Tulionya umeme wa maji sio wa kutegemewa, Hayati Magufuli akatia kiburi, leo tuna mgao

Tulionya umeme wa maji sio wa kutegemewa, Hayati Magufuli akatia kiburi, leo tuna mgao

Ethiopia wamezindua lao na sasa wanauza umeme Kenya! Hivi kweli sisi tushindwe namna ya kuhakikisha bwawa halikauki?

Unajua toka JPM aingie madarakani mabwawa yaliyokuwa yanakauka kila uchao hayakuwahi kukauka? We are not stupid!
Ethiopia hawakuwa na alternative ya gesi Kama sisi,
Wangekuwa nayo wangekuwa mbali zaidi
Halafu wao Wana mto mkubwa wa Blue Nile, sisi Moto yetu ni midogomidogo ambayo kiangazi kikiuma kidogo tu ni shida
 
Mkuu marekani umeme wao asilimia kubwa unatokana na chanzo gani...

Ulishawahi kwenda ice land ukakuta barafu imekata wanalima bustani?!

Ebu tusaidie wananchi maana mnatuchanganya kweli kweli...

Kiangazi kipo miaka yote...ni wakati wa Magufuli tu tulikuwa hatuna mgao wa maji na umeme...unataka kusema mabadiliko ya hewa yanabalika kutokana na aina ya uongozi...
Wewe unaishi Tanzania au nchi gani?
Maana mtanzania yoyote anajus ukame wa mwaka huu haujawahi kutokea kwa miaka 10
 
Haujafanya utafiti wa kutosha kuhusu ulichoandika. Umeme unapaswa kutoka kwenye sources tofauti, haiwezi kuwa gesi tu na haiwezi kuwa maji tu.

Lakini pia umeme unaozalishwa Tanzania kwa asilimia kubwa ni umeme wa gesi 65%, huo umeme ww maji ni 32% tu. Wala kwa hilo usipate shida, bado tunategemea sana gesi kuliko maji

Mwisho; umeme wa gesi sio renewable hivyo sio sustainable. Umeme wa maji ni renewable hivyo ni sustainable. Hapa ndio mnapaswa wengi muelewe hii kitu.
Tanzania bado tunategemea umeme wa maji kwa kiasi kikubwa ndio maana Sasa hivi unaona ukame umesababisha umeme kupungua kwa zaidi ya 50%
Kama tungekuwa na gesi kwa 63% ukame usingeathiri umeme wetu Kama ilivyo sasa
 
Mabwawa yaliyokiwa yanakauka miaka yote ya Kikwete yameanza kukauka tena wakati wa madam, lakini miaka yote sita ya magufuli yaliogopa kukauka!!!
Huu ukame uliotokea mwaka huu ukiona kipindi Cha Magufuli?
 
Nchi ya Qatar ipo jangwani kwa asilimia 100% rasilimali yao ni gesi tu ambayo sio renewable, na ni moja ya nchi tajiri zaidi ulimwenguni

Usijikwamishe kwenye kigezo Cha renewable, Kama gesi ipo ya kutosha..!
Reserve ya gas Qatar sio?
 
Tanzania bado tunategemea umeme wa maji kwa kiasi kikubwa ndio maana Sasa hivi unaona ukame umesababisha umeme kupungua kwa zaidi ya 50%
Kama tungekuwa na gesi kwa 63% ukame usingeathiri umeme wetu Kama ilivyo sasa
Hili kweli linapaswa tuanze kubishana? Ni kweli hufahamu hili au ni basi tu? Kabla ya kubisha si hata ungefatilia kidogo tu ungegundua?

Sasa hao unaosema unawashauri watakubali vipi ushauri wako ikiwa Jambo kama hili hufahamu?
 
Nchi ya Qatar ipo jangwani kwa asilimia 100% rasilimali yao ni gesi tu ambayo sio renewable, na ni moja ya nchi tajiri zaidi ulimwenguni

Usijikwamishe kwenye kigezo Cha renewable, Kama gesi ipo ya kutosha..!
Bado nashangazwa na haya unayoandika Qatar wanategemea umeme wa gas kwa 100%?? Qatar inategemea gas kwa 75% tu Wala haipishani sana na mwetu 65%. Lakini hata hivyo wamewekeza kwenye solar kufikia 2030 watakua na uzalishaji mkubwa wa umeme wa solar sababu ni renewable
 
Bado nashangazwa na haya unayoandika Qatar wanategemea umeme wa gas kwa 100%?? Qatar inategemea gas kwa 75% tu Wala haipishani sana na mwetu 65%. Lakini hata hivyo wamewekeza kwenye solar kufikia 2030 watakua na uzalishaji mkubwa wa umeme wa solar sababu ni renewable
Chanzo Cha umeme Qatar kwa asilimia 99.8% ni fossil fuels, ambayo ni non renewable na hawana mgao wa umeme
 
Dunia ilishaachana na Technologia ya umeme wa maji miaka nenda rudi ila sisi Tanzania karne ya 22 bado tunarudi kule kule ambako mpini ulibaki shoka likaungua.

Haya ndiyo madhara ya kutokuwa na mikakatiya kitaifa ya muda mfupi na mrefu.

Tungepata umeme wa uhakika wa muda mfupi tena kwa bei nafuu kwa kutumia
Upepo
Jua

Muda mrefu kwa kutumia
Makaa ya mawe,
Gesi - LNG
Uranium.
Ethiopia wanajenga bwawa la nini kama dunia nzima ishaachana na umeme wa maji? Nyie semeni tu kwamba mnataka kutengeneza tatizo ili mfanye biashara zenu mnazozitaka kupitia tatizo feki la umeme. Mbona umeme wa maji haukuwahi kuwa shida miaka mitano ya Magufuli? Sasa hiko hivi, zengwe lenu ni la muda tu mambo yapo jikoni yanaiva.
 
Mi nadhani ni kama ujikusanye vijipesa vyako kwa shida sana then umuombe mtu ushauri wa biashara ya kufanya ambae hataki ufanikiwe.
Huyo mtu atajifanya kukuongeza na pesa kwa ajili ya hiyo biashara atakayokushauri. Mwisho wa siku no business na madeni juu
 
Ebu jaza kwanza bwawa la Mwalimu Nyerere huko Rufiji na muwashe hizo turbines kwa kupitisha Maji tuone umeme kama hautatosha.
 
Back
Top Bottom