Tulioishi Mwanza miaka ya 1990 mpaka 2000 tukutane hapa tujikumbushe

Tulioishi Mwanza miaka ya 1990 mpaka 2000 tukutane hapa tujikumbushe

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Miaka ile Mwanza ilikuwa na raha zake

Beach lazima uende tunza beach ndio ya kishua.

Club zilikuwa deluxe na capricabana ndio za kishua hasa ambapo unakutana na kina dj cutter kidboy huku watoto wa kiswazi wakikutana pale magnum.

Tape music za nje tulikuwa tunanunua pale boom explosion. Hoteli nzuri ya kupunga upepo ilikuwa ni rock beach ambayo mashindano ya umiss yote yalikuwa yanafanyika pale.

Mzee wa punk style alikuwa ndio bishoo mwanza yote. Wanafunzi wajanja wote walikuwa pamba
 
Miaka ile Mwanza ilikuwa na raha zake
Beach lazima uende tunza beach ndio ya kishua.

Club zilikuwa deluxe na caricabana ndio za kishua hasa ambapo unakutana na kina dj cutter kidboy huku watoto wa kiswazi wakikutana pale magnum.

Tape music za nje tulikuwa tunanunua pale boom explosion. Hoteli nzuri ya kupunga upepo ilikuwa ni rock beach ambayo mashindano ya umiss yote yalikuwa yanafanyika pale.

Mzee wa punk style alikuwa ndio bishoo mwanza yote. Wanafunzi wajanja wote walikuwa pamba
Sio caricabana na capricabana🙏🙏🙏
 
Miaka ile Mwanza ilikuwa na raha zake
Beach lazima uende tunza beach ndio ya kishua.

Club zilikuwa deluxe na capricabana ndio za kishua hasa ambapo unakutana na kina dj cutter kidboy huku watoto wa kiswazi wakikutana pale magnum.

Tape music za nje tulikuwa tunanunua pale boom explosion. Hoteli nzuri ya kupunga upepo ilikuwa ni rock beach ambayo mashindano ya umiss yote yalikuwa yanafanyika pale.

Mzee wa punk style alikuwa ndio bishoo mwanza yote. Wanafunzi wajanja wote walikuwa pamba
Capricabana ya juzi wewe Club ilikuaga magnum bot na deluxe aisee enzi hizo kina papa Mgosi wanatamba
 
Miaka ile Mwanza ilikuwa na raha zake

Beach lazima uende tunza beach ndio ya kishua.

Club zilikuwa deluxe na capricabana ndio za kishua hasa ambapo unakutana na kina dj cutter kidboy huku watoto wa kiswazi wakikutana pale magnum.

Tape music za nje tulikuwa tunanunua pale boom explosion. Hoteli nzuri ya kupunga upepo ilikuwa ni rock beach ambayo mashindano ya umiss yote yalikuwa yanafanyika pale.

Mzee wa punk style alikuwa ndio bishoo mwanza yote. Wanafunzi wajanja wote walikuwa pamba
Siku magnum hotel inafunguliwa nilikuwepo pale. Mzee matata (mmiliki) alikuwa mpole sana pamoja na mkewe. Yule mama kama yuko hai Mungu amlinde sana, ni mojakati ya familia chache ambazo baba na mama wote wana upendo mwingi. Siku hiyo haya housegirl hakujuliknaa maana wote walikuwa wamewekwa level sawa.

Bila kusahau hotel tilapia nayo ilikuwa hatari faya
 
Back
Top Bottom