Tuliokuwa tunamponda Magufuli akiwa hai, sasa tutamtetea akiwa Amekufa!

Chatto ni Kenya? Au Algeria?

Watu wa Chatto hawahitaji huduma bora za afya? Au wao siyo Watanzania?
Hivi watu wa Chato wanahutaji runway ya 3 km kuliko kukuza uchumi wao wa kilimo na Uvuvi? Hebu hata kama wewe ni msukuma hujazuiwa kutumia ubongo wako kwa njia sahihi
 
Na atakuchukua na wewe kukupeleka huko huko. Yeye amepumzika unajichosha tu na mikelele yako.
Mimi nitachukuliwa siku yangu, haina ubishi lakini siwezi kuacha watu wakinilaumu kama huyu pimbi wenu wa Chato
 
Hapa umenena ukweli mchungu.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Ukwl ni kwamba,
Magufuli kama aliiba Kura basi ni zile za ubunge na udiwani.

Lakini kwa Kura za urais ni wengi walimpigia Magufuli.
Wabunge wa CCM Mfano huyo Nape na genge lake,
Bila Magufuli kupigania Kura zao kushinda huko majimboni,

Leo wasingekuwa humo bungeni
 
Ninyi hamjui kuwa mtu huvuna apandacho? Zipo damu nyingi alizomwaga, damu hizi ndizo zinazonena sasa mpaka haki itendeke. Hamjazoea haki inaonekana.


Jina la magufuli litazidi kung'aa ameifanyia Tanzania mambo mazuri
Mafisadi watahangaika watachoka

Akili ya Dikteta inatia shaka uwanyanyase matajiri na wasomi halafu ukatibiwe na wasomi ? Inakuja kweli ? Bora angetibiwa waganga wa kienyeji.


Ndio maana nawashauri viongozi Kama kina Zitto Kabwe wawaachie watu wa mitandaoni mambo haya kwani wao hawana chakupoteza Ila Kwa Viongozi Kama wao haiwezi kuwa nzuri kwao Kisiasa

hy kukubalika na watu wa hali ya chini mpk sasa ili hali hayupo.ndo kinafanya wamseme ili watu hao wamkatae
 
Na sasa kuna expatriates wananyanyasa sana wazawa wakijua hawapelekwi kokote na TZ hawaondoki ni wazawa wanawajengea kesi na kuwaondoa. Sasa hata wizara ya kazi they don't care.
 
Ninyi hamjui kuwa mtu huvuna apandacho? Zipo damu nyingi alizomwaga, damu hizi ndizo zinazonena sasa mpaka haki itendeke. Hamjazoea haki inaonekana.
Unatafuta haki kwa mtu ambaye ameshakufa?
 
Hivi watu wa Chato wanahutaji runway ya 3 km kuliko kukuza uchumi wao wa kilimo na Uvuvi? Hebu hata kama wewe ni msukuma hujazuiwa kutumia ubongo wako kwa njia sahihi
Wanahitaji ya kilometres ngapi mtaalamu?
 
sasa bwashe ukiumiza tabaka la juu watakaoumia n tabaka la chini maana ukimbana tajir ss walalahoi tunaumia,mfano mzuri ni huku kwetu marangu tulishazoea pesa yan ukipata kaz ndo unapata pesa sasa matajir hawatoi kaz sababu hawana pesa na tajr asipokuwa na pesa ss maskn tunaumia mtani.
 

Mkuu sasa hiyo ndio ilikuwa kanuni ya JPM lakini walalahoi waliona hewala
 
Kama hujui kitu kaa kimya, Magufuli aliiba kura 3000 kwa kila kata Tanzania nzima.

Kikao kilichofanyika ikulu ndio kilikuwa na kazi ya kuratibu wizi huu, na sehemu chache ccm walizoamuwa kuziachia ilikuwa ni kuwakomowa wagombea wa sehemu hizo.

Huwezi kushindana na mgombea ubunge ambaye kila kata ana kura 3000 kama mtaji halafu ndio muanze kushindana kura halali.

Magufuli ni shetani na afe mara ya pili huko alipo.

 
ndugu yangu unateseka ukiwa wapi au katikati ya pori la burigi ukichukua mazoezi ya kuzikwa ukiwa hai karibu kabisa na kaburi la mzee baba? maana enzi zile ilikuwa kama una mahaba niue kwa mfalme unazikwa nae ila wewe unakuwa hai halafu mhishimiwa ndo marehemu wa kweli
 

Mimi naangalia tuu haki na ukweli Mkuu
 

Mkuu usfikie kiwango hicho hata Kama alikuwa mbaya basi ubaya wake usikufanye nawe ukawa Kama yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…