Hilo ndio la msingi huduma za msingi zipo yeye wacha apuyange kusaka mbususHuwezi kupata kila kitu ndio,lakini ye kwa uwezo wake anaplay part yake ndo sasa anakuja na point hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndio la msingi huduma za msingi zipo yeye wacha apuyange kusaka mbususHuwezi kupata kila kitu ndio,lakini ye kwa uwezo wake anaplay part yake ndo sasa anakuja na point hiyo
Tupo waaminifu😁😁😁Hivi kuna mwanamke hachepuki ata kidogo
Uko sahihi kabisa. Kwa habari ya zinaa ruksa ndoa kuvunjika:Uongo! Ndoa ya kanisani inavunjwa kama kuna mmoja wenu ametembea nje ya ndoa. Kwa kesi yako, kama mtoto wake wa kizungu siyo kama Bikra Maria alivyopata mimba ya YEZU, ndoa inavunjwa bwashee. Hata Mzee Msekwa ilivunjwa kwa vile mke wake alikutwa analiwa na jamaa mwingine, akafunga ndoa na Anna Abdallah nyingine. Sir George pia, ni wengi sana.
Mhm tena wewe unavyoonekana kuwa ni lishangazi 🤣🤣🤣🤣Tupo waaminifu😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣Shangazi mbobeziMhm tena wewe unavyoonekana kuwa ni lishangazi 🤣🤣🤣🤣
Anaejua kumsusia mwanaume mbususu🤣🤣🤣🤣🤣Shangazi mbobezi
Najua huo utoto ukikua utaacha,sasa iniume vp wakati hata sikujui.Unajipa kazi ya kuuza chai na sisi tunakuja na maandazi yetu.Mkuu inakuuma nini nishamuacha
Hujambo wewe muha wangu? Hajapatikana muha mwingine tumshughulikie!🤣🤣🤣🤣🤣Shangazi mbobezi
Mwenye maisha mazuri angekuwa anafanya mambo yake na kuwa bize sio kuja kulialia humu jf mkuu.Ninamfanyia hivyo coz yeye ndo ananitafuta tena sana sms kibao, kuna kipindi nilimblock akatumia NO nyingine nikaamua kuacha tuu.
Yeye ndl ananisumbua ila sio mimi.
Kuhusu yeye kumove on apate kidume mwingine sio wivu nae wala nini.
Maisha ninayoishi now ni mazuri mno. Unijui tuuu mwana.
[emoji3516]Yule dada mnyarwanda alimkimbia kwa sababu gani mkuu.
Una mtoto? Ukute mpaka Sasa bado clean sheets inakufata na watoto hawapatikaniSikuwa mshiriki wa ngono kivilee chuoni,nilitry mara chache sana ,na ndio sehemu nilipoteza bikra yangu[emoji22][emoji1787]
🤣🤣 Mungu ni mwema ,Nina vidume viwili napambania makuzi na elimu yao Sasa🙏Una mtoto? Ukute mpaka Sasa bado clean sheets inakufata na watoto hawapatikani
Mti usiozaa ukatwe na uteketezwee[emoji848]
Sio kawaida ndio maana watu wanatoboana macho na kumwagiana tindikali.Msiumie, mambo ya kawaida tu hayo.
Hamnaga dem aliepita chuo salamaSikuwa mshiriki wa ngono kivilee chuoni,nilitry mara chache sana ,na ndio sehemu nilipoteza bikra yangu😢🤣
🤣🤣🤣🤣Kuna mmoja huyo nilishashughulika nae kakaa kwa kutulia,Hujambo wewe muha wangu? Hajapatikana muha mwingine tumshughulikie!
Ni ujinga tu kumdhuru mwenzio kisa mapenzi. Acheni ujinga.Sio kawaida ndio maana watu wanatoboana macho na kumwagiana tindikali.
Mapenzi na dini, hivyo vitu acha kabisa.
Usisahau kuwashughulikia pia wanaoleta story za kufikirika! Wanasema ni true story wakati ni ndoto za alinacha🤣🤣🤣🤣Kuna mmoja huyo nilishashughulika nae kakaa kwa kutulia,