Johnson12345
JF-Expert Member
- May 29, 2023
- 207
- 498
- Thread starter
-
- #321
Mkuu huyo ni mkeo au??Brother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!
Baada ya miaka kumi hivi nilikuja kumuuliza yeye binafsi nilipokosea alikiri hakukua na kosa toka kwanbjy hata yeye mwenyewe hakujua nini kilichomtokea.
Mwanamke ndugu yangu mwache awe mama, awe dada awe mwana lakini nje ya hapo Aisee chukua tahadhari sana.
Ilikuwaje wa kibaha tupe hioPole sana, umenifurahisha hujachukia wanawake wote sababu ya mwanamke mmoja asiyejitambua huo ndio uwanaume[emoji4]
Cc [mention]cocastic [/mention] uduguu hii story inafanana na ya jamaa yetu wa kibaha [emoji1787][emoji1787]
Dingi kauzu sana"Baba yake akasema kufanya hivyl ni kutetea ujinga na uzizi wa mtu"
Malezi ya mwanaume ni thabiti
Hii kweli mkuu ni muhimuwanaume wenye akili hupenda sana kujua historical background ya mwanamke.
YaaaaPia wanawake wapenda church nao ni redflag sana ila sio wote.
Aise bora umeligundua hilo hawa waheshimu kama mama na dada zetu ila suala la mapenzi na mkishavuana kyupi tuu basi heshima hamna tenaBrother niliwaza sana sehemu nilipokosea nikakosa, yaani ile unajichinguza a mpaka z sehemu ulipokesea unakosa!
Baada ya miaka kumi hivi nilikuja kumuuliza yeye binafsi nilipokosea alikiri hakukua na kosa toka kwanbjy hata yeye mwenyewe hakujua nini kilichomtokea.
Mwanamke ndugu yangu mwache awe mama, awe dada awe mwana lakini nje ya hapo Aisee chukua tahadhari sana.
Dingi kauzu sana
Hii sio pisi kali
Pumbavu sana, watu kama nyie ni wakuch.homaWee bwana usaliti kitu gani tatizo yenye mntaka kuishi in an ideal world. No such thing mate. Mke kutombewa kupo tuu alafu wee kinakuuma nini mkeo kutombwer? Wee mbususu sii unapata sasa shida iko wapi?
Bwana wee wana unrealistic expectations hawa ndugu zangu.Kitanda hakizai haramu.
Hivi kweli unamuacha mke kisa kuchepuka tuuu!! Hebu kuweni serious na maisha.
Viliitishwa vikao aisee, mzee alikua hataki waludiane, Ali mwamba mbele ya wazazi na washenga... * Ukirudiana na huyu Mke utakufa* ...but case ya bro wangu ilikua usaliti +uchawiSure tupe uzoefu mkuu
Unakula pisi kali tuu.....aisee kuwa na hela raha sanaI know, hata huyu anatabia ya dharau flani hivi.
Ni mweupe anasura ndefu na pua ndefu , na macho makubwa hivi.
Akicheka pua yake kana inajikusanya hivi. Ukiwa nae kitandani asalale. We acha
Achana nae tu, hata ukimwambia una mahusiano mengine inatosha si lazima umvimbie.Ninamfanyia hivyo coz yeye ndo ananitafuta tena sana sms kibao, kuna kipindi nilimblock akatumia NO nyingine nikaamua kuacha tuu.
Yeye ndl ananisumbua ila sio mimi.
Kuhusu yeye kumove on apate kidume mwingine sio wivu nae wala nini.
Maisha ninayoishi now ni mazuri mno. Unijui tuuu mwana.
Pumbavu sana, watu kama nyie ni wa kuchoma/QUOTE]
Jipigie kifuani na useme tundu ni lilelile.Unakula pisi kali tuu.....aisee kuwa na hela raha sana
Sasa kuchoma sii tulishaandikiwa aie wazinzi wee unataka kutochoma ili iweje?Pumbavu sana, watu kama nyie ni wakuch.homa
Ah wapi kuna mwanamke ukimuona tuu unasema yes this is pisi kali.Jipigie kifuani na useme tundu ni lilelile.
Sema tena kila dem ni mzuri ni matunzo tu.
Tusiokuwa na uwezo wa kuzimiliki hizi, tutaziponda; ni sawa na kusema kula nyama ya kuku kunaleta vibarangoHii sio pisi kali
Si wotewasiwasi wangu huenda kukatokea maafa ktk malumbano kuhusu huyo mtoto,,, nilishaongea sana inatosha Ivan, wakiuana tutazika[emoji119][emoji119]wanaume mko wajinga sana mlisisitizwa mtumie akili kuishi na mwanamke, huwa hamzingatii hiyo sentensi