Mwabukusi anachokitafuta atakipata! Ni swala la muda tu!!Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Huo mkutano ni fungamanishi katika kuleta ufumbuzi na umoja wa kitaifa, Serikali inapaswa kuheshimu dhima na maudhui kama hayo yenye dhamira ya kuponya vidonda, simanzi na kuweka njia ya maamuzi kwa viongozi.Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Una kibendi? Wacha Taifa liongeeNajua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Acha uboya na uchawa wa kindezi wewe!Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Kwa nini una fikra za kishetani namna hii?? Au na wewe ni miongoni mwa hayo mashetani yanayoua watu?Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Sasa kama mama ameshindwa kufuata ushauri mwepesi kabisa wa kuunda Tume Huru, hivi unadhani tutamfikiriaje??Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Kumbe wakati mwingine na wewe unaongeaga vitu vya maanaπAcheni uwoga
Akili ni kumsikiliza mpinzani wako..
Kumbe wakati mwingine na wewe unaongeaga vitu vya maanaπ
Na nyie ni sehemu ya "wasiojulikana?". Nyie ni sehemu ya polisi bandia wanaokamata watu na kwenda kuwaua..?Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930
Kwanini polisi na watu wa CCM na serikali wanaowatuma mnaogopa sana hii ishu watu kuipazia sauti kwa njia hii au ile? Kwanini hamtaki hata ijadiliwe kwa uwazi na watu....?majinga tena yapigwe marungu yq ugoko
Leo umeongea kwa busara ntaleta Mahali huko Kondoa...Acheni uwoga
Akili ni kumsikiliza mpinzani wako..
ukiwaona humu sasa utafikiri watafanya maajabu. njoo kwa road sasa. wamemsaliti mwenyekiti wao. sasa hapa wanamjaza upepo Mwambukusu ili ale virungu wao wakiwa vifuani mwa wake zao huku wanachungulia simuUmetaka tu kunijibu.. Ila. Mnalo aiseee. Mbona sikukuona ukiambata na Mkiti wenu ile siku!!! π π π
Leo umeongea kwa busara ntaleta Mahali huko Kondoa...
Hawa TLS utazani hawakuwepo ktk utawala wa Beduwi JIWE, Raisi wao pamoja na kula Chuma 16 mchana kweupe, lkn hawakuwai kufanya Press conference yoyote mpaka Mr.Push up anaingia kuzimu.Najua polisi makao makuu mpo humu na mnapitia haya hawa wanasheria wamepanga kukutana na vyombo vya habari vya nje na ndani kuwaaminisha watu kuwa Rais Samia ndio anahusika na kuteka watu .
Wanataka kuchafua image ya taifa letu lenye amani na utulivu mkubwa kwa kesi mbili tatu za kupotea kwa watu ambao hata huko nje wanatekwa na kuwawa tu .
Litakuwa ni jambo la hatari kama mlizuia maandamano ya chadema harafu mruhusu hili.
View attachment 3111930