Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi ipo kwa kweliNishakua mzoefu hadi nasahau kama napendwa au nishawahi kupenda, yaani naweza kuwa na mahusiano halafu nasahau na ndio inakua mwisho...
Ridhaa ipo we kamata maiki tu anza kushusha mistari, biti na mengine yatakuja mumo kwa mumo tu, songi likinoga.Nishirikishe mkuu[emoji23]
Tafuta mtu akuondolee hiyo loneliness, watu sijui mnajibana kwa nini...we only live once madam!So single,some times am fine with it,sometimes am very lonley
being single is cool being occupied is also cool dear . am sorry [emoji21]So single,some times am fine with it,sometimes am very lonley
toka kwa shemeji kwanza broNina gundu kila demu ninayetongoza kabla sijala mzigo anasafiri, na ndio inakuwa mazima.
Na sina hela ya nauli maana naishi kwa shemeji yangu mkoloni.
Kwa hiyo niko single ila sio kiviiiile, nipeni mbinu mabaharia.
Asante kwa ushauriTafuta mtu akuondolee hiyo loneliness, watu sijui mnajibana kwa nini...we only live once madam!
Acha Kabisa, u single una mengi sana hadi natamani nikutane na single mwenzangu ili tuzugezuge mpaka tutakapokuwa tayari kuishi na wenza wetu tutakaowapata pindi tukiwa tayari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kazi ipo kwa kweli
Usijali utapata tuAcha Kabisa, u single una mengi sana hadi natamani nikutane na single mwenzangu ili tuzugezuge mpaka tutakapokuwa tayari kuishi na wenza wetu tutakaowapata pindi tukiwa tayari.
Aisee nitaenjoy sana.Usijali utapata tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lolAcha Kabisa, u single una mengi sana hadi natamani nikutane na single mwenzangu ili tuzugezuge mpaka tutakapokuwa tayari kuishi na wenza wetu tutakaowapata pindi tukiwa tayari.
Tatizo ni kuomba omba hela tu! Matokeo yake unajiegamiza kwa waume za watu 😂😂😂Habarin zenu..? leo tujuane tulio single na kwa nin tuko single [emoji174]
mwenzenu niko single kwa sababu bado sijampta aliye ubavu wangu naangaika na mibavu ya watu mwshowe naumizwa tuView attachment 1561737
Hiyo haina kulaumia wala kuulizana maswali ila mkiwa na nafasi mnafanya yenu kiroho safi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nini sasa lolHiyo haina kulaumia wala kuulizana maswali ila mkiwa na nafasi mnafanya yenu kiroho safi.
Kufurahia Maisha tuu bila mfadhaiko wakukosa pair![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo nini sasa lol
Vipi mkuu,kitumbua ulipewa na huyu dada?Nipo nasubiri PM yako hapa mkuu singo plus singo equal to hot singo
Yes, usingo una raha saana, ila mapenzi ni mtamu zaiidi hasa ukibahatisha mtu hasa, ila ukipata lonya lonya, moyo wako ni km umeuweka rehani.Nipo single tokea September last year..and to be honest,it's pretty sweet,I'm loving it.