Tuliombe Jeshi la Polisi kuzuia mkutano huu wa TLS hapa Ubungo Plaza kuhusu watu waliopotea

Tuliombe Jeshi la Polisi kuzuia mkutano huu wa TLS hapa Ubungo Plaza kuhusu watu waliopotea

kwa akili za mleta mada anataka mambo yanayoendelea nchini yajadiliwe na kuongelewa na wana ccm tu pekee ila wasio ccm wakiongea tu kosa utasikia tunavuruga amani ya nchi mara tunabomoa taifa alafu hata hawajui hio amani ya nchi ndio nini hasa ni bora waseme raia wakikemea maovu yanayotendeka nchini kwamba viongozi wanakosa amani na furaha wanakereka hawataki kusemwa maovu yao ndo wanatumia polisi kuficha udhaifu waa wa kutowajibika na kuchukua hatua..wao wanafikiri eti amani na furaha ya wenye madaraka wanatafsiri ndio amani na furaha ya taifa wajinga kabisa hawa.!
Huyu mleta uzi anataka nchi watu wapelekewe matamasha ya kina zchu tuuu

Ova
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Mwabukusi anachokitafuta atakipata! Ni swala la muda tu!!
Siyo muda we kutishana
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Kwakuwa wewe unafurahia watu kupotezwa
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Ubataka tusubili upotee wewe
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Wewe jamaa mbona km unaleta uchochez usio na maana, taadifa yako inasema mkutano wa TLS na waandishi wa habari wa ndani na nje wakat TLS wenyewe wanasema mkutano wa wananchi kujadili na kutoa suluhisho juu ya Raia Tz
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.


Vipi intelligensia yako kama yao imeashiria uvunjifu wa amani?
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Kama ni image kuchafuka ilisha chafuka sana. Acha waendelee kuipasha dunia
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Huko nje..!
Serikali zao hazizuii Wananchi wake kutoa Dukuduku, iwe Kwa Maandamano ama mikutano...!
 
Kwa nini una fikra za kishetani namna hii?? Au na wewe ni miongoni mwa hayo mashetani yanayoua watu?

Kwa akili yako ndogo, wanasheria wote wa nchi hii hawalipendi Taifa lao wala Serikali? TLS imeandaa mjadala wa kitaalam kwa mtizamo wa kisheria, halafu wewe unakuja na hoja za kipuuzi kabisa!!
Mnasema nchi haina amani,sasa nyinyi mnakutana vp wakati nchi haina amani!? Si wote mtatekwa, kama kweli hali ni mbaya sana mbona mnakutana muda wowote mnaotaka!? Acheni ubabaifu wenu na agenda zenu za siri na Mabeberu wenu,kwanza sasa hivi tuko China na Uarabuni, Mabeberu mtuache kwanza!!
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Sijui wakuja kutukumbusha sisi watanzania ni nani maana duh!
 
Huyu Mwabukusi ni pimbi tu, anajaribu kujenga heshima kulingana na zile kura alizopewa kwenye mkutano mkuu wa TLS, lakini hatoshi kuongoza hiyo taasisi.

Kibaya zaidi anaipa sura ya uanaharakati badala ya kuipa sura ya taasisi isiyo na uhusiano na siasa za mapambano.
samahani kwani kazi za TLS ni zipi mkuu?
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.

Mnazidi kumharibia mjue
 
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .

Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .

Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema halafu mruhusu hili.


Je, unataka kusema kwamba Serikali haiwajibiki kwa kitu chochote kile kuhusiana na vitendo viovu utekaji watu na mauaji vinavyoendelea hapa nchini?
Unataka kusema kwamba Rais haihusiki kwa namna yoyote ile? Is it?
Vipi kuhusu Hawa Askari ambao wanaotuhumiwa kila siku kuua raia ?
Vipi kuhusu hao raia ambao wamekuwa wakifa wakiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi katika Vituo vya Polisi ?? Nao hawamhusu?
Vipi hao mateka ambao baadhi yao wameokotwa wakiwa tayari wameuawa kinyama? Nao hawamhusu??

Akumbuke kwamba yeye binafsi akiwa Kama Mkuu wa nchi hii kwa mikono yake ndiye aliyewateua hao Viongozi wote wa Serikali hii iliyopo, wakiwamo na Wakuu wa Majeshi ambayo wa-Tanzania wanayatuhumu kwamba yamekuwa yakihusika katika kuwateka raia na kisha kuwaua. Matendo yote yanayofanywa na hao Watu Wateule wake ni sawa sawa kabisa kwamba ameyafanya yeye mwenyewe Mteuaji binafsi. Kushindwa kwa hao Watu ambao amewateua ndio kushindwa kwake yeye Mteuaji. Kwa hiyo kwa namna yoyote ile kamwe hawezi akajitenga na matendo mazuri au mabaya yanayofanywa na Wateule wake.

Aidha, hata tuhuma anazotupiwa za kuhusika na tukio la jaribio la mauaji ya Tundu Lissu kule Dodoma yeye pia tuhuma hizo zinamhusu Moja kwa Moja. Rais Magufuli siyo Mtuhumiwa pekee wa shambulizi lililofanywa dhidi ya Tundu Lissu, hata yeye pia anahusika kwa sababu Serikali ya 'MaguSami' (i.e. Magufuli+Samia) ndio iliyokuwa madarakani wakati ule tukio hilo lilipotokea.
 
Back
Top Bottom