Tuliokurupukia kuanzisha biashara baadaye tukajua hatujui tukutane hapa

Tuliokurupukia kuanzisha biashara baadaye tukajua hatujui tukutane hapa

Umenikumbusha kipindi Corona inaingia wakawa wanasema watu wengi watakufa
Mwanaume nikaingia bank kukopa kama 7m hivi ili nipanue mradi wangu wa majeneza nikiamini ndo mwaka wangu wa kutoboa lakini cha ajabu mambo yakaenda tofauti mpaka ikafikia nakosa hata hela ya marejesho!
Kuna jamaangu ana gereji yake Dar akanishauri nichukue mzigo wa majeneza kiasi nikaweke branch Dar maana hapa Dom biashara iligoma kabisa ikabidi huyo rafiki yangu anitafutie eneo zuri Dar nikapeleka mzigo wa majeneza kama pc 250 hivi lakini huko ndo hali iligoma sana kiasi kwamba lile eneo nilipokuwa misiba mingi ni waislamu hawatumii majeneza yaani ilikuwa mpaka namaliza week nimeuza jeneza moja wakati mwingine namaliza week bila kuuza ikabidi nifunge maana hata hela ya kulipia eneo nilishindwa kulipa ikabidi nirudi Dom kuendelea na kijiwe changu cha huko.
Yaani kifupi nililazimika kuuza kagari kangu( kama ka Mr Bean) ili nipunguze deni la mkopo sintosahau mpaka nazeeka
mkuu aisee dar waislamu kibao hapo ndo uliharibuu... pole sanaa daah biashara hizi blaaa
 
hii ndyo funga kaz mdau anaomba watu wafe
nyie kufa kufaana kwenye matatizo ndo kuna fursa kwa wengine mkuu... ila ilikuwa ni bonge la plan sema tu hizi biashara sometimes kuna manuva
 
Umenikumbusha kipindi Corona inaingia wakawa wanasema watu wengi watakufa
Mwanaume nikaingia bank kukopa kama 7m hivi ili nipanue mradi wangu wa majeneza nikiamini ndo mwaka wangu wa kutoboa lakini cha ajabu mambo yakaenda tofauti mpaka ikafikia nakosa hata hela ya marejesho!
Kuna jamaangu ana gereji yake Dar akanishauri nichukue mzigo wa majeneza kiasi nikaweke branch Dar maana hapa Dom biashara iligoma kabisa ikabidi huyo rafiki yangu anitafutie eneo zuri Dar nikapeleka mzigo wa majeneza kama pc 250 hivi lakini huko ndo hali iligoma sana kiasi kwamba lile eneo nilipokuwa misiba mingi ni waislamu hawatumii majeneza yaani ilikuwa mpaka namaliza week nimeuza jeneza moja wakati mwingine namaliza week bila kuuza ikabidi nifunge maana hata hela ya kulipia eneo nilishindwa kulipa ikabidi nirudi Dom kuendelea na kijiwe changu cha huko.
Yaani kifupi nililazimika kuuza kagari kangu( kama ka Mr Bean) ili nipunguze deni la mkopo sintosahau mpaka nazeeka
Means watu waligoma kufa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baada ya kuingia kibaruani na kusave miaka 3 niliona watu wenye bus barabaran wanafaidi sana [emoji2][emoji2][emoji2]
Nikawa na ham ya hiyo biz nikanunua bus used kwa mtu daah hakuna rangi niliacha kuona

Tuelezee kidogo mkuu
Pole sana…
 
Baada ya kuingia kibaruani na kusave miaka 3 niliona watu wenye bus barabaran wanafaidi sana [emoji2][emoji2][emoji2]
Nikawa na ham ya hiyo biz nikanunua bus used kwa mtu daah hakuna rangi niliacha kuona
The same to me. But mm nlinunua tax used sio basi. Asee smu yangu ilijaa namba za mafundi.
 
Hongera kwa kuthubutu ila ujue biashara ni kama mchezo wa mpira, tumia mbinu zote ili ufunge goli. Waliofanikiwa kama wanakupenda watakueleza mengi.
 
Gari ilikua inasumbua
Unaletewa leo 100k kesho kutwa inachukua 75k
Cha ajabu isipokua barabaran misele ya kitaa nzima hesabu ikianza simu za dereva haziishi mara atake mkataba baada ya muda gari iwe yake doooh
Pole sana mkuu
Kaka yangu kanunua matatu kwa mpigo sijui hali yake itakuaje…
 
Umenikumbusha kipindi Corona inaingia wakawa wanasema watu wengi watakufa
Mwanaume nikaingia bank kukopa kama 7m hivi ili nipanue mradi wangu wa majeneza nikiamini ndo mwaka wangu wa kutoboa lakini cha ajabu mambo yakaenda tofauti mpaka ikafikia nakosa hata hela ya marejesho!
Kuna jamaangu ana gereji yake Dar akanishauri nichukue mzigo wa majeneza kiasi nikaweke branch Dar maana hapa Dom biashara iligoma kabisa ikabidi huyo rafiki yangu anitafutie eneo zuri Dar nikapeleka mzigo wa majeneza kama pc 250 hivi lakini huko ndo hali iligoma sana kiasi kwamba lile eneo nilipokuwa misiba mingi ni waislamu hawatumii majeneza yaani ilikuwa mpaka namaliza week nimeuza jeneza moja wakati mwingine namaliza week bila kuuza ikabidi nifunge maana hata hela ya kulipia eneo nilishindwa kulipa ikabidi nirudi Dom kuendelea na kijiwe changu cha huko.
Yaani kifupi nililazimika kuuza kagari kangu( kama ka Mr Bean) ili nipunguze deni la mkopo sintosahau mpaka nazeeka
Ulitaka ile kufa kufaana 🤣🤣🤣🤣
Watu wanaliga nyungu tuu wee unahesabu hasara
 
Mimi na rafiki angu tulipata location moja tukitaka kuanzisha duka la dawa ila frame watu wengi wakawa wanahitaji,tulichoamua n kuilipia ili iwe mikonon mwetu...mara baada ya kuilipia tukaanza kufata process za kufungua duka la dawa kwenda kwa mfamasia wa wilaya akasema kwa hilo eneo sahz hayahitajiki tena maduka ya dawa dah,,vijana tukaanza kuomba tusaidiane nae ili jambo letu lifanikiwe ila bado akagoma kabisa ikabd tumwambie tu mwenye nyumba kuwa tunarudisha frame akipata mtu mwngne ataturudshia pesa yetu imekaa karibia week tatu hajapatikana mtu bado had leo dah..ila tumejifunza location nyngne ttanza kuwasiliana kwanza na mamlaka husika
Hii imekaa mimichongo sanaa. Yaan kila mtaa una idadi ya maduka ya dawa yanayohitajika? Kwan si mngeomba tu lessen then mkafungua popote? Au hata ukitaka kuhamisha duka lazima wajue?
 
Si biashra tu chochote kizuri kusimuliwa ila ingia sasa ndio unagundua hakuna jambo rahisi mpaka ulifanye.
Bado kwenye kilimo nako,utasimuliwa ukiingiza milioni 10 wakati wa kuvuna unapata milioni 20,na milioni 10 inakuwa ni faida,ingia field sasa ucheze,ki ten chako ulichokiingiza kichwa kichwa kinaliwa chote unaambulia mil.1,hata hela ya kujaribu tena huna...
 
Back
Top Bottom