Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Kila kitu nchi hii madalali ndowanafanya jua hivyo.unavoanza nilazima ushinde nao sana namjuane
 
heka 40 ukapata gunia 14????....... something is wrong hapa,,,, HAIWEZEKANI upate gunia 14 hata kwa eka 2 how comes wewe upate kwa ekar 40?
 
heka 40 ukapata gunia 14????....... something is wrong hapa,,,, HAIWEZEKANI upate gunia 14 hata kwa eka 2 how comes wewe upate kwa ekar 40?
Inawezekana ktk kilimo ukikosea hatua moja tu inaleta athari kubwa sana ktk mavuno. Mfano maji yakikosekana, usipong'olea majan kwa wakati, vibarua wakikuzingua ktk hatua ya mpunga kuanzia kuchanua inakua furaha ya ndege. Mwisho kuna kudukuliwa na wenyeji
 
Mnajua gunia moja LA mahindi kwa sasa sh ngapi? Kwa taarifa yenu mahindi makavu yamenifuta machozi kuliko ambavyo ningeuza mahindi mabichi kwa sh 120
Debe moja sh. Ngapi? Mi nasikia ni 20,000 kwa yule muuzaji wa rejereja
Kwa mkulima pengine atakuwa ananunua kwa elfu 10 hadi 15
 
Pole kiongozi, hata vifaranga vyangu vinasumbuliwa na ndui sana sijafahamu shina nini?
 
Pole kiongozi, hata vifaranga vyangu vinasumbuliwa na ndui sana sijafahamu shina nini?

Nina mwaka now nafuga kuku awa broiller before walikua kwenye banda kati ya kuku 100 kufa 10-40 poa tu ila now katika kuku 500 wakifa jua ni 2-3 tena wale wa nyongeza
 
Hiyo point ya mwisho ishawahi nikatisha tamaa sana: mtu analima heka 3, mahindi yanakubali, anakuja kuvuna gunia 10; at the same time mzee moja shamba jirani lilikuwa hekq moja tu na mahindi hayakuwa mazuri sana kwa sbabu ya kukosa mbolea ya kutosha, ila alivuna gunia 20+
 
Hiki kilimo cha mpunga kilikua cha umwagiliaji au ulikua unategemea mvua?

Na je ulikua una simamia wewe mwenyewe?
 
Tatizo yale madude nayo yana haribika haraka
 
Wacha kilimo cha pdf.
 
Mkuu wanasumbua sana mkoa morogoro wamejaa naona mheshimiwa rais kaliona kaamua kuleta mkuu wa mkoa mkali ili kuweka mambo sawa ila bado nna hasira nao
Me nimewahi kuwategea vidonge vya mende vile nikaua watatu

Kama vipi anza kidogo kidogo kuliwekea wigo shamba lako ule wa barbed wire na mtu awepo shambani
 
Me nimewahi kuwategea vidonge vya mende vile nikaua watatu

Kama vipi anza kidogo kidogo kuliwekea wigo shamba lako ule wa barbed wire na mtu awepo shambani
hii ya vidonge vya mende naifanyia kazi jino kwa jino hii ya barbed wire too am working on it
 
hii ya vidonge vya mende naifanyia kazi jino kwa jino hii ya barbed wire too am working on it
Poa,ila kama ni wamasai kuwa makini maana hawachelewi kuanzisha vita hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…