Tulioishia shule ya Msingi tukumbushane!

Tulioishia shule ya Msingi tukumbushane!

Aliyeishia darasa la tano huwa anaandika kwa staili hii hapa..
TUJUHANE TULIYOKUWA NA ELIMU YA DALASA LA SABA..
Lichadi abali ya hasubui, umeamuka sarama?


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuna uelewa mpana pia. Si unaona hata kwenye huu Uzi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣nyie cheche sana hamna lolote!

Njooni mtaani tuwafundishe!
 
Naomba nikusahihishe kidogo ni ACCOUNTING Sio ACCOUNT.
Karibu mkuu ukiwa na swali lingine.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio maana nilisema utuache Hiyo BAF mi nikajua ulitaka kuandika bafu LA kuogea
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Screenshot_20180824-203001.jpg
 
Back
Top Bottom