Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Sasa kwa nini unamuuliza kama ndiye yeye?Ile ni whatsApp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa nini unamuuliza kama ndiye yeye?Ile ni whatsApp
Jinsi alivyokuwa mrembo nilikuwa siamini mySasa kwa nini unamuuliza kama ndiye yeye?
Sasa kwa nini unamuuliza kama ndiye yeye?
Ushaona kitu
Mwanaume unaandika my....kizazi.cha 2000 mna tatizo gani?Jinsi alivyokuwa mrembo nilikuwa siamini my
Sio ajabu ila inamuumiza mhangaAjabu nini sasa?
Umeona picha niliyoitaoMwanaume unaandika my....kizazi.cha 2000 mna tatizo gani?
Kaangalie nimetoa wapiMuongo wewe,unaiba picha google.
Haya ni mazungumzo ya instagram au facebook kama unavyosema .View attachment 2640119
Hii Google eeee
Kaitafute GoogleWewe Johnson12345 acha kuiba picha google View attachment 2640120
Haya umeshinda, muoe basi. Umeona ni mrembo kumshinda mkeo. Kwani mkeo si ulishampa talaka mahakamani? Oa huyu mtusi sasa acha kurukaruka.View attachment 2640119
Hii Google eeee
Kaamanisha kuwa kabla ya kwenda wasap mlikutana FB au instaIle ni whatsApp
Kuoa NOHaya umeshinda,muoe basi.Umeona ni mrembo kumshinda mkeo.Kwani mkeo si ulishampa talaka mahakamani?Oa huyu mtusi sasa acha kurukaruka.
Mpeleke vijijini kuna DNA za asili. Halafu ukimshuku tu mtoto ujue sio wako. Macho hayadanganyi hata siku mojaStori ya Jamaa imenigusa sana.
Mimi mwenyewe nahisi mtoto mmoja sio wangu.
Maama ni mweupe japo kwao wana ka rangi kidogo ila wa kwangu anawazidi wao. Sasa Hybridi ya mtu mweusi na Maji ya kunde inawezekana vipi kuzaa mweupe??
Nimesubiri mieze isogee ili nione rangi kama itakuja kukaribiana na yangu lakini naona dogo anazidi kuwa mweupe.
Kwakweli katika harakati za maisha sisi wanaume tunakutana na mengi.
Mbowe alifungwa mimi nimeambulia kupigiwa mke.