Vijana wengi hatujui kwann tunaoa,ndomana yanatufika mambo ya aibu ambayo atukujua kama yatatufika...

Naomba tuelewe kidogo kuhusu Hawa wanawake..
1. Sio kila mwanamke ana sifa ya kuwa mke.
2. Hakuna kitu kinachoweza kumbadili mwanamke duniani,kama mwanamke anatabia mbovu...usije ukajidanganya eti atabadilika eti sababu unapesa.

3. Usije ukaoa mwanamke sababu unapesa nyingi.

4. Oa mwanamke mwenye penzi la kweli kwako,ata Kama huumpendi we oa tu.

5. Usioe mwanamke aliekwisha kukukataa kisa alikuwa na mwanaume mwengne uko nyuma,so baada ya kuachana na huyo mwanaume ndo kaja kwako...

6. Usitumie kitu kumshawishi mwanamke umuoe,Ila tumia kitu kama unataka tu kupita nae.

7. Usioe kwa kumuonea huruma mwanamke,Hawa viumbe hawaoneleki huruma na husahau wema wote kwa kosa moja.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Back
Top Bottom