Tuliokuwa tunajua kutumia computer kabla ya Windows XP tukutane hapa, Hofu ya Y2K n.k

Tuliokuwa tunajua kutumia computer kabla ya Windows XP tukutane hapa, Hofu ya Y2K n.k

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Wale wakongwe walio

anza kutumia computer na operating system za Ms DOS, Windows 95, Windows 98 na kabla ya hapo njoo tupe historia yako ulijifunzia wapi computer.

Nini au tukio gani linakukumbusha mbali na ilikuwaje.

Unakumbuka nini juu ya hofu ya Y2K?

Ilisemekana computer zote zitazima ukifika usiku wa saa sita kamili tarehe 1 mwezi wa kwanza mwaka 2000, new millennium.

Vijana wa Sasa umewahi kuwaza inawezekana kutumia computer bila mouse au touchpad?

Imagine unaingia na PDA chumba cha mtihani kwenye UE pale UDSM na wasimamizi hawaijui wanadhani ni calculator tu. Unaweka formulas zako za Math au Quantum Physics au za Statistics unafaulu vizuri tu mitihani.
 
Speed ya ku copy files ilikuaje??data mlikua Mna transfer kwa njia gani?? internet speed ilikuaje??

HD disk storage kubwa ilikua na uwezo gani??Ram Storage? Multimedia files mlikua Mna access vipi??

Kulikua na Digital pictures??upige picha kwa camera then uhamishe kwenye Computer??
 
Wale wakongwe walio
anza kutumia computer na operating system za Ms DOS, Windows 95, Windows 98 na kabla ya hapo njoo tupe historia yako ulijifunzia wapi computer.
Nini au tukio gani linakukumbusha mbali na ilikuwaje.

Unakumbuka nini juu ya hofu ya Y2K?
Ilisemekana computer zote zitazima ukifika usiku wa saa sita kamili tarehe 1 mwezi wa kwanza mwaka 2000, new millennium.

Vijana wa Sasa umewahi kuwaza inawezekana kutumia computer bila mouse au touchpad?

Imagine unaingia na PDA chumba cha mtihani kwenye UE pale UDSM na wasimamizi hawaijui wanadhani ni calculator tu. Unaweka formulas zako za Math au Quantum Physics au za Statistics unafaulu vizuri tu mitihani.
niwe mkweli, nilianza kushika computer mwaka 2003. Y2K nasikia ilikuwa mwaka 2000 ambapo manabii wa uongo walisema ungekuwa mwisho wa dunia bila shaka.
 
Binafsi nilifunzwa na kaka zangu.
Wao walijifunza DOS wakiwa high school kwenye Science club.
Walifunzwa na waalimu wa kigeni Kama American Peace Corps, British ...
Enzi hizo printers ni Dot Matrix technology siyo hizi Laser Jet technology.
 
Bahati mbaya nimepoteza barua ya kwanza ilichapishwa kwenye computer ningeweka hapa kama souvenir.
Nilitumiwa nikiwa shule na ndugu yangu nikiwa kidato Cha tatu ambaye kwa mara kwanza alijua habari ya kifaa kiitwacho computer kutoka kwangu niliazima library kitabu kinachoelezea technology mpya ya computer nikiwa darasa la 7 primary school.

Note: Nilianza kuwa member wa library nikiwa darasa la tatu primary school.
 
Wale wakongwe walio
anza kutumia computer na operating system za Ms DOS, Windows 95, Windows 98 na kabla ya hapo njoo tupe historia yako ulijifunzia wapi computer.
Nini au tukio gani linakukumbusha mbali na ilikuwaje.

Unakumbuka nini juu ya hofu ya Y2K?
Ilisemekana computer zote zitazima ukifika usiku wa saa sita kamili tarehe 1 mwezi wa kwanza mwaka 2000, new millennium.

Vijana wa Sasa umewahi kuwaza inawezekana kutumia computer bila mouse au touchpad?

Imagine unaingia na PDA chumba cha mtihani kwenye UE pale UDSM na wasimamizi hawaijui wanadhani ni calculator tu. Unaweka formulas zako za Math au Quantum Physics au za Statistics unafaulu vizuri tu mitihani.
Nimetumia Window 95, Window 98 na window 2000
 
Back
Top Bottom