Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

Tulioacha wake zetu kwa sababu ya usaliti waliotufanyia tukutane hapa

😂😂😂😂 dah na me mwaka jana na huu nmekaa mbal sana na family kikazi dah nachoshkuru tunafana na watoto copy and paste.. ila sasa kuna sku humu nliona mtu anasema mtoto unaeza fanana nae na bado si wako sjui kweli hvi?? Ilinikata mainii
Inawezekana kabisa mkuu
 
Mwanamke hata umfanyie nini hawi wa njia moja wakati wote!
Nazungumza katika ushahidi wangu binafsi kuna mwanamke nilimpa maisha yangu! Achana na kumpa muda nilimpa maisha yangu! Sina lugha rahisi ninayo weza vile nilimpa maisha yangu.
Lakini aliniacha nikiwa naona na macho yangu haya mawili , tena asubuhi kabisa kabla ya mapambazuko , baada ya jana yake kuliwa na jamaa!
Vile ilivyo niuma kipindi kile nilihitimisha mwanamke hata umpe nini kesho anaweza kuwa tofauti sana na jana.
Sahh mkuu
 
Mwanamke akitoka nje ya Ndoa

Ukathibitisha hupaswi msamehe kabisa

Mwanamke ukimdaka na mwanaume hupaswi kabisa kuendelea nae au kuongea naye, we muache hata kama mna watoto muache atajijua mwenyewe.
Samehe 7×70
 
Mwanamke akitoka nje ya Ndoa

Ukathibitisha hupaswi msamehe kabisa

Mwanamke ukimdaka na mwanaume hupaswi kabisa kuendelea nae au kuongea naye, we muache hata kama mna watoto muache atajijua mwenyewe.
Samehe 7×70
 
Mwanamke akitoka nje ya Ndoa

Ukathibitisha hupaswi msamehe kabisa

Mwanamke ukimdaka na mwanaume hupaswi kabisa kuendelea nae au kuongea naye, we muache hata kama mna watoto muache atajijua mwenyewe.
Samehe 7×70
 
Mwanamke mpaka anapanua mapaja anawekwa ududu, unachomoka anaurudishia kwa mahaba, Kumbuka hajabakwa hapo karidhia kila kitu, Ni hatari sana kurudiana nae!
 
Ninawaza tu,ni ndoa ngapi zingevunjika kisa mwanaume kuzaa nje.Mrudie mkeo.Ina maana wewe hakuwahi kuzini?Ingetokea wewe ndo ungezaa nje,ndoa ingevunjika ?Kishakuambia ni bahati mbaya,amekuomba msamaha. Msamehe mrudiane.
Kei wewe
 
Back
Top Bottom