Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

ha ha ha haha ha ha mang'ola iyo au wapi
 
Jamaa heshima kwako

Umeandika mambo yote ambayo ndiyo yanayotokea kuanzia kusikia fursa, kuhamasika na shambani

Sasa hapo bado zile zinazotokea baada kuwa umevuna etc

Katika hizo, hapa nilipo naugulia maumivu nyanya yangu Msolwa imebebwa na mvua za juzi sababu ni kuwa shamba lilikuwa kwenye bonde la mpunga.
 
Yaani ukiwa shamba vichips, supu, wali au bia za bush tamu kweli ukikaa kidogo shamba unakuta una kiu ya bia au unatamani kuchoma nyama hahahaha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu zangu miyee,daa haya mambo ya kilimo na starehe = na dunia na mbingu
 
Watu hawaambulii hata Debe moja unasema gunia???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikia tu serikali ikisema kilimo ni Uti wa mgongo usijaribu maana hutaamini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo utajua kama ni uti wa mgongo au kiuno
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Uko sawa
 
Wanao present kuhusu kilimo redioni hawajawahi shika jembe toka wazaliwe . Ila usikate tamaa umeshapata shule fuatilia colonel Sander,Warren Buffet na Bill Gate walifeli mara ngapi utaona wewe ni cha mtoto kaza buti
 
Wanao present kuhusu kilimo redioni hawajawahi shika jembe toka wazaliwe . Ila usikate tamaa umeshapata shule fuatilia colonel Sander,Warren Buffet na Bill Gate walifeli mara ngapi utaona wewe ni cha mtoto kaza buti
Kama kuna watu wanatoa mafunzo ya ujasiliamali ktk kilimo kwa vijana ili waka jiajili. Nashauri wajikite kivitendo zaidi yaani waende shamba wakakae huko na washiriki kivitendo kuanzia hatua ya mwanzo mpaka mwisho. Kuna changamoto zingine hazifundishwi darasan unapambana nazo huko huko. Wakitoka hapo wanakua wamepata maarifa pamoja uzoefu. Waachane na semina wanazofanyia kwenye mahotel mijini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…