Tuliofunga gesi kwenye magari njooni tupongezane, bajeti ya mafuta kutoka 900,000/= hadi 200,000/= kwa mwezi

Tuliofunga gesi kwenye magari njooni tupongezane, bajeti ya mafuta kutoka 900,000/= hadi 200,000/= kwa mwezi

Hivi serkali makini kweli inashindwaje kuongeza vituo vya kujazia hizo gesi?! Yaan hadi leo kipo kimoja tu?!
 
Ningefurahi ukieleza gharama za kuweka mfumo huo mkuu
Ni modification ndogo tu wanafanya kwenye dashboard, kuna kuwa na zile reserve port za kufunga extra switch pale pembeni ya ignition, wataalam wanaelewa zaidi. Na pia kuna slave ECU inayounganishwa na master ECU / computer ili zishirikiane kwenye seamless/smooth changerover ya gesi kwenda mafuta and vice-versa. Na slave computer ikihisi gas pressure imeshuka sana basi automatically infyatua switch na kuirudisha kwenye mafuta, just incase umejisahau.
 
Ulifaa kuwa mleta uzi
BINAFSI NILIWASIKIA HAO DIT WAKIHOJIWA CLOUDS FM NA WALISEMA KWASASA WANABADILISHA MAGARI YANAYOTUMIA TU PETROL YA UKUBWA WA AINA YOYOTE KWA GHARAMA YA TSH, MILIONI MOJA NA LAKI NANE (1,800,000) WAKASEMA VIFAA VYA KUFUNGA MAGARI YANAYOTUMIA DIESEL WAMESHALETA ILA BADO HAWAJAANZA KUFUNGA ILA SOON WATAANZA PIA YA DIESEL.
PIA WALISEMA KWENYE DASH BORD KUTAKUA NA ALAMA INAYOONESHA KIWANGO CHA GESI KILUCHOPO KAMA TU INAVYOONYESHA MAFUTA, PIA KUTAKUWA NA BUTON MAALUM YENYE UWEZO WA KUSWICH OFF UPANDE WA GESI KAMA IMEKWISHA NA KURUDI UPANDE WA MATUMIZI YA PETROL.
NA WALISEMA KWASASA KILO MOJA YA GESI NI TSH, 1500 NA KWA GARI DOGO INA UWEZO WA KUTEMBEA MPAKA KM 27 KWA KG, 1 NAFIKIRI KIDOGO NIMEELEWEKA.
 
Wazito kwenye kupanua vyanzo vya mapato wepesi wa kukusanya Kofi kwenye vyanzo vilivyo anzishwa na wengine
 
Napendekeza magari yote ya serikali yafungiwe huu mfumo wa gesi ili kuokoa fedha za kuagiza mafuta toka nje ya nchi, tutumie gesi yetu asilia
 
ni bora kununua gari yenye mifumo miwili iliyotengenezwa straight from kiwandani, nyinyi mnaofurahia hii kitu wait and see! mark my word kuna mtu atakua mfano then na biashara itapigwa marufuku. Nat gas sio kitu cha mzaha that much.
Hivi hakuna gari Japan ambazo zina mifumo miwili na gharama zake zitakuwa vipi?
 
Back
Top Bottom