Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #41
Ethiopia hawakuwa na alternative ya gesi Kama sisi,Ethiopia wamezindua lao na sasa wanauza umeme Kenya! Hivi kweli sisi tushindwe namna ya kuhakikisha bwawa halikauki?
Unajua toka JPM aingie madarakani mabwawa yaliyokuwa yanakauka kila uchao hayakuwahi kukauka? We are not stupid!
Wewe unaishi Tanzania au nchi gani?Mkuu marekani umeme wao asilimia kubwa unatokana na chanzo gani...
Ulishawahi kwenda ice land ukakuta barafu imekata wanalima bustani?!
Ebu tusaidie wananchi maana mnatuchanganya kweli kweli...
Kiangazi kipo miaka yote...ni wakati wa Magufuli tu tulikuwa hatuna mgao wa maji na umeme...unataka kusema mabadiliko ya hewa yanabalika kutokana na aina ya uongozi...
Wewe unaishi Tanzania au nchi gani?
Maana mtanzania yoyote anajus ukame wa mwaka huu haujawahi kutokea kwa miaka 10
Tanzania bado tunategemea umeme wa maji kwa kiasi kikubwa ndio maana Sasa hivi unaona ukame umesababisha umeme kupungua kwa zaidi ya 50%Haujafanya utafiti wa kutosha kuhusu ulichoandika. Umeme unapaswa kutoka kwenye sources tofauti, haiwezi kuwa gesi tu na haiwezi kuwa maji tu.
Lakini pia umeme unaozalishwa Tanzania kwa asilimia kubwa ni umeme wa gesi 65%, huo umeme ww maji ni 32% tu. Wala kwa hilo usipate shida, bado tunategemea sana gesi kuliko maji
Mwisho; umeme wa gesi sio renewable hivyo sio sustainable. Umeme wa maji ni renewable hivyo ni sustainable. Hapa ndio mnapaswa wengi muelewe hii kitu.
Ukijua maswala ya mikataba ya kimataifa utaongeza ufahamu. Kasome mkuuSasa Kama sio yetu mbona unasema tumeruhusu kupelekwa Kenya, tungeruhusu vip Kama hatuimiliki?
Hapo Kuna siasa gani?Punguza kidogo siasa kwenye uhalisia
Unaji contradict, ukibanwq unakwepa kujibuUkijua maswala ya mikataba ya kimataifa utaongeza ufahamu. Kasome mkuu
Huu ukame uliotokea mwaka huu ukiona kipindi Cha Magufuli?Mabwawa yaliyokiwa yanakauka miaka yote ya Kikwete yameanza kukauka tena wakati wa madam, lakini miaka yote sita ya magufuli yaliogopa kukauka!!!
Hapo Kuna siasa gani?
Basi msoga na mchamba wima patakuwa pamelaaniwa!Huu ukame uliotokea mwaka huu ukiona kipindi Cha Magufuli?
Reserve ya gas Qatar sio?Nchi ya Qatar ipo jangwani kwa asilimia 100% rasilimali yao ni gesi tu ambayo sio renewable, na ni moja ya nchi tajiri zaidi ulimwenguni
Usijikwamishe kwenye kigezo Cha renewable, Kama gesi ipo ya kutosha..!
Hili kweli linapaswa tuanze kubishana? Ni kweli hufahamu hili au ni basi tu? Kabla ya kubisha si hata ungefatilia kidogo tu ungegundua?Tanzania bado tunategemea umeme wa maji kwa kiasi kikubwa ndio maana Sasa hivi unaona ukame umesababisha umeme kupungua kwa zaidi ya 50%
Kama tungekuwa na gesi kwa 63% ukame usingeathiri umeme wetu Kama ilivyo sasa
Bado nashangazwa na haya unayoandika Qatar wanategemea umeme wa gas kwa 100%?? Qatar inategemea gas kwa 75% tu Wala haipishani sana na mwetu 65%. Lakini hata hivyo wamewekeza kwenye solar kufikia 2030 watakua na uzalishaji mkubwa wa umeme wa solar sababu ni renewableNchi ya Qatar ipo jangwani kwa asilimia 100% rasilimali yao ni gesi tu ambayo sio renewable, na ni moja ya nchi tajiri zaidi ulimwenguni
Usijikwamishe kwenye kigezo Cha renewable, Kama gesi ipo ya kutosha..!
Chanzo Cha umeme Qatar kwa asilimia 99.8% ni fossil fuels, ambayo ni non renewable na hawana mgao wa umemeBado nashangazwa na haya unayoandika Qatar wanategemea umeme wa gas kwa 100%?? Qatar inategemea gas kwa 75% tu Wala haipishani sana na mwetu 65%. Lakini hata hivyo wamewekeza kwenye solar kufikia 2030 watakua na uzalishaji mkubwa wa umeme wa solar sababu ni renewable
Ethiopia wanajenga bwawa la nini kama dunia nzima ishaachana na umeme wa maji? Nyie semeni tu kwamba mnataka kutengeneza tatizo ili mfanye biashara zenu mnazozitaka kupitia tatizo feki la umeme. Mbona umeme wa maji haukuwahi kuwa shida miaka mitano ya Magufuli? Sasa hiko hivi, zengwe lenu ni la muda tu mambo yapo jikoni yanaiva.Dunia ilishaachana na Technologia ya umeme wa maji miaka nenda rudi ila sisi Tanzania karne ya 22 bado tunarudi kule kule ambako mpini ulibaki shoka likaungua.
Haya ndiyo madhara ya kutokuwa na mikakatiya kitaifa ya muda mfupi na mrefu.
Tungepata umeme wa uhakika wa muda mfupi tena kwa bei nafuu kwa kutumia
Upepo
Jua
Muda mrefu kwa kutumia
Makaa ya mawe,
Gesi - LNG
Uranium.