Ni jambo jepesi mno kwa sisi wanaume ambao tunavuta bangi.
1. Mwanamke ni dhaifu kosa lolote likitokea msamehe Saba mara sabini.
2. Jifunze kuwa mwepesi wa kusamehe haijalishi ni kosa gani umetendewa.
3. Tumia Sana bangi kupanua wigo wa akili, mtazamo chanya, maamuzi sahihi, kwa siku vuta pisi 8.
4. Kuna makosa mangapi unafanya ila Mungu Mwenyezi anakusamehe, wewe ni Nani hasa ushindwe kusamehe wengine.
5. Mrudie mkeo tunza ndoa, tunza watoto, maisha mengine yaendelee acha kuwa na Mambo mengi.
😊🙃