Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Brother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!

Baada ya miaka kumi hivi nilikuja kumuuliza yeye binafsi nilipokosea alikiri hakukua na kosa toka kwanbjy hata yeye mwenyewe hakujua nini kilichomtokea.

Mwanamke ndugu yangu mwache awe mama, awe dada awe mwana lakini nje ya hapo Aisee chukua tahadhari sana.
Mkuu huyo ni mkeo au??
 
Brother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!

Baada ya miaka kumi hivi nilikuja kumuuliza yeye binafsi nilipokosea alikiri hakukua na kosa toka kwanbjy hata yeye mwenyewe hakujua nini kilichomtokea.

Mwanamke ndugu yangu mwache awe mama, awe dada awe mwana lakini nje ya hapo Aisee chukua tahadhari sana.
Aise bora umeligundua hilo hawa waheshimu kama mama na dada zetu ila suala la mapenzi na mkishavuana kyupi tuu basi heshima hamna tena
 
Kitanda hakizai haramu.

Hivi kweli unamuacha mke kisa kuchepuka tuuu!! Hebu kuweni serious na maisha.
Bwana wee wana unrealistic expectations hawa ndugu zangu.
Mke kichepuka kitu normal kabisa wala sio cha kuumiza kichwa.
Ni suala la mtu kubadilisha ladha ya de liboloz tuu na kujua style mpya mpya
 
Ninamfanyia hivyo coz yeye ndo ananitafuta tena sana sms kibao, kuna kipindi nilimblock akatumia NO nyingine nikaamua kuacha tuu.
Yeye ndl ananisumbua ila sio mimi.

Kuhusu yeye kumove on apate kidume mwingine sio wivu nae wala nini.
Maisha ninayoishi now ni mazuri mno. Unijui tuuu mwana.
Achana nae tu, hata ukimwambia una mahusiano mengine inatosha si lazima umvimbie.
 
Pumbavu sana, watu kama nyie ni wakuch.homa
Sasa kuchoma sii tulishaandikiwa aie wazinzi wee unataka kutochoma ili iweje?

Alafu achana na hizo ideal world tunaishi kihalisia. Karne hii watu kwenye mahusiano wanachepuka wataka kujidanganya kuwa cheti cha ndoa kitamfanya mke atulie. Huo ni ujinga.

Kama wewe mwanaume una matamanio ya kimwili basi na mwanamke nae hivyo hivyo. So tukubali ukweli mchungu kuwa katika maisha ya ndoa kutombewa mke itatokea knowingly au unknowingly. Ila mie binafsi niseme tuu mke wangu siwezi kumuwacha eti kisa katombwer nje. Hilo hapana. Tutakaa chini tujifunze style gani mupya amegundua huko then tunapeana mambo.
 
wasiwasi wangu huenda kukatokea maafa ktk malumbano kuhusu huyo mtoto,,, nilishaongea sana inatosha Ivan, wakiuana tutazika[emoji119][emoji119]wanaume mko wajinga sana mlisisitizwa mtumie akili kuishi na mwanamke, huwa hamzingatii hiyo sentensi
Si wote
 
Back
Top Bottom