USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.