Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Thread kama hizi zinahusu wanawake kwa usaliti nyingi wanasema ni za kutunga
 
ASANTENI JAMANI UZI CLOSED NILITETA TUU HUU UZI THANKS.
NARUDI KWENYE ACCOUNT YANGU YA MWANZO
 
Stori ya Jamaa imenigusa sana.

Mimi mwenyewe nahisi mtoto mmoja sio wangu.

Maama ni mweupe japo kwao wana ka rangi kidogo ila wa kwangu anawazidi wao. Sasa Hybridi ya mtu mweusi na Maji ya kunde inawezekana vipi kuzaa mweupe??

Nimesubiri mieze isogee ili nione rangi kama itakuja kukaribiana na yangu lakini naona dogo anazidi kuwa mweupe.

Kwakweli katika harakati za maisha sisi wanaume tunakutana na mengi.

Mbowe alifungwa mimi nimeambulia kupigiwa mke.
Mpeleke vijijini kuna DNA za asili. Halafu ukimshuku tu mtoto ujue sio wako. Macho hayadanganyi hata siku moja
 
Back
Top Bottom