Tulimzika rafiki yetu pembeni kabisa ya nyumba yake ili mkewe asiiuze

Tulimzika rafiki yetu pembeni kabisa ya nyumba yake ili mkewe asiiuze

Kama katokea kwl kaskazn mkuu kabur linahamishika kabsaa maana Arusha niliwai kushuhudia kabur la familia likiamishwa kwanza la babu bb sjui nan kama nne lakn cha ajabu muuska akutoboa mwaka nae kafark kwa pgo za ajabu
Kuna sheria, kaburi haliwezi kuhamishwa hadi miaka si chini ya 30 ipite.

Sasa miaka 30 watoto si washakuwa watu wazima
 
Pamoja na kuwa kuna wazee wa ovyo wengi ila bado kuna wazee wenye busara wengi pia.

Tuliwahi kupata msiba wa rafiki yetu ambaye alioa mke mrembo sana toka kaskazini,huyu mke alikuwa cha pombe na utulivu zero kabisa,hata kifo cha jamaa kilikuwa cha utata sana kuna watu walidai mke alihusika.

Kamati ya wazee ikaja na azimio kuwa marehemu azikwe pembeni kabisa bampa to bamba na nyumba yake ili huyu shemeji yetu asiweze kuiuza watoto wa marehemu wakakosa address

Nani atanunuua nyumba kaburi Limeegemea ukuta wa nyumba kaburi liko bamba to bamba na mlango wa uani na msalaba mkubwa

Iwekwe sheria ya kutoruhusu kuzika popote.

Mipango miji unafanya nini?
 
Kwani nani kasema kila nyumba inauzwa?

Hapa umefanya logical fallacies kadhaa.

1. Strawman argument fallacy. Umeleta hoja ya "sio kila nyumba inauzwa" wakati mimi sikusema kila nyumba inauzwa.

2. Appeal to emotion. Umeleta habari za babu yangu kuniingiza kwenye majibizano ya kihisia badala ya facts. Fact ninkwamba hunijui, babu yangu humjui. Hujui kama alijuwa na nyumba, hujui kama imeuzwa au la.

3. Umefanya hasty generalization fallacy. Unataka kulazimisha kila nyumba isiuzwe.

4. Umefanya argument from tradition fallacy. Hata kama ni kweli tuna utamaduni nyumba zote za familia haziuzwi, hilo halina maana hakutakuwa na sababu nzuri ya kuuza nyumba.

5. Non sequitur fallacy. Kwa sababu huko nyuma nyumba hazijauzwa, hilo halimaanishi ni lazima huko mbele nyumba zisiuzwe.

Kwa sasa niishie hapa tu.
Sawa mkuu nimekupata
 
Kuna jamaa hivyo hivyo walikuwa na ugomvi na mkewe, alifariki ghafra tu, ndugu wakahisi mkewe kamfanyia hujuma....walimzika pembeni ya mlango kabisa.
Safi sana ndio dawa yao akiamka akiliona kaburi anajuta
 
Kuna jamaa hivyo hivyo walikuwa na ugomvi na mkewe, alifariki ghafra tu, ndugu wakahisi mkewe kamfanyia hujuma....walimzika pembeni ya mlango kabisa.
Safi sana ndio dawa yao akiamka akiliona kaburi anajuta
 
Hii issue ya kuweka makaburi mbele ya nyumba au pembeni ya nyumba naona sio nzuri.

Kaburi liwekwe nyuma ya nyumba, ndio maana hata haya makaburi ya jumuia mengi huwekwa mbali na makazi ya binadamu, mpaka mji ukikua ndio makazi ya watu kuanza kusogelea makaburi.

Kuweka kaburi mbele ya nyumba ili kuligeuza silaha ya kuwatisha wateja wa nyumba ni kulivunjia heshima, hata marehemu anastahili kustiriwa, awekwe nyuma ya nyumba hakuna yeyote anayeitaka nyumba atainunua hata kama kaburi likiwa nyuma ya nyumba.
Kuna kiwanja kinauzwa kijijini kwetu kipo karibu na soko lengo langu ninunue nijenge ghala na nyumba ila tatizo ni kwamba mwenye nyumba kaburi lake lipo ndani ya kile kiwanja hili jambo linanitisha
 
Kuna jamaa hivyo hivyo walikuwa na ugomvi na mkewe, alifariki ghafra tu, ndugu wakahisi mkewe kamfanyia hujuma....walimzika pembeni ya mlango kabisa.
Safi sana ndio dawa yao akiamka akiliona kaburi anajuta
Kuna kiwanja kinauzwa kijijini kwetu kipo karibu na soko lengo langu ninunue nijenge ghala na nyumba ila tatizo ni kwamba mwenye nyumba kaburi lake lipo ndani ya kile kiwanja hili jambo linanitisha
Makaburi ya afrika yana muzimu😄😄😄
 
Kuna Moja ilitokea mapinga,Bagamoyo.Na wao watu wa kaskazini hukohuko,ndugu wa mume wanataka kuzika hapo hapo nyumbani mapinga,sababu zao Binti bado mdogo na watoto bado wadogo,hawajui mbeleni nini kitatokea.
Ndugu wa Mke wakakataa,hoja yao ni tangu lini Mchagga akazikwa Dar na wazazi wake wote wapo wazima hapo Kilimanjaro!
Pia Mke alisisitiza kuwa hata baadae wakihitaji Kujenga Nyumba za kupangisha itakuwa ngumu kupata wapangaji,nani anataka kupanga Nyumba Ina kaburi la mtu asiyemfahamu!
Bagamoyo yule jamaa mwaka juzi hapa ,walizika kwa vile jamaa aligoma kujenga kwao halafu waliweka ili yule mwanamke asiuze ile nyumba.
 
Bagamoyo yule jamaa mwaka juzi hapa ,walizika kwa vile jamaa aligoma kujenga kwao halafu waliweka ili yule mwanamke asiuze ile nyumba.
Alikuwa mdogo tu,below 30yrs!
Kwa Ile Nyumba tu kuwa nayo kwa umri wake ni hatua kubwa.
Hiyo ya kwamba hajajenga kwao ilikuwa janja janja tu ya kuzuia hiyo Mali isipotee.
 
Back
Top Bottom