Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
HahahahahahahaKama unafanyakazi mpaka saa mbili usiku na bado wewe na mumeo hamuwezi kupanga hata vyumba viwili na sebule ni bora wewe uache kazi ulee watoto tu!
Wee dada unakunywa nini nilipiee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa hiyo imekuuma au?
Ndo maisha yangu hayo mkuu.Hivi uko serious kweli au?
Halaf wote tuna masters,,na magariii ya kifahariMkuu humu jf wengi matajiri ujue hiko chumba na sebule labda me na wewe ndio tunakaa
Sikuwahi kujua kama una maneno hiviUsione tunachati humu ukadhani wote tupo sawa...wengine maisha yetu yanatia simanzi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndiwooo kumbe upo nyuma ya keybord tu unatype chochote kinachokujia huku unasimamia bomba la mwendo kasi kama shunieHalaf wote tuna masters,,na magariii ya kifahari
Kweli kabisa mkuuUsione tunachati humu ukadhani wote tupo sawa...wengine maisha yetu yanatia simanzi.
Wakati wa kugegedana washeni redio sauti ya juu ili huyo binti wa kazi asisikie miguno ya mkeo ile ya Mmmmh Ooooh aaaassshhh taaamm hapohapooo!!!! Usitiweeeee!!! Aaaassshhh nakojoaaaaaa!!!!!
Hatari sana!!!!!
Aidha, Kwanini mpange chumba na sebule ilihali majumba ya bei rahisi yamejaa tele chamazi, mwandege, vikindu, saku, Charambe, kongowe nk?? Nyumba nzima ya vyumba vitatu unalipa 200,000 tu kwa mwezi!! Nenda huko kijana
Hahaaa wakati mwingine kuongelea uhalisia wa maisha yako haihitaji kipaji maalumu ujue.Sikuwahi kujua kama una maneno hivi
Mhh nimekumbuka kigodoro ulimi kile.kinafaa sana nyakati hizo.Mtoto akilala hamisheni mechi sakafuni, kitandani chaga ni norma sometimes
Napenda nyumba za hivyo hahajMimi kwwnye hii nyumba niliyoipanga naskiaga mechi kibao zinachezwa usiku...
Kwa hiyo mama mkwe kaondokaHahaaa wakati mwingine kuongelea uhalisia wa maisha yako haihitaji kipaji maalumu ujue.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mtoto akilala hamisheni mechi sakafuni, kitandani chaga ni norma sometimes
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mkuu wewe wasema vyumba viwili?
Mi nilkua na chumba kimoja kikubwaa (ilkua sebule ya hiyo nyumba), nikakigawa na pazia upande wa kulala na sebule, sasa baada ya famili kuongezeka tulipata matwins ikalazimu tuwe na msaidizi, alikua ndugu yake wa age kidogo chini ya wife na ni kama rafiki ake,
Sasa ikifika saa 6 ndo mda wetu sasa na kenyewe kalishashtukia mchezo kanajifanya kulala mapemaaa ili tuanze yetu, kuna kipindi inapigwa gemu hadi tunasahau tupo na watoto, mara paaap mmoja kadondoka chini.
Kesho yake hausegirl hana mbavu mda wote kucheka tuu (hapo mi sipo wapo wao tuu home wife alikuja niambia hayo tena baada ya huyo mdada kuondoka) mke wangu kumuuliza kulikoni yeye hasemi hadi kesho yake ndio anamwambia yaliyotokea usiku wa jana yake alikua anaskia kila kitu, wife akadai angeniambia mapema angekosa mechi kumuogopa dada wa kazi, mi sijui chochote wife anajua tunapigwa chabo na dada katulia tuu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] nimecheka sana kwa kweliUmenikumbusha story Fulani.
Familia ilikuwa na watoto wawili wadogo wakufuatana ,, walikuwa na chumba kimoja kikubwa na kitanda kikubwa ambacho walilala wote watatu. Baba na mama walikuwa wakisubir watoto walale ndo wao waanze kugegedana kiuangalifu,, siku moja mechi ilikuwa Kali mpaka wakawasukuma watoto wakaanguka ikabidi mechi isitishwe wawapandishe watoto kitandani ,, basi wakatulia kama moja hiv wakahis watoto washalala tena ikabid waanze mechi upya kabla mechi haijanoga wakasikia mtoto mkubwa anamwambia mdogo wake " John jishikilie vizuri wameanza tena"