Sijamuona hata mmoja aliyetoboa, wengi wanaolima mahindi/tikiti/tumbaku/korosho/pamba kila siku nawaona wanalia lia tu,labda wanapata hela ya kula tu lkn sio kua matajiri.
Sasa hicho sio ndio anachoongeaNimekaa kusini sana mkuu korosho na ufuta unalipa san na watu wanatajirika ila ambao ni middlemen aka kangomba
Inahitaji moyo; mpaka nafikia hapo nilipigwa kama M3. Sasa nataka nirudi kwa stail mpyaHongera sana mkuu,kazi nzuri sana hio.
Bahati mbaya mimi watu wote ninaowajua/wanaonizunguka wanaojishughulisha na mambo ya kilimo sijawahi kumuona aliyetoboa hata mmoja mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuh...Sasa tukimbilie wapi?[emoji2958]
Mnajua gunia moja LA mahindi kwa sasa sh ngapi? Kwa taarifa yenu mahindi makavu yamenifuta machozi kuliko ambavyo ningeuza mahindi mabichi kwa sh 120Huyu jamaa hajafikiria vizuri. Mfanyabiashara anayechukulia shambani ana gharama za usafirishaji, halafu mchomaji wa mahindi ana gharama za mkaa, chumvi, pilipili, limao n.k. Muhindi kuuzwa sh.500 sokoni ni mchanganyiko wa vitu vingi. Kifupi mnyororo wa thamani ni mgawanyo wa faida baina ya wadau wote wanaohusika.
Mkuu bora angeuza kwa muuindi 1 kwa sh 120, maana hana hakika ya kuuza mahindi yaliyopukusuliwa toka kwenye gunzi moja kwa sh.120
Nimekaa kusini sana mkuu korosho na ufuta unalipa san na watu wanatajirika ila ambao ni middlemen aka kangomba
Timing ya market kaka..sio sahihi kulima kitu ambacho mda wa kuvuna mnavuna wengi inabd wenzio wakiwa wanavuna we ndo unapanda sasa ili by the time unavuna unakuta demand kubwa sokoni..tatizo ni wengi tunategemea mvua thus wote tunalima kipind kimoja na kuvuna kipind kimojaHahaaaa..ngoja nicheke tu..mwezi wa8 nililima bamia kama heka na nusu..nimezipiga vzr tu..msimu wa mavuno umefika...siku napeleka mzigo sokoni nikakutana na bamia zimeteremshwa kama mvua kipindi cha nuhu..bei iko chini..yani nilitamani niutelekeze mzingo..ila sikua na jinsi nikauza hivyo hivyo kwa hasara..
Nimevuna kama mara mbili..imebidi nmeachie dogo avune atafute hata hela ya kujikimu akisubiri vyuo vifunguliwe..
Kimsingi kilimo kina changamoto sana..kama sio shambani basi sokoni.
Ila siachi kulima..nmekodi shamba heka 10 najipanga kulima ufuta na alizeti.
GOD IS GOOD.
Nenda moro milima ya udizungwa kule ndo zinastawipenye changamoto ndo pesa ilipo,,we npe raman[emoji16][emoji16]
Timing ya market kaka..sio sahihi kulima kitu ambacho mda wa kuvuna mnavuna wengi inabd wenzio wakiwa wanavuna we ndo unapanda sasa ili by the time unavuna unakuta demand kubwa sokoni..tatizo ni wengi tunategemea mvua thus wote tunalima kipind kimoja na kuvuna kipind kimoja
Vp kuhusu Masanja mkandamizaji? Sema watu awafati kanuni za kilimo na mahitaji ya masoko
Hata mm nashangaa mhindi uliwe na chimvi na mipilipili..khaa!Daah huu utaratibu wa mahindi ya kuchoma kuliwa na chumvi,pilipili na limao niliuona kwa wanaume wa huku dar aisee.
Wanaume wa mkoani hatujui hio kitu kabisa.
Rafiki una mgongo mzuri sana!Hata mm nashangaa mhindi uliwe na chimvi na mipilipili..khaa!
Rafiki una mgongo mzuri sana! View attachment 1243856
Mgongo bila hela ni ubatili
Hahah dar kuna maajabu mengi sana aisee.Hata mm nashangaa mhindi uliwe na chimvi na mipilipili..khaa!
Kilimo ni kamali kama betting na wala si kama usemavyo nyanya ikiyouzwa tenga sh 2,000 mwezi wa 9.Haijamwagiliwa na mvua. Saiz wanasema nyanya ya march ndo inasoko sasa utaona ukifika marchTiming ya market kaka..sio sahihi kulima kitu ambacho mda wa kuvuna mnavuna wengi inabd wenzio wakiwa wanavuna we ndo unapanda sasa ili by the time unavuna unakuta demand kubwa sokoni..tatizo ni wengi tunategemea mvua thus wote tunalima kipind kimoja na kuvuna kipind kimoja
Rafiki una mgongo mzuri sana! View attachment 1243856
Kilimo ni kamali kama betting na wala si kama usemavyo nyanya ikiyouzwa tenga sh 2,000 mwezi wa 9.Haijamwagiliwa na mvua. Saiz wanasema nyanya ya march ndo inasoko sasa utaona ukifika march
Naona unanikwepa kwa nguvu zote, mzima?